Friday , 26 April 2024
Home kelvin
1174 Articles83 Comments
Habari Mchanganyiko

Laini milioni 53 zasajiliwa Tananzania, miamala milioni 32

  SERIKALI ya Tanzania, imesema mpaka kufika Juni 2021, jumla ya laini za simu milioni 53 zimesajiliwa, watu wanaotumia mtandao wa intaneti milion...

Habari MchanganyikoTangulizi

DPP azungumza na Masheikh wa uamsho

  MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, amefanya mazungumzo na Masheikh wanaokabiliwa na tuhuama za ugaidi, ikiwemo Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho...

Michezo

Rais Samia ataka CCM kuboresha viwanja vyake

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekitaka Chama cha Mapinduzi (Ccm), kukarabati viwanja vyake kwa kuweka nyasi bandia,...

Michezo

Mgombea Urais aibua hoja ya ushiriki wa Zanzibar uchaguzi TFF

Ali Saleh ‘Alberto’ moja ya wagombea nafasi ya Urais kwenye uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ameibuka na hoja...

Michezo

Ligi Kuu Tanzania Bara kurejea leo

  LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), iliyokuwa imesimama kupisha kalenda ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ya michezo ya kirafiki kwa...

Michezo

TFF yawatahadhalisha wanaotaka kuharibu uchaguzi

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguuu Tanzania (TFF), limewataka wadau mbalimbali wa mchezo huo pamoja na wagombea waliojitokeza kwenye zoezi la uchukuaji fomu...

MichezoTangulizi

Gari lakwamishwa pambano la Twaha kiduku na Dulla Mbabe

  PAMBANO la mchezo wa ngumi lililofahamika kwa jina la ‘Payback Night’ kati ya mabondia, Abdallah Pazi ‘Dulla Mbabe’ na Twaha Kassim ‘Twaha...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia atoa mwelekeo mpya Mchuchuma na Liganga

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, ameagiza kuondolewa kwa vikwazo vyote vinavyokwamisha kuanza utekelezaji wa Mradi Unganishi wa Madini ya Chuma na...

MichezoTangulizi

Mkude achukua maamuzi magumu

  Wakati sakata lake la utovu wa nidhamu likiwa bado kwenye mikono ya kamati ya nidhamu ya klabu hiyo, kiungo wa klabu ya...

MichezoTangulizi

Kubenea amchukulia fomu Allly Saleh ‘Alberto’

ALIYEKUWA Mbunge wa jimbo la Ubungo Saed Kubenea jana alijitokeza kwenye makao makuu ya Shirikisho la Mpira Tanzania (TFF) kumchukulia fomu ya nafasi...

Michezo

Bajeti 2021/22: Washindi wa michezo ya kubahatisha kucheka

WAZIRI wa fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kwenye bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22 serikali itapunguza kodi kwa washindi wa...

Habari Mchanganyiko

TPA, TCRA, TASAC kubanwa

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kuanzisha utaratibu mpya wa usimamizi wa fedha na matumizi ya taasisi zianzotoza ada, katika mwaka wa fedha wa...

Habari Mchanganyiko

Bajeti 2021/22 kuzipa pumzi NGO’s

  BAJETI Kuu pendekezwa ya Serikali ya Tanzania, kwa mwaka wa fedha wa 2021/22, imekuja na mikakati ya kuzipa nafuu Taasisi Zisizo za...

Michezo

Nyasi bandia zapata msahama wa Kodi

  Waziri wa Fedha na Mipangango Mwigulu Nchemba amesema kuwa katika bajeti ya mwaka 2021/22 watasamehe ongezeko la kodi la thamani (VAT) kwa...

Habari za Siasa

Madiwani Tanzania watangaziwa neema

  SERIKALI ya Tanzania, imependekeza kuanzia mwaka wa fedha 2021/22, itaanza kuwalipa madiwani posho za kila mwezi kutoka serikali kuu. Anaripoti Jemima Samwel,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bilioni 328 kugharamia Sensa 2022

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba amesema, Sh.328.2 bilioni, zinatarajiwa kutumika kugharamia sensa ya watu na makazi kwa...

