Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Kikwete: Yanga itaipiga Simba
MichezoTangulizi

Kikwete: Yanga itaipiga Simba

Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete
Spread the love

 

JAKAYA Mrisho Kikwete, Rais mstaafu wa Tanzania amesema, atafurahia iwapo Yanga itaibuka na ushindi dhidi ya mtani wake, Simba. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Kikwete ametoa kauli hiyo leo Jumapili, tarehe 27 Juni 2021, katika mkutano mkuu wa klabu hiyo uliofanyika ukumbi wa DYCC-Temeke, mkoani Dar es Salaam.

Yanga na Simba, zitacheza mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara, tarehe 3 Julai 2021, saa 11 jioni, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

 

Kikwete ambaye ni shabiki wa mabingwa hao wa kihistoria amesema “Yanga naipenda, inapofanya vizuri nafurahi sana na inapofanya vibaya nasononeka na matumaini yangu Jumamosi ijayo itafanya vizuri.”

Pia, watani hao wa jadi, watakutana tarehe 25 Julai 2021, katika Uwanja wa Tanganyika, mkoani Kigoma kwenye fainali ya Kombe la Azam Sports Federetion Cup (ASFC).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

error: Content is protected !!