Categorizing posts based on type of post
RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaapisha viongozi watatu aliowateua tarehe 8 Oktoba 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....
By Regina MkondeOctober 11, 2021TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imerejea tena kwenye usukani wa kundi J, katika harakati za kutafuta tiketi za kufuvu fainali za...
By Kelvin MwaipunguOctober 10, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali tayari imetumia jumla ya Sh bilioni 596.3 kwa ajili ya ununuzi wa ndege nyingine tano mbali...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021RAIS Samia amewaonya viongozi, watumishi na wazabuni watakaosimamia miradi itakayotekelezwa kwa kutumia fedha zilizotolewa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) kwa Tanzania,...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kuthibiti urasimu wa kupata msamaha wa kodi kwa vifaa...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA) kutumia utaratibu wa manunuzi wa moja kwa moja ‘single source’ badala...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan ameagiza watekelezaji wa miradi mbalimbali ya ujenzi wa shule na maji nchini, kuwatumia wakandarasi wa ndani kwa kuwa miaka...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021Rais SAMIA Suluhu Hassan ameomba sekta binafsi kumuunga mkono kwa kuchangamkia fursa zinazotokana na fedha zilizotolewa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) zitakazotumika...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021MAHAKAMA Kuu ya Tanzania (Idara ya Biashara) jijini Dar es Salaam imeagiza kukamatwa kwa wadeni watatu wa benki ya Exim Tanzania kwa kushindwa...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amelishuruku Shirika la Fedha Duniani (IMF) kwa kuielewa Serikali ya Tanzania na kuridhia itumie fedha za maendeleo kwa ustawi...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021VYAMA vya ACT – wazalendo na CCM vimegawana majimbo Konde Visiwani Zanziba na Ushetu mkoani Shinyanga katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 9...
By Masalu ErastoOctober 10, 2021Bondia Tyson Fury kutoka Uingereza leo tarehe 10 Oktoba, 2021 amemtwanga kwa knock out katika raundi ya 11 bondia Deontay Wilder kutoka...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2021TIMU ya soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imenyakua ubingwa wa michuano ya nchi za ukanda wa kusini mwa Afrika (Cosafa)...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2021WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora nchini Tanzania, Mohamed Mchengerwa amewataka watumishi wa umma...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amefanya mabadiliko madogo ya wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge huku akiwapangia kamati waliokuwa...
By Regina MkondeOctober 9, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Jaji Mustapha Siyani kuwa Jaji Kiongozi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2021RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Visiwani humo, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema uamuzi wa mapokezi ya ndege mbili...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2021TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewataka wapiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani, unaotarajiwa kufanyika kesho Jumamosi, kutofanya mikusanyiko...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2021TANZANIA leo Ijumaa, tarehe 8 Oktoba 2021, imepokea dozi 576,558 za chanjo dhidi ya ugonjwa unaoambukizwa na virusi vya korona (UVIKO-19) aina...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2021Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango amemuagiza Waziri ya viwanda na biashara, Prof. Kitila Mkumbo pamoja na Shirikisho la wenye Viwanda nchini...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Omary Chingwile ili kupisha uchunguzi wa...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2021KONGAMANO la haki, amani na maridhiano lililokuwa lifanyike tarehe 21-23 Oktoba 2021, ambalo linaandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) limeahirishwa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2021MARA baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Benin kwa bao 1-0, kocha wa kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Kim...
By Kelvin MwaipunguOctober 7, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekataa kufungua barabara ya lami yenye urefu wa kilomita 1.2 iliyoko katika halmashauri ya wilaya ya...
By Mwandishi WetuOctober 7, 2021SHIRIKA la Afya duniani (WHO) limeidhinisha chanjo ya kwanza ya ugonjwa wa Malaria na kusisitiza kuwa inapaswa kutolewa kwa watoto wote Barani...
