HABARI MCHANGANYIKO MAKALA & UCHAMBUZI TANGULIZI Vyombo vya habari vimesifiwa au vimedhihakiwa? November 26, 2025 Erasto Masalu WAKATI vyombo habari nchini Tanzania vikitajwa kurudi nyuma kwa kushindwa kuripoti au kuandika matukio yenye maslahi kwa umma msemaji wa serikali amevisifia kwa weledi. Anaandika Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…
HABARI MCHANGANYIKO Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Polepole, ni siku 51 tangu ametekwa November 25, 2025 Erasto Masalu IKIWA ni siku 51 sawa na saa 1,224, dakika 73,440 tangu aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kuripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana, leo ni kumbukizi ya siku yake…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Siachi kusoma gazeti la MwanaHALISI – Profesa Kabudi November 25, 2025 Erasto Masalu WAZIRI Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi, amesema kuwa miongoni mwa magazeti ambayo hawezi kuacha kusoma ni pamoja na MwanaHALISI linalozalishwa na kampuni ya Hali Halisi Publishers. Anaripoti…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Tanzania inahujumiwa kwa sababu ya rasimali zake -Dk Mwigulu November 25, 2025 Erasto Masalu WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchema amesema matukio yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025, ni hujuma kwa Tanzania ikilenga kuwafitinisha wananchi wagawanyike. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).…
HABARI MCHANGANYIKO Polisi yathibitisha kutoa kwa mauaji ya mtoto wa miaka miwili Mara November 25, 2025 Erasto Masalu JESHI la Polisi Mkoa wa Mara limethibitisha kutokea kwa mauaji ya Mariam Paye Lubunda, mtoto mwenye umri wa miaka 2 na miezi 9 mkazi wa mtaa wa Zanzibar, Manispaa ya…
HABARI MCHANGANYIKO Ajali ya basi yaua watatu Morogoro November 25, 2025 Erasto Masalu WATU watatu wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya ABC lililokuwa likitoka Iringa kuelekea Dar es Salaam kugongana na basi la Kelvan International lililokuwa…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA Washtakiwa 57 wa uhaini waanza kuachiliwa November 24, 2025 Erasto Masalu NI siku 10 tangu Rais Samia Suluhu Hassan, alivyotangaza waandamanaji walioshtakiwa kwa mashtaka ya uhaini katika mahakama mbalimbali nchini ambao waliingia kwenye maandamano kwa kufuata mkumbo , agizo hilo limeanza…
HABARI MCHANGANYIKO Wahamiaji haramu 14 wakamatwa Mwanza November 24, 2025 Erasto Masalu JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume na sheria kwa kutumia usafiri wa magari mawili tofauti ya abiria. Anaripoti…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Ripoti yetu kuhusu Tanzania imezingatia weledi – CCN November 24, 2025 Erasto Masalu KITUO cha habari cha kimataifa cha CNN kimesisitiza kuwa ripoti yake juu ya matukio ya tarehe 29 Oktoba 2025 nchini Tanzania, imejengwa kikamilifu juu ya ushahidi; hakikuchapisha taarifa yoyote ambayo…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Mzimu wa Oktoba 29 unavyoitesa Serikali November 24, 2025 Erasto Masalu NI siku 26 sasa tangu matukio ya tarehe 29 Oktoba yaliigubika Tanzania kiza cha moshi wa risasi zilizoacha simanzi na majonzi kwa wananchi. Bado mjadala wake hauzimi. Anaripoti Mwandishi Wetu,…