Saturday , 27 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Tanroads Arusha yaendesha bomoabomoa kupisha upanuzi wa barabara kuu

  WAKALA wa Barabara nchini – Tanroads mkoa wa Arusha imeanza kutekeleza zoezi la kubomoa vibanda vilivyojengwa ndani ya eneo la hifadhi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yafunguka kada Chadema aliyefia vitani Ukraine, mwili kuwasili muda wowote

  HATIMAYE Serikali ya Tanzania kwa mara ya kwanza imetoa kauli kuhusu Mtanzania, Nemes Tarimo aliyefariki dunia vitani nchini Ukraine akiipigania Urusi na...

Habari Mchanganyiko

Askofu Mwamakula alilia uhuru wa vyombo vya habari

  ASKOFU wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, madai ya upatikanaji katiba mpya, yanatakiwa yaende sambamba na uimarishwaji wa uhuru wa...

Habari Mchanganyiko

Majaji wanaotuhumiwa kwa rushwa Mbeya kitanzini

  JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapha Siyani, ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Mbeya, ifanye...

Habari Mchanganyiko

Wakwe kuingizwa katika bima ya afya kwa wote

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema katika Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote, Serikali inapendekeza  wakwe kuingizwa katika bima hiyo.Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

Saba wakamatwa tuhuma za mauji ya hakimu Mwakyolo

JESHI La Polisi mkoani Mbeya linawashukilia watu saba kwa tuhuma za mauji ya Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Handeni, Joakim Mwakyolo yaliyotokea...

Habari Mchanganyiko

Igalula waomba umeme kupunguza gharama za mafuta mgodini

MKURUGENZI Mtendaji wa Mgodi wa Igalula uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Hussein Makubi ameiomba serikali kupitia Wizara ya Nishati kuwaletea...

Habari Mchanganyiko

Vipengele vyenye utata vyaondolewa muswada bima ya afya kwa wote

MWAKILISHI wa kikosi kazi cha Serikali kinachoshughulikia Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote, Bernard Konga amesema katika marekebisho yanayofanywa kwenye muswada huo,...

Habari Mchanganyiko

Tume ya haki za binadamu Afrika kufanya ziara Tanzania

  TUME ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHPR), inafanya ziara Tanzania kuanzia tarehe 23 hadi 27 Januari 2023 kwa ajili...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NMB yagawa vifaa tiba Arusha

SEKTA ya afya ni sekta muhimu kwa maendeleo ya jamii na kwa kulitambua hilio, Benki ya NMB imeshirikiana na Serikali kupitia Wizara ya...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo kuwasilisha kwa Rais Mwinyi maamuzi yake kuhusu SUK

KAMATI Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo imeazimia kuwasilisha kwa Maakmu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi ambaye pia...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Stamico wapigwa msasa maadili, Waziri Biteko atoa maagizo

WAZIRI wa Madini Dk. Doto Biteko ameitaka Bodi ya Wakurugenzi na Uongozi wa Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuwafikisha kwenye...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yatangaza nafasi za ajira 320

  Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) leo tarehe 21 Januari, 2023 imetangaza nafasi 320 za ajira kwa vijana wa Kitanzania...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yatangaza nafasi za ajira 320

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) leo tarehe 21 Januari, 2023 imetangaza nafasi 320 za ajira kwa vijana wa Kitanzania wenye...

Habari Mchanganyiko

NMB yaingia makubaliano na Serikali Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

BENKI ya NMB imeingia makubaliano na Mamlaka ya Hifadhi Mji Mkongwe, chini ya usimamizi wa Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale ya...

Habari Mchanganyiko

Mshindi NMB MastaBata Kote-Kote akabidhiwa pikipiki

MSHINDI wa kampeni la NMB MastaBata Kote-Kote inayoendeshwa na Benki ya NMB, Emmanuel Marumbo kutoka mkoani Tabora amekabidhiwa rasmi Pikipiki yake aina ya...

Habari Mchanganyiko

Binti wa miaka 17 ajinyonga kisa mzazi mwenzie kugomea matunzo ya mtoto

  WINFRIDA Mandindile (17), amejinyonga kwa madai ya mzazi mwenzie kugoma kutoa fedha za matumizi ya mtoto wao mwenye umri wa mwaka mmoja....

