Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Uhaba wa dola wapaisha bei ya petroli
Habari MchanganyikoTangulizi

Uhaba wa dola wapaisha bei ya petroli

Spread the love

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia leo Jumatano, tarehe 2 Agosti 2023 saa 6:01 usiku huku zikiwa zimepanda ikilinganishwa na bei za mwezi uliopita.  Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mwezi Agosti 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mikoa ya Dar es Salaam ni kama ifuatavyo kwa lita: Petroli 3,199, Dizeli 2,935 na mafuta ya Taa 2,668.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa leo Jumatano, mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi Agosti 2023 yanatokana na changamoto za upatikanaji wa Dola za Marekani na mabadiliko ya sera za kikodi.

Pia kupanda kwa mafuta hayo kumesababishwa na kushuka kwa thamani ya Shilingi dhidi ya Dola ya Marekani, ongezeko la gharama za mafuta katika soko la dunia na gharama za uagizaji wa mafuta.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

error: Content is protected !!