HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Maandamano ya Gen Z kuikosesha Tanzania mabilioni November 18, 2025 Erasto Masalu RAIS Samia Suluhu Hassani amesema kwa maandamano na vurugu zilizotokea tarehe 29 Oktoba 2025 siku ya Uchaguzi mkuu yameitia doa nchi na kuiweka Tanzania kwenye wakati mgumu ya kupata mabilioni…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA TANGULIZI Mwanajeshi wa Marekani akamatwa na mabomu Tanzania November 17, 2025 Erasto Masalu JESHI la Polisi Mkoa wa Polisi Tarime- Rorya, limesema limemkamata Charles Onkuri Ongeta, mwenye uraia pacha wa Kenya na Marekani, katika eneo la mpaka wa Tanzania na Kenya, Sirari. Anaripoti…
HABARI MCHANGANYIKO TANGULIZI Machafuko ya 29 Oktoba: Maaskofu Katoliki wataka wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wawajibike November 15, 2025 Erasto Masalu BARAZA la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania, limetaka wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama wawajibike, au kuwajibishwa na mamlaka zao za uteuzi, kutokana na matendo maovu waliyofanyiwa…
HABARI MCHANGANYIKO KIMATAIFA SIASA TANGULIZI Shinikizo la kufanyika uchunguzi wa mauaji ya 29 Oktoba lashika kasi November 15, 2025 Erasto Masalu SERIKALI ya Ireland na Denmark, zimetaka kufanyika uchunguzi huru kuhusu kinachoitwa, “mauaji ya kiholela na ukiukaji wa haki za binadamu nchini Tanzania.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).…
BIASHARA HABARI MCHANGANYIKO Meridianbet yaendelea kuwekeza kwa jamii kupitia MRC Rehabilitation Centre November 14, 2025 Erasto Masalu Kampuni ya michezo ya kubashiri inayoongoza nchini, Meridianbet Tanzania, imeendeleza utamaduni wake wa kuwainua watu wanaoishi katika mazingira magumu kupitia miradi ya kijamii (CSR). Katika tukio la hivi karibuni, kampuni…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Samia atangaza msamaha kwa waandamanaji November 14, 2025 Erasto Masalu RAIS Samia Suluhu Hassan, ametangaza msamaha kwa vijana waliokamatwa, kufuatia maandamano ya siku tatu kuanzia siku ya uchaguzi mkuu wa 29, Oktoba. Anaripoti Saed Kubenea, Dar es Salaam … (endelea).…
HABARI MCHANGANYIKO Watumishi LHRC wadai kukamatwa na Polisi November 14, 2025 Erasto Masalu WAFANYAKAZI wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), waliokuwa wakifanya kazi katika hoteli ya White Sands, jijini Dar es Salaam, wamekamatwa na polisi, jana tarehe 13 Novemba 2025,…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Tuache kiburi, tuliokoe taifa – Mwabukusi November 13, 2025 Erasto Masalu RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, amewataka viongozi wa serikali kuacha kiburi, ili kuliokoa taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). “Ni muhimu kwa watawala…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Ngoma bado mbichi, Lissu aibuka na pingamizi jipya November 12, 2025 Erasto Masalu TUNDU Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameibua pingamizi la kupinga kutumika kwa sheria ya kuficha mashahidi kwenye shauri la uhaini linalomkabili katika Mahakama Kuu, masjala ndogo…
HABARI MCHANGANYIKO SIASA TANGULIZI Lissu apinga shahidi wa siri kutoonekana na majaji November 12, 2025 Erasto Masalu TUNDU Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeshtakiwa kwa tuhuma za uhaini kwenye Mahakama ya Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam, amepinga namna ya utolewaji wa…