Habari Mchanganyiko

Mufti aunda Tume ya watu saba kuchunguza mali, madeni ya BAKWATA

  MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tzania, Sheikh Dk. Abubakar Zubeir, ameunda tume ya watu saba kwaajili ya maboresho ya Baraza Kuu la...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Dk. Mpango aweka jiwe la msingi mradi wa maji Ziwa Victoria

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amezitaka Mamlaka za Maji pamoja na wadau wengine wa sekta hiyo kuongeza weledi katika usimamizi wa...

Habari Mchanganyiko

Biteko: Ushirikiano kati ya Tanzania, Canada umeimarisha sekta ya madini

  WAZIRI wa Madini Dkt. Doto Biteko amesema ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Canada katika sekta ya madini umeendelea kuimarika hususan katika...

Habari Mchanganyiko

PPRA yafanya utafiti matumizi ya kikosi kazi katika miradi ya maendeleo

MAMLAKA ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma nchni (PPRA) imeeleza kuwa utumiaji wa utaratibu wa kikosi kazi “ Force Account “katika utekelezaji wa miradi...

Habari Mchanganyiko

TEF yaendelea kumng’ang’ania Nape epeleke muswada wa habari bungeni

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limesema linatarajia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, atatimiza ahadi yake ya kupeleka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ndugu wa Mtanzania aliyefariki vitani Ukraine walala matanga siku 10 wakisubiri mwili

  NDUGU wa Tarimo Nemes Raymond Raia wa Tanzania aliyefariki kwenye uwanja wa vita katika mji wa Bakhmut nchini Ukraine akipigana upande wa...

Habari Mchanganyiko

Kada wa Chadema afia vitani Ukraine, akitetea Urusi

  RAIA wa Tanzania, mwanachama mwandamizi na kada mashuhuri wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tarimo Nemes Raymond, amefariki dunia akiwa vitani...

Habari Mchanganyiko

Serikali kufanya utafiti wa hali ya umasikini

SERIKALI ya Tanzania ipo katika maandalizi ya mwisho ya kufanya utafiti wa hali ya umasikini nchini kwa mwaka 2023/2024. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

NBS yatabiri mfumuko wa bei kupungua

  OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetabiri kupungua kwa mfumuko wa bei za vyakula na vinywaji baridi, kutoka asilimia 9.7, kufikia Machi...

Habari Mchanganyiko

Haya hapa majina ya vijana walioitwa kwenye usaili Jeshi la Polisi Tanzania

  MKUU wa Jeshi la Polisi IGP Camilus Wambura leo tarehe 17 Januari, 2023 amewatangazia vijana walioomba kuajiriwa na Jeshi la Polisi usaili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Likizo ya Mch. Kimaro: Waumini Kijitonyama waonyesha hisia zao

  BAADHI ya waumini wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam wamejitokeza mbele ya kanisa hilo wakiwa na mabango...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ashiriki mkutano wa uchumi nchini Uswisi

RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo tarehe 17 Januari, 2023 amehudhuria ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa Jukwaa la Uchumi Duniani (World...

Habari MchanganyikoTangulizi

Likizo ya mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT yawa gumzo

  TAARIFA ya likizo ya siku 60 ya Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani,...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wizara ya Fedha yaeleza hali ya uchumi na mwarobaini wake

SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imejipanga kuchukua hatua stahiki katika kuhakikisha uchumi unaendelea kukukua kwa kusimamia urekebishwaji wa baadhi...

HabariHabari Mchanganyiko

Spika Dk. Tulia awataka majaji wanawake kutenda haki

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amewataka Majaji wa Mahakama nchini kuzingatia weledi, kufuata misingi ya...

Habari Mchanganyiko

Mgeja ashauri mawakala wa mbolea ya ruzuku wawepo hadi vijijini

MKURUGENZI wa Kampuni ya Agricultural Pharm, Khamis Mgeja, ameiomba Serikali kutatua changamoto ya huduma za pembejeo vijijini ili kuwaondolea wakulima adha ya kutembea...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi aikabidhi cheti NMB

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amemkabidhi Afisa mkuu wa Teknolojia na mabadiliko ya kidigitali wa...

