Thursday , 2 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama kuu yabariki mkataba DP World, yadai haujakiuka Katiba

  MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya leo Alhamisi imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi wanne wakiongozwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Abiria ABOOD walionusurika ajalini, wazua timbwili, Mbunge Abood ang’aka

KAMPUNI ya mabasi ABOOD imeingia matatani baada ya uongozi wa kampuni hiyo kuwalazimisha abiria zaidi ya 50 kusafiri kwa basi bovu lililopata ajali...

BiasharaHabari

Jaji Maghimbi agomea muungano TWIGA, Tanga Cement

SAKATA la kampuni ya Tanga Cement kuuzwa limezidi kuchukua sura mpya baada ya mmoja wa wajumbe wa Tume ya Ushindani wa Haki FCC,...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Serikali haijafunga mipaka kuuza mazao nje ya nchi

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haijafunga mipaka kuuza mazao nje ya nchi, bali inataka kuwe na mfumo wa ununuzi, uuzaji na usafirishaji...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo awachongea wakuu wa mikoa, wilaya kwa Rais Samia

KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutoa kauli kuhusu wakuu wa wilaya na mikoa ambao wameshindwa kuthibiti kikundi...

Habari za Siasa

Bashe aweka historia Samia akizindua program uchimbaji visima 67800

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumanne amezindua programu ya uchimbaji wa visima kwa ajili ya wakulima wadogo 67,850 kwa nchi nzima zitakazowezesha jumla...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yaahirisha hukumu ya kesi ya ‘DP Word’

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mbeya, leo Jumatatu, imeahirisha kutoa uamuzi wa shauri la madai lililofunguliwa na raia watano, wanaopinga makubaliano ya kibiashara na...

Habari za Siasa

Kamati za Bunge mguu sawa Bunge likianza 29 Agosti

Bunge la Tanzania limesema, vikao vya kawaida vya Kamati za Kudumu za Bunge vitaanza kufanyika Jumatatu tarehe 14 hadi 25 Agosti 2023 Jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia: Ofisi msajili vyama vya siasa haina uwezo kusimamia upatikanaji Katiba mpya

JAMES Mbatia, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amesema Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, haiwezi kushughulikia mchakato wa upatikanaji katiba mpya,...

Habari za Siasa

NEC: Uchaguzi Mbarali Septemba 19

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwa uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Mbarali na madiwani katika kata sita za Tanzania Bara,...

BiasharaTangulizi

Wafanyabiashara waitwa Bandari ya Dar es Salaam

  WAFANYABIASHARA wametakiwa kutumia Bandari ya Dar es Salaam, kusafirisha mizigo yao badala ya kutumia bandari za mbali, ili kuokoa muda na gharama....

Habari MchanganyikoTangulizi

Mzee amuangukia Majaliwa kutekwa kwa mwanaye, “bora nife”

KATIKA hali isiyo ya kawaida Mzee Isaac Mwasilu mkazi wa Kata ya Iyela – Mbeya Mjini mkoani Mbeya, amesema bora arudi nyumbani na...

Habari za Siasa

Majaliwa atoa maagizo kuhusu mitaji kwa wakulima, ushirika

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo iweke katika lugha rahisi andiko juu ya upatikanaji wa mitaji na pembejeo kwa wakulima na...

Habari za Siasa

Msajili aendelea kuhakiki vyama vya siasa

  OFISI ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini, inaendelea na zoezi la uhakiki wa masharti ya usajili wa vyama hivyo, ambapo hadi...

Habari za Siasa

Mmoja mbaroni tuhuma za kuchoma moto gari la Lissu, uchunguzi waendelea

  MLINZI wa Hoteli ya Twiga, aliyefahamika kwa jina la Cyprian, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Geita, kwa tuhuma za kuchoma gari...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uhaba wa dola wapaisha bei ya petroli

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama vya siasa vyaomba Chadema ifutwe, msajili atoa kauli

BAADHI ya vyama vya siasa vya upinzani nchini vimeitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ivifutie usajili vyama vinavyokiuka sheria katika...

