Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Samia atuma salama za pongezi CCM ikitimiza miaka 46
Habari Mchanganyiko

Samia atuma salama za pongezi CCM ikitimiza miaka 46

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

WAKATI Chama Cha Mapinduzi leo tarehe 5 Februari 2023 kikitimiza miaka 46 tangu kuasisiwa kwake, Rais Samia Suluhu Hassan ametumia ukurasa wake wa Twitter kutoka pongeza kwa wanachama na chama hicho na Watanzania kwa kutimiza miaka hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Rais Samia ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho ameandika; “Pongezi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kutimiza miaka 46. Pongezi kwa wana CCM na Watanzania wote. Busara na maono ya waasisi wetu viliunganisha TANU na ASP kutujengea chama hiki chenye misingi imara, kinachoendelea na kazi adhimu ya kuwatumikia Watanzania, Awamu hadi Awamu”.

CCM kiliasisiwa mwak 1977 baada ya vyama hivyo vya TANU na ASP kuungana chini ya uongozi wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!