Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Breaking news! Mufti amng’oa Sheikh mkoa Dar
Habari MchanganyikoTangulizi

Breaking news! Mufti amng’oa Sheikh mkoa Dar

Sheikh Alhad Mussa Salum
Spread the love

BARAZA la Ulamaa la Bakwata katika kikao kilichofanyika tarehe 1 Februari 2023 chini Mwenyekiti Mufti Abubakar Zubeir limetengeua uteuzi wa Sheikh Alhad Mussa Salum kama Sheikh mkuu wa mkoa Dar es Salaam kuanzia leo tarehe 2 Februari 2023. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam…(endelea).

Mufti Mkuu na Sheikh Mkuu wa Bakwata, Abubakary Zubery,

Akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 2 Februari 2023, Katibu wa Baraza la Ulamaa, Sheikh Hassan Said Chizenga amesema baraza hilo limemteua  Sheikh Walid Alhad Omar kukaimu nafasi hiyo ya Sheikh Alhad Mussa Salum kuanzia leo.

Katibu wa Baraza la Ulamaa, Sheikh Hassan Said Chizenga

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!