Michezo

Malawi kuwasili kesho, kujipima na Taifa Stars

  Kikosi cha timu ya Taifa ya Malawi kinategemea kuwasili jijini Dar es Salaam kesho, kwa ajili ya mchezo wa kujipima nguvu, dhidi...

Michezo

Euro 2020 kutimua vumbi kesho

  Kivumbi cha michuano ya Euro kitaanza kutimua vumbi kesho, ambapo kutapigwa mchezo mmoja wa kundi A, kati ya Uturuki dhidi ya Italy....

MichezoTangulizi

Mzanzibari kuwania urais TFF

  MWANASOKA maarufu nchini, Ally Salehe ‘Alberto,’ amejitosa katika mbio za kuwania urais ndani ya shirikisho la soka nchini (TFF). Anaripoti Saed Kubenea...

Michezo

Djuma Shabani kimeeleweka Yanga

  Ni kama Yanga sasa wameonekana kufanikiwa kumyakuwa beki wa pembeni kutoka klabu ya AS Vita ya nchini Congo Dr, mara baada ya...

Michezo

Oscar Oscar ajitosa kumdhibiti Karia TFF

  MCHAMBUZI wa soka kutoka kituo cha radio cha E-FM, Oscar Oscar amejitokeza na kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya urais ndani ya...

MichezoTangulizi

Kiongozi Simba amchukulia fomu Karia

  Aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu ya Simba Swedy Nkwabi pamoja na Philemon Ntahilaija wamejitokeza kwenye makao Makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu...

Michezo

Mkude apiga simu Yanga 

  MARA baada ya kuripotiwa kuwa na matatizo ya kinidhamu na klabu yake wakati walipokuwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa nchini Afrika...

MichezoTangulizi

Wadau kumchukulia Karia fomu Urais TFF

  BAADA ya kufunguliwa kwa zoezi la uchukuaji fomu kwa ajili ya uchaguzi Mkuu ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),...

MichezoTangulizi

Kisa utovu wa Nidhamu, Mkude kufanyiwa vipimo

  KAMATI ya nidhamu ya klabu ya Simba, iliyokuwa chini ya Mwenyekiti wake Seleman Kova, imeuagiza uongozi wa klabu hiyo, kumfanyia vipimo vya...

Habari Mchanganyiko

Huduma ya luku majanga, Tanesco yaomba radhi

  SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema, huduma ya manunuzi ya luku kwa njia ya mtandao, inatarajia kurejea leo Jumatatu, tarehe 7 Juni...

Michezo

Uchaguzi TFF, zoezi la uchukuaji fomu lafunguliwa

  BAADA ya jana kutangazwa kwa Uchaguzi Mkuu ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Wakili...

Habari Mchanganyiko

Elimu bure yaibua tena bungeni, Serikali yatoa majibu

  MBUNGE wa Nkasi Kaskazini (Chadema), Aida Khenani, ameihoji Serikali ya Tanzania, kwa nini wanafunzi wameendelea kuchangishwa michango wakati “inasema elimu ya Shule...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya noma, jumba la mateso…

  JUMBA la kutesea watu, maarufu kama Golgota, linalomilikiwa na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya, limegundulika rasmi....

Habari za Siasa

Askofu Gwajima aibana Serikali bungeni kisa wavuvi

  MBUNGE wa Kawe mkoani Dar es Salaam, Askofu Josephat Gwajima, amehoji lini Serilkali itapeleka boti za doria jimboni humo, kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: LNG mbioni kuanza kuzalishwa

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali ipo mbioni kuanza kutekeleza mradi wa kimkakati wa uzalishaji wa gesi asilia ya kimiminika...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia amwomba Rais Samia aweke wazi ripoti BoT

JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania-NCCR-Mageuzi, ameitaka Serikali kuweka hadharani, uchunguzi uliofanyika Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Anaripoti Hamis Mguta,...

Tangulizi

Beki Man City atwaa tuzo ya mchezaji bora EPL

  RUBEN Dias mlinzi wa kati wa klabu ya Manchester City na timu ya Taifa ya Ureno ameshinda tuzo ya mchezaji bora ndani...

