MABAO mawili ya John Bocco na Chriss Mugalu yalitosha kuifanya Simba kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu...
By Kelvin MwaipunguJuly 11, 2021KUFUATIA kupata ajali mbaya ya gari, kwa kikosi cha timu ya Polisi Tanzania mkoani Kilimanjaro, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesogeza...
By Kelvin MwaipunguJuly 11, 2021MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam, itatoa maamuzi ya kesi ndogo ya zuio la uchaguzi namba 305, iliyofunguliwa na mwanamichezo Ally...
By Kelvin MwaipunguJuly 9, 2021KLABU ya soka ya Yanga, imeingia mktaba wenye thamani ya shilini 41 bilioni, katika kipindi cha miaka 1o na kampuni ya Azam...
By Kelvin MwaipunguJuly 8, 2021JUMUIYA ya Kikristo Tanzania (CCT), imesema taasisi za dini hazikushirikishwa katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa 2020, baada ya kukosa vibali, tofauti na...
By Kelvin MwaipunguJuly 8, 2021KLABU ya Soka ya Yanga, imepigwa faini ya Shilingi milioni tatu, mara baada ya kufanya makossa manne kwenye mchezo wa Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguJuly 8, 2021MKAZI wa Kijiji cha Kinole, Mkoa wa Morogoro nchini Tanzania, Abdallah Mohammed, amejishindia gari jipya aina ya Toyota Fortuner yenye thamani ya...
By Kelvin MwaipunguJuly 7, 2021FAINALI ya michuano ya Copa America, itapigwa siku ya Jumapili ambapo itaikutanisha miamba ya soka barani humo, tumu ya Taifa ya Argentina...
By Kelvin MwaipunguJuly 7, 2021KIKOSI cha klabu ya Simba leo kitashuka dimbani, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya KMC, ambapo Kocha Msaidizi, Selaman Matola...
By Kelvin MwaipunguJuly 6, 2021KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) itakutana Julai 16, 2021, nchini Morocco kujadili mfumo wa mashindano mapya...
By Kelvin MwaipunguJuly 6, 2021ALIYEKUWA mlinzi wa kulia wa klabu ya AS Vita ya nchini DR Congo, Djuma Shaban rasmi kukipiga ndani ya Yanga, kwenye msimu...
By Kelvin MwaipunguJuly 6, 2021KUFUATIA klabu yake ya Simba kupoteza mchezo wao dhidi ya Yanga, kwa bao 1-0, Afisa Habari wa klabu hiyo, Haji Manara ameahidi...
By Kelvin MwaipunguJuly 5, 2021MARA baada ya kufanyika kwa mchezo mkubwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kati ya Simba ambao walikuwa wenyeji mbele ya Yanga na...
By Kelvin MwaipunguJuly 5, 2021Katika hali ya kustajabisha, kwenye mchezo watani wa jadi kati ya Simba na Yanga, kikosi cha klabu ya Yanga ambao walikuwa wageni...
By Kelvin MwaipunguJuly 3, 2021MARA baada ya kuondoka na ushindi wa bao 1-0. kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kocha Mkuu wa klabu ya Yanga,...
By Kelvin MwaipunguJuly 3, 2021TIMU ya Yanga ya Dar es Salaam, imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya watani zao Simba, katika mchezo wa Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguJuly 3, 2021KESHO Mafahari wawili kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu za Simba na Yanga, zinashuka dimbani kusaka pointi tatu, huku kila upande ukijinasibu...
By Kelvin MwaipunguJuly 2, 2021MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, imetoa mwongozo wa kesi ya zuio la uchaguzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), isikilizwe...
By Kelvin MwaipunguJuly 2, 2021MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam nchini Tanzania, leo Ijumaa saa 6:00 mchana, itatoa hukumu ndogo ya ama kuzuia uchaguzi wa...
By Kelvin MwaipunguJuly 2, 2021MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepokea kesi ya kupinga uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), iliyofunguliwa na...
By Kelvin MwaipunguJuly 1, 2021JESHI la Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limesema kuwa limejipanga kuimalisha ulinzi, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati...
By Kelvin MwaipunguJuly 1, 2021KUELEKEA mtanange wa watani wa jadi, kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba, Bernard Morrison amechaguliwa kuwa mchezi bora wa mashabiki wa klabu hiyo,...
By Kelvin MwaipunguJuly 1, 2021Klabu ya KMC ya jijini Dar es Salaam, imerejesha mchezo wake dhidi ya Simba jijini Dar es Salaam, kwenye dimba la Benjamin...
By Kelvin MwaipunguJuly 1, 2021EMMANUEL Mwandembwa kutoka Arusha, ndiye atakayekuwa mwamuzi wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga utakaopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin...
By Kelvin MwaipunguJuly 1, 2021HATUA ya 16 ya michuano ya Euro imemalizika jana, kwa kigogo mwengine wa soka barani humo, timu ya Taifa ya Ujerumani kutupwa...
