Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari ‘Tuende na single source’
Habari

‘Tuende na single source’

Rais Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA) kutumia utaratibu wa manunuzi wa moja kwa moja ‘single source’ badala ya utaratibu wa kawaida ambao unatumia muda mrefu katika utekeleza wa miradi inayotokana na fedha za zilizotolewa na Shirika la Fedha Duniani (IMF) nchini. Anaripoti Mwandishi wetu (endelea)

Rais Samia ametoa kauli hiyo leo tarehe 10 Oktoba, 2021 jijini Dodoma wakati akizindua kampeni ya maendeleo kwa ustawi na mapambano ya UVIKO -19 ambao umetokana na mkopo nafuu wa Sh trilioni 1.3 uliotolewa na Shirika hilo la IMF.

Amesema utaratibu huo wa single source utumike kutafuta wakandarasi pamoja na manunuzi mengine.

‘Utaratibu wetu tenda miezi mitatu hapana…tuende na single source.

“Pia nashauri tathmini ifanyike mapema kubaini vifaa hivyo vya ujenzi na idhini itolewe na  PPRA ili vinunuliwe kwa utaratibu huo niliolekeza” alisema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

HabariSiasa

Dk. Rose Rwakatare atoa kadi 500 kila Wilaya Morogoro

Spread the loveMWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk...

ElimuHabari

CBE, WMA wasaini makubaliano wanafunzi kusoma wakifanyakazi

Spread the loveNAIBU Spika Musa Azzan Zungu amekipongeza Chuo cha Elimu ya...

HabariTangulizi

Dk. Slaa, Mwabukusi kuhojiwa na jeshi la Polisi Mbeya

Spread the loveJESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad...

HabariHabari Mchanganyiko

Kairuki Hospital Green IVF  yawanoa madaktari kuhusu upandikizaji mimba

Spread the love KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF...

error: Content is protected !!