Michezo

Guardiola kocha bora Ligi Kuu England

  KOCHA wa klabu ya Manchester City ya England Pep Guardiola amefanikiwa kushinda tuzo ya kuwa kocha bora wa Ligi Kuu nchini England...

Michezo

Kahata aondoka rasmi Simba

  KIUNGO Raia wa Kenya Francis Kahata ameachana rasmi na klabu ya Simba mara baada ya mkataba wake kumalizika na kuwashukuru viongozi pamoja...

Michezo

GSM wamkaribisha Manji Yanga

  MARA baada ya kurejea nchini kwa mfanya biashara Yusuf Manji na kuibuka kwa hisia kali za mashabiki wa klabu ya Yanga kutaka...

Michezo

Stars kuingia kambini kesho

KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kesho tarehe 5 Mei, 2021 kinatarajia kuingia kambini kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi...

MichezoTangulizi

Mkude mikononi kwa Kamanda Kova

  KIUNGO wa klabu ya Simba J,onas Mkude kesho tarehe 5 Juni, 2021 atakwenda kujadiliwa mbele ya kamati ya nidhamu ya klabu hiyo,...

Michezo

Kisa Simba, Yanga yamkana Bumbuli

  Mara baada ya Afisa habari wa klabu ya Yanga Hassan bumbuli kusema hautambui mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya...

MichezoTangulizi

Bocco mchezaji bora mwezi Mei

Mshambuliaji wa klabu ya Simba John Bocco ameshinda tuzo ya kuwa mchezaji bora wa mashabiki mwezi Mei, mara baada ya kuwabwaga Thadeo Lwanga...

Michezo

Yanga, Morrison kuanza upya leo

  MAHAKAMA ya usuluhishi wa michezo kimataifa (CAS) imezitaka pande zote mbili kwenye kesi ya kimkataba kati ya Yanga na Morrison kutoa taarifa...

MichezoTangulizi

Kiongozi Yanga amkataa Ajibu

  Mara baada ya kuwepo kwa fununu nyingi ya mshambuliaji wa klabu ya Simba Ibrahim Ajibu kutaka kusaini Yanga, Arafati Haji ambaye ni...

Michezo

Simba kumalizana na Ruvu Shooting kesho

  KLABU ya Simba kesho itashuka Uwanjani kumenyana na Ruvu Shooting kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa...

MichezoTangulizi

Azam FC wampa mkataba mpya Dube mpaka 2024

Klabu ya Azam Fc imemuongezea mkataba miaka miwili mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe Prince Dube ambapo utamfanya kusalia hapo hadi 2024. Anaripoti Kelvin...

Michezo

Guardiola, Solskjaer kwenye vita kocha bora England

  MAKOCHA Pep Guardiolla wa Manchester City na Ole Gunner Solskjaer wa Manchester United wamejuimishwa kwenye orodha ya makocha watano kuwania tuzo ya...

Michezo

Greenwood aondolewa kikosini England Euro

  KLABU ya Manchester United imethibitisha kuondolewa kikosini kwa kinda wake Mason Greenwood mara baada ya kupata majeraha katika kuelekea fainali ya michuano...

Michezo

Nane waingia kinyang’anyiro tuzo mchezaji bora Epl

   WACHEZAJI nane kutoka klabu tofauti ndani ya Ligi Kuu nchini England wameingia kwenye kinyang’anyiro cha tuzo ya mchezaji bora wa Ligi hiyo...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aanza kupekua miradi ya JPM

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema amepitia mikataba ya miradi ya ujenzi wa miundombinu, iliyoachwa na mtangulizi wake, Hayati John Magufuli,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uongozi Soko la Karikaoo matatani, Samia aagiza uchunguzi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Waziri Ofisi ya Rais-Tamisemi, Ummy Mwalimu, kuwasimamisha kazi viongozi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo,...

MichezoTangulizi

Staa Ligi Kuu England atua Bungeni

  Mlinzi wa kati wa klabu ya Crystal Palace ya nchini England Mamadou Sakho amefika Bungeni Jijini Dodoma na kuangalia shughuli za uwendeshaji...

error: Content is protected !!