Habari Mchanganyiko

Makaa ya mawe yazidi kupaisha sekta ya madini

  KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa uchimbaji wa makaa ya mawe hususan katika mkoa wa Ruvuma umeendelea...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda ataka misingi imara itakayosaidia vyombo vya habari kupumua

  KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameishauri Serikali iweke misingi imara itakayosaidia kujenga uhuru wa kudumu...

Habari Mchanganyiko

LG yatangaza mkakati 2023, yaahidi kugusa waemavu

KAMPUNI ya LG imetangaza mkakati wake wa 2023 ulioko katika mpango wake wa maendeleo endelevu kufikia 2030, ambao unajumuisha uvumbuzi unaolenga mahitaji ya...

Habari Mchanganyiko

Washindi NMB MastaBata Kote-Kote wafikia 608

IDADI ya washindi wa kila wiki wa kampeni ya NMB MastaBata Kote-Kote sasa imefikia 608 baada jana Ijumaa, tarehe 13 Januari 2023 kupatikana...

Habari Mchanganyiko

TAWA wajitetea madai ya mbunge “udhibiti wanyamapori waharibifu si wetu pekee”

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imesema jukumu la udhibiti wa wanyamapori wakali na waharibifu katika Wilaya ya Mvomero siyo jukumu la...

Habari Mchanganyiko

Mbolea ya ruzuku yafikia asilimia 20 ya wakulima waliosajiliwa

HADI kufikia tarehe 09 Januari, 2023 wakulima 560,451 wamenufaika na mbolea ya ruzuku sawa na asilimia 20 ya wakulima 3,264,440 waliosajiliwa kupata mbolea...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 716,664 kidato cha kwanza hawajaripoti shuleni hadi sasa

IKIWA ni wiki moja tangu kufunguliwa shule nchini Tanzania jumla ya wanafunzi 716,664 wanaopasa kuingia kidato cha kwanza mwaka 2023 bado hawajaripoti na...

Habari Mchanganyiko

Trilioni 1.15 kutumika mradi wa kuboresha elimu ya msingi, awali

SERIKALI nchini Tanzania imesema mwaka huu imeanza rasmi utekelezaji wa mradi wa kuboresha elimu ya msingi na awali (BOOST) utakaogharimu Sh. 1.15 trilioni...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aitaka TFS idhibiti vibali vya ukataji misitu

  MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango, ameutaka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), kupitia upya sheria za utoaji vibali vya kuvuna...

Habari Mchanganyiko

DART yataja sababu ongezeko nauli za mabasi mwendokasi

  WAKALA wa Mabasi Yaenday Haraka (DART), umesema nauli za mabasi ya mwendokasi zimeongezeka kutokana na kupanda kwa gharama za uendeshaji hususan mafuta....

Habari MchanganyikoTangulizi

Nauli mabasi ya mwendokasi kupanda Januari 16

  WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), umetangaza nauli mpya kwa watumiaji wa mabasi yaendayo haraka, zitakazoanza kutumika kuanzia tarehe 16 Januari 2023....

Habari Mchanganyiko

Kanuni za ushirikishwaji wa Watanzania zaleta mabadiliko makubwa

KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa mabadiliko ya Sheria ya Madini ya mwaka 2017 na kanuni za ushirikishwaji...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yasababisha maafa Morogoro

MVUA mkubwa iliyoanza kunyesha usiku wa kuamkia leo Ijumaa, tarehe 13 Januari 2023 mkoani Morogoro, imesababisha maafa kwa wananchi wa baadhi ya maeneo...

Habari Mchanganyiko

Miaka 59 Mapinduzi Z’bar: NMB, BLRC washiriki usafi Maisara

LEO Alhamisi tarehe 12 Januari 2023, Zanzibar inaadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Matufuku. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Shughuli mbalimbali za kijamii zimefanyika ikiwemo za...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwigulu aagiza watendaji: Anayeanzisha shughuli ya uzalishaji aheshimiwe

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa watendaji wa Serikali kuhakikisha wanawasaidia wale wanaotaka kuanzisha uwekezaji kwani hao...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu asisitiza Mahakama kutenda haki

  ZIKIWA zimebaki siku 12 kuelekea siku ya maadhimisho wa wiki ya sheria, Mahakama nchini Tanzania imesema itaendelea kutoa haki kwa wakati na...

error: Content is protected !!