KimataifaTangulizi

Rais awatimua mawaziri kwa kuchelewa kikaoni

RAIS wa Kenya, William Ruto amemtimua Waziri wa Biashara, Moses Kuria na mwenzake wa Usalama wa Ndani Kithuri Kindiki baada ya kuchelewa kwenye...

Habari za Siasa

Rais Algeria ateta na Waziri Tax

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, Abdelmadjid Tebboune amekutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aitaka Serikali kutoa elimu kwa wanasiasa kuhusu mkataba DP WORLD

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameitaka Serikali itoe elimu kwa vyama vya siasa, kuhusu mkataba wa uwekezaji bandari nchini, ili kuondoa...

AfyaTangulizi

Puto lampunguza Msechu kilo 17, aongezewa maji

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili Mloganzila imesema hadi sasa imetoa huduma ya kupunguza uzito kwa watu 128 wenye uzito uliopitiliza kwa kutumia puto maalum...

Habari za Siasa

Baraza la vyama vya siasa laitisha mkutano wa dharura kujadili hali ya siasa nchini

BARAZA la Vyama vya Siasa nchini, limeitisha mkutano wa dharura kwa ajili ya kujadili hali ya siasa nchini. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

RC Dodoma, Askofu wacharuka wanaokejeli miradi ya Serikali

MKUU wa mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amewataka Watanzania kutoibeza na kuikwamisha miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa na serikali kwa  kushirikiana na baadhi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaijibu CCM mashambulizi dhidi ya Rais Samia

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema maridhiano yanayofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan, hayatazuia kuikosoa Serikali yake katika mikutano ya hadhara. Anaripoti...

Tangulizi

Makamba awataka Watanzania kuvumilia machungu ya mageuzi Tanesco

WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba amewataka wananchi wawe na subira wakati Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), linafanya mageuzi ya utendaji kazi wake. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Makamba: ‘Madalali’ nifuateni mimi, iacheni Tanesco

WAZIRI wa Nishati, January Makamba amewataka watu wasiingize siasa katika utendaji wa wizara yake, kwa kuwa kitendo hicho kinaathiri maendeleo ya nchi. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mitumbwi 2 yazama Ziwa Victoria, 14 wafariki dunia

WAUMINI 14 wa Kanisa la KTMK, Kijiji cha Ichigondo, wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, wamefariki dunia, huku 14 wakijeruhiwa baada ya mitumbwi waliyokuwa...

KimataifaTangulizi

Raila, Ruto sasa kupatanishwa na Obasanjo

RAIS mstaafu wa Nigeria, Olusegun Obasanjo ataongoza kamati ya watu 10 katika mazungumzo kati ya Rais wa Kenya, William Ruto na kiongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo: Hili la bandari wanataka kutupiga ‘break’

KATIBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo leo Jumamosi amesema upotoshaji unaofanywa na wanasiasa wa upinzani kuhusu uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Wasira amshangaa Lissu kwenda Chato “Hakuna aliyemtukana kama yeye”

MWANASIASA mkongwe nchini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira ameeleza kushangazwa na hatua ya Makamu Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Wassira: Ni aibu bandari Dar kudorora

MWANASIASA mkongwe nchini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira amesema itakuwa ni aibu kwa Serikali iwapo itashindwa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Katiba mpya muarobaini kudhibiti wizi

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, amesema Katiba mpya ndio njia pekee ya kudhibiti ‘wizi’ unaotendeka kila awamu ya...

Habari za Siasa

Majaliwa ateta na Rais Putin, aalika wawekezaji wa mbolea

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaalika wawekezaji waliobobea kwenye sekta ya mbolea ili waje kufungua viwanda vya mbolea nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Ametoa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bundi atua kanisa la Kakobe, mchungaji atimuliwa

BUNDI ametua rasmi kwenye huduma ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship jimbo la Dodoma baada ya uongozi wa jimbo kudaiwa kuvamia kanisa...

