Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Slaa: Tuache unafiki, vyama vya siasa vimegoma…
Habari za Siasa

Dk. Slaa: Tuache unafiki, vyama vya siasa vimegoma…

Spread the love

BALOZI mstaafu Dk. Wilbroad Slaa amewataka Watanzania kuacha unafiki kwani alialika baadhi ya vyama vya siasa kushiriki mkutano unaolenga kujadili mkataba wa uwekezaji bandarini lakini dakika za mwisho vikajitoa. Anaripoti Mwandishi Wetu ..(endelea).

Akimshukuru Mwenyekiti wa Chadema, Freema Mbowe kwa kukubali kushirikiana naye kuandaa mkutano huo uliofanyika leo Jumapili Temeke jijini Dar es salaam, Dk. Slaa amesema Watanzania wasipoacha unafiki huo Taifa halitakombolewa.

“Ni bahati mbaya na nadhani tuache unafiki Tanzania, tulialika vyama vingine dakika za mwisho wakajitoa, tusipoacha unafiki huu nchi hii haitakombolewa.

“Naomba wanachama wa vyama vyote watambue kuwa wakati wa kukumbatia ambavyo havina masilahi ya taifa wala yenu ni wakati wa kutafakari juu ya vyama hivyo,” amesema Dk. Slaa ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema kabla ya kujiengua ndani ya chama hicho mwaka 2015.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!