Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Breaking news! Mufti amng’oa Sheikh mkoa Dar
Habari MchanganyikoTangulizi

Breaking news! Mufti amng’oa Sheikh mkoa Dar

Sheikh Alhad Mussa Salum
Spread the love

BARAZA la Ulamaa la Bakwata katika kikao kilichofanyika tarehe 1 Februari 2023 chini Mwenyekiti Mufti Abubakar Zubeir limetengeua uteuzi wa Sheikh Alhad Mussa Salum kama Sheikh mkuu wa mkoa Dar es Salaam kuanzia leo tarehe 2 Februari 2023. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam…(endelea).

Mufti Mkuu na Sheikh Mkuu wa Bakwata, Abubakary Zubery,

Akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 2 Februari 2023, Katibu wa Baraza la Ulamaa, Sheikh Hassan Said Chizenga amesema baraza hilo limemteua  Sheikh Walid Alhad Omar kukaimu nafasi hiyo ya Sheikh Alhad Mussa Salum kuanzia leo.

Katibu wa Baraza la Ulamaa, Sheikh Hassan Said Chizenga

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tanzania yakabidhi rasmi msaada nchini Malawi

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Tumeshagawa pikipiki 5,500 kati ya 7,000 kwa maafisa ugani

Spread the love  WAZIRI wa Kilimo, Hussen Bashe, amesema wizara hiyo tayari...

Habari Mchanganyiko

Spika Tulia awapa neno mawaziri utekelezaji mashamba ya pamoja

Spread the love  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amewataka mawaziri kushirikiana...

Habari Mchanganyiko

Ukosefu wa maadili kwa wakunga, wauguzi bado changamoto

Spread the loveIMEELEZWA kuwa vitendo vya uvunjifu wa maadili kwa  wauguzi na...

error: Content is protected !!