HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Serikali yavikosoa vyombo vya habari vya kimataifa November 23, 2025 Erasto Masalu MSEMAJI wa serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amevikosoa vyombo vya habari vya nje akivitaka kufuata maadili na misingi ya uandishi wa habari. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).…
HABARI MCHANGANYIKO Rais Mwinyi azindua miradi ya nyumba November 22, 2025 Erasto Masalu RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ameiagiza wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi, kuzuia wananchi kuuza viwanja kiholela bila kuzingatia matumizi bora ya ardhi. Anaripoti Zakia Nanga, Zanzibar ……
HABARI MCHANGANYIKO China yazindua ukarabati Tazara November 20, 2025 Erasto Masalu MAKAMU wa Rais, Balozi Emmanuel Nchimbi, amesema ukarabati wa reli ya TAZARA utaimarisha ukanda wa kati na kusini, kuchochea biashara kati ya Tanzania, Zambia; Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA Serikali yaanza kuonja kibano cha kimataifa November 20, 2025 Erasto Masalu BUNGE la Jumuiya ya Ulaya (EU), limepitisha kwa wingi, pingamizi dhidi ya mpango wa Tume ya Ulaya wa kuelekeza msaada wa kifedha kwa Serikali ya Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar…
HABARI MCHANGANYIKO Mtanzania aliyeuawa Israel azikwa November 20, 2025 Erasto Masalu MAZIKO ya Joshua Loitu Mollel, raia wa Tanzania, aliyefariki dunia, tarehe 7 Oktoba 2023, nchini Israel, baada ya kushambuliwa na kundi la wanamgambo wa Hamas, yamefanyika leo, 20 Novemba 2025,…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Zitto Kabwe azinduka usingizini November 20, 2025 Erasto Masalu KIONGOZI mwandamizi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, sasa ametoka kwenye usingizi mnono. Amekiri kwamba hakuna uwezekano wa kulinda kura, kupitia chaguzi zinazofanywa kwa sheria kandamizi. Anaripoti Mwandishi Wetu,…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Tume ya Rais Samia yapingwa kila kona November 19, 2025 Erasto Masalu CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema Tume ya Uchunguzi, iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, haina uhalali wa kufanya kazi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Lissu: Nitakuwa wa mwisho kutoka gerezani mpaka wote waachiliwe November 19, 2025 Erasto Masalu TUNDU Lissu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ambaye yupo katika gereza Kuu la Ukonga kama mshtakiwa wa tuhuma za uhaini katika mahakama kuu masjala ndogo ya Dar…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Mtanzania aliyeuwawa na Hamas arudishwa Tanzania November 19, 2025 Erasto Masalu MWILI wa Joshua Loitu Mollel (21), raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyeuawa na kundi la wanamgambo wa Hamas, wakati wa mauaji ya tarehe 7 Oktoba mwaka 2023, unatarajiwa…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA Rais Samia aunda Tume ya kuchunguza matukio ya 29 Oktoba November 18, 2025 Erasto Masalu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume Huru ya Uchunguzi itakayochunguza matukio yaliyotokea siku ya uchagazi mkuu tarehe 29 Oktoba yaliyoitwa na serikali matukio ya…