Habari za Siasa

Silaa: Mkataba umetaja maeneo machache, tz nzima

MBUNGE wa Ukonga, Jerry Silaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), amesema...

Habari za Siasa

Msalala yaweka msimamo makusanyo 2023/24

  MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala mkoani Shinyanga, Khamis Katimba amesema, halmashauri hiyo imepanga kuvuka lengo la makusanyo ya mapato...

BiasharaTangulizi

Marufuku nguo za mitumba yazua kizaazaa, wafanyabiashara wachachamaa

WAFANYABIASHARA pamoja na watuaji wa nguo za mitumba nchini Kenya, wameitaka serikali nchi hiyo kusitisha mpango wake wa kupiga marufuku wa uingizwaji wa...

Habari za Siasa

Samia aleta marais sita Tanzania

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameendelea kuipaisha Tanzania kimataifa baada ya kufanikisha ujio jijini Dar es Salaam wa marais wasiopungua sita na Makamu...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu agomea wito wa DCI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amegoma kufika katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi akwamisha kesi kina Mdee, Chadema

KESI iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imekwama kusikilizwa baada ya shahidi kushindwa...

Habari za SiasaTangulizi

Hoja sita kutikisa kesi kupinga mkataba wa bandari

HOJA sita zinatarajiwa kutikisa katika usikilizwaji kesi ya kikatiba iliyofunguliwa kupinga mkataba wa ushirikiano wa kiserikali kati ya Serikali ya Tanzania na Dubai,...

Habari za Siasa

Rais Samia ataka vijana watumike kuleta mageuzi uchumi Afrika

RAIS Samia Suluhu Hassan, amezitaka nchi za Afrika kutumia vijana katika kuleta mageuzi ya kiuchumi barani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Dk. Mpango ataka ubunifu kusaka suluhu changamoto za kifedha

MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amesema taasisi za kifedha za kikanda na kimataifa zinapaswa kujishughulisha zaidi katika kubuni na kutoa masuluhisho ya...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tusikubali mtu, kikundi kutugawa

Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumanne ametoa wito kwa Watanzania kuwaenzi mashujaa kwa kudumisha amani, umoja, mshikamano na utulivu wa nchi na kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Festo Dugange arejea kazini

NAIBU Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dk. Festo Dugange leo Jumanne ameonekana kwa mara ya kwanza hadharani kwenye shughuli ya kiserikali ikiwa...

Habari za Siasa

CCM yamkingia kifua Rais Samia sakata la bandari

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema mpango wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kutafuta mwekezaji binafsi wa kuendesha bandari nchini, ni utekelezaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge aliyefukuzwa Chadema aibuka mkutano CCM

MBUNGE Viti Maalum, aliyefukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jesca Kishoa, ameibuka katika mkutano wa hadhara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa amuomba mambo 3 Rais Samia “toa kauli utuokoe”

BALOZI Mstaafu Dk. Wilbroad Slaa amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan atokeo hadharani atoke hadharani na kutoa kauli ili kuliokoa Taifa katika janga lililoibuka...

Habari za Siasa

Dk. Slaa: Tuache unafiki, vyama vya siasa vimegoma…

BALOZI mstaafu Dk. Wilbroad Slaa amewataka Watanzania kuacha unafiki kwani alialika baadhi ya vyama vya siasa kushiriki mkutano unaolenga kujadili mkataba wa uwekezaji...

Habari za Siasa

Askofu ashauri jopo la wanasheria liundwe kujadili upya mkataba uwekezaji bandari

ASKOFU wa Kanisa la Baptist Kanda ya Kati, Anthony Mlyashimba ametoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake kukubali kuufumua mkataba...

error: Content is protected !!