By Mwandishi WetuOctober 7, 2021SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema alikuwa na ndoto ya kuwa hakimu kama alivyokuwa baba yake...
By Mwandishi WetuOctober 7, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, haitawavumilia watumishi wa umma...
By Mwandishi WetuOctober 7, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Jaji Mkuu na Kaimu Jaji Kiongozi kutupia jicho vizuri usimamizi wa ubora wa maamuzi kwenye mahakama za...
By Mwandishi WetuOctober 6, 2021SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) imeingia mkataba na Benki ya NBC wenye thamani ya Sh.2.5 bilioni bila Kodi ya Ongezeko la Thamani...
By Kelvin MwaipunguOctober 6, 2021PROFESA Mussa Assad, aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania (CAG) amekerwa na viongozi wenye uwezo wa...
By Mwandishi WetuOctober 6, 2021PROFESA Mussa Assad, aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania (CAG) amesema, aliondolewa katika wadhifa wa U...
By Mwandishi WetuOctober 6, 2021ALIYEWAHI kuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, Bernard Membe amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi jasiri na mahiri, anatosha...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya Uchumi Afrika (BADEA),...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2021KIUNGO wa klabu ya Simba Jonas Mkude ameondolewa kwenye kambi ya Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kutokana na matatizo ya...
By Kelvin MwaipunguOctober 5, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani nchini Tanzania, kimemuomba Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, aingilie...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2021MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema mabadiliko ya bei za bando iliyofanywa na baadhi ya kampuni za simu za mkononi nchini ni...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2021WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameziagiza wizara, halmashauri na taasisi za Serikali na binafsi, ziimarishe mazingira ya uchumi shirikishi ili kukuza kipato cha...
By Regina MkondeOctober 4, 2021RAIS wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amesema, tofauti na ambavyo alieleza huko nyuma, ameamua kujiuzulu siasa na hivyo, hatajitosa katika kinyang’anyiro cha urais katika...
By Masalu ErastoOctober 3, 2021Tanzania imepata nafasi ya kupeleka washiriki sita kwenye Fainali za Urembo, Mitindo na Utanashati kwa viziwi ya ngazi ya dunia yatakayofanyika Aprili...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2021WANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamewasilisha maombi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, kuiomba itoe amri ili wafuasi wake wanaoshikiliwa...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2021JUMLA ya Mawaziri nane wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanatarajia kuanza ziara ya siku 15 katika vijiji 975 kwa...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2021Maelfu ya wanawake nchini Marekani wameandamana katika zaidi ya miji 600 nchi hiyo kupinga kampeni ya kuzuia uavyaji (utoaji) mimba. Anaripoti Mwandishi...
By Kelvin MwaipunguOctober 3, 2021MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othman Masoud Othman, amekula kiapo cha kutimiza ndoto ya mrithi wake, Maalim Seif Shariff Hamad ya...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2021WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amehitimisha sakata la uraia wa Kibu Denis Prosper kwa kutangaza kumpa uraia mchezaji...
By Masalu ErastoOctober 2, 2021MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe amemshauri Msajili wa vyama vya siasa nchini humo, Jaji Francis Mutungi kutoingilia ratiba...
By Masalu ErastoOctober 2, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema katika kipindi chake cha uongozi, atahakikisha anaimarisha chama cha Skauti nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuOctober 2, 2021BAO pekee lililofungwa dakika ya 69 na mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagera dhidi ya Dodoma Jiji limerejesha furaha kwa mabingwa hao watetezi wa...
By Masalu ErastoOctober 1, 2021SAKATA la uraia wa mchezaji mpya wa Simba ya Dar es Salam, Kibu Denis limemuibua Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akimtaka Waziri...
By Masalu ErastoOctober 1, 2021NGOME ya Wazee wa Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, imeomba kuonana na Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, ili kuzungumza changamoto...
By Regina MkondeOctober 1, 2021HUKUMU ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili iliyokuwa...
By Mwandishi WetuOctober 1, 2021