By Kelvin MwaipunguJune 30, 2021KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, (TFF), imepitisha jina la Wallace Karia kuwa mgombea peke kwenye uchaguzi mkuu...
By Kelvin MwaipunguJune 29, 2021ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amesema ulimwengu umejaa unafiki,...
By Kelvin MwaipunguJune 28, 2021HATUA ya 16 bora ya michuano ya Euro imeanza mwisho wa juma lililopita ambapo mpaka sasa imeshapigwa jumla ya michezo minne, huku...
By Kelvin MwaipunguJune 28, 2021RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameutaka uongozi na wanachama wa mabingwa wa soka nchini humo, Yanga kuwa wavumilivu kufikia mafanikio...
By Kelvin MwaipunguJune 27, 2021JAKAYA Mrisho Kikwete, Rais mstaafu wa Tanzania amesema, atafurahia iwapo Yanga itaibuka na ushindi dhidi ya mtani wake, Simba. Anaripoti Kelvin Mwaipungu,...
By Kelvin MwaipunguJune 27, 2021RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wanachama wa Klabu ya Yanga kuwa wawazi kushauri na kukosoa ili iweze kusonga mbele. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguJune 27, 2021MKUTANO Mkutano Mkuu wa Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, imepitisha majina matano likiwemo Mama Fatuma Karume, kuwa wajumbe wa Baraza...
By Kelvin MwaipunguJune 27, 2021GOLI pekee ya mshambuliaji wa kimataifa kutoka Ghana wa Yanga ya Dar es Salaam, Yacouba Sogne, limeipeleka fainali ya michuano ya Azam...
By Kelvin MwaipunguJune 25, 2021MSHAMBULIAJI kinda wa Timu ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) Kelvin John amesajiliwa kwa mkataba wa miaka mitatu na klabu ya KRC...
By Kelvin MwaipunguJune 25, 2021SERIKALI imeombwa kupitia upya mchakato wa ugawaji mali za iliyokuwa Jiji la Dar es Salaam, baada ya kuvunjwa na aliyekuwa Rais wa...
By Kelvin MwaipunguJune 24, 2021Kuelekea mchezo wa kesho wa nusu fainali ya michuano ya kombe la FA (Azam Federation Cup) kati ya Yanga dhidi ya Biashara...
By Kelvin MwaipunguJune 24, 2021Kamati ya maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemuondoa kifungoni Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Fedrick Mwakalebela, mara...
By Kelvin MwaipunguJune 24, 2021RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ally Mwinyi amemteuwa Arafat Ally Haji ambaye ni mjumbe wa kamati...
By Kelvin MwaipunguJune 24, 2021MARA baada ya kukamilika hatua ya makundi ya michuano ya Euro 2020, hatimaye michezo ya 16 bora itaanza kupigwa siku ya Jumamosi,...
By Kelvin MwaipunguJune 24, 2021WAZIRI wa fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa kilichosababisha klabu ya Simba kukumbana na kadhia ya kipigo cha mabao 4-0,...
By Kelvin MwaipunguJune 22, 2021WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amefafanua jinsi kodi ya lini ya simu itakavyolipwa na watumiaji huku akiwaomba...
By Kelvin MwaipunguJune 22, 2021Mara baada ya kukosekana Uwanjani kwa wiki tatu, kiungo wa klabu ya Simba, Clatous Chama amerejea Uwanjani, huku mlinda mlango wa klabu hiyo...
By Kelvin MwaipunguJune 22, 2021MAKAMU wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othuman Masoud Othuman amekishukuru chama chake cha ACT-Wazalendo kwa kumpendekeza kwenye nafasi hiyo huku akiwaahidi...
By Kelvin MwaipunguJune 19, 2021MARA baada ya uongozi wa klabu ya Yanga kumfungia mlinda mlango wake Metacha Mnata, kwa kosa la utovu wa nidhamu, mchezaji huyo...
By Kelvin MwaipunguJune 18, 2021KOCHA msaidizi wa klabu ya Simba, Seleman Matola amejinasibu kikosi chake kuwa tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguJune 18, 2021MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam, imetoa salamu za rambirambi, kufuatia kifo cha Kenneth Kaunda, Rais wa kwanza...
By Kelvin MwaipunguJune 18, 2021Nasreddine Nabi kocha mkuu wa kikosi cha Yanga , amefunguka mipango yake ya usajili kuelekea msimu ujao wa mashindano huku akikili kuhitaji mlinzi...
By Kelvin MwaipunguJune 18, 2021ALIYEKUWA mgombea wa nafasi ya Urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Ally Mayay Tembele ameonesha kutokuwa...
By Kelvin MwaipunguJune 17, 2021MARA baada ya kuwa kwenye mapumziko ya wiki mbili kikosi cha Yanga kesho kitashuka dimbani kwenye muendelezo wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania...
By Kelvin MwaipunguJune 16, 2021KLABU ya Soka ya Yanga imesema haijakata tamaa na ubingwa Ligi Kuu Bara na hivyo wamesema kuwa watapambana mpaka dakika za mwisho. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguJune 16, 2021