Wednesday , 29 March 2023
Home Gazeti Habari Mchanganyiko Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar
Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

Spread the love

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar ea Salaam (RPC), Jumanne Muliro kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizj wa Polisi (SACP). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumamosi na Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, SACP David Misime, uteuzi wa Kamanda Muliro, aliyekuwa Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), amepandishwa cheo kuanzia tarehe 20 Februari 2022.

“Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillus M.Wambura anapenda kuwajulisha kuwa Dk. Samia Suluhu Hassan ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,” imesema taarifa hiyo na kuongeza:

“Amempandisha cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Muliro Jumanne Muliro kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP).

Amepandishwa cheo hicho kuanzia tarehe 20 Februari 2023.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awataka wahariri kufanya kazi bila uoga, upendeleo

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wahariri wa vyombo...

Habari Mchanganyiko

STAMICO yasaini mkataba wa bilioni 55.2 kuchoronga miamba GGML

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limezidi kufanya vizuri katika...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa traksuti za Mwenge wa Uhuru Mtwara

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa traksuti kwa mkoa wa Mtwara ambako...

Habari Mchanganyiko

Yara yaja na bima ya mazao kwa wakulima

Spread the love  WAKATI serikali ikiweka mikakati mbalimbali kuimarisha sekta ya kilimo...

error: Content is protected !!