Monday , 11 December 2023
Home Kitengo Michezo Djuma Shabani kimeeleweka Yanga
Michezo

Djuma Shabani kimeeleweka Yanga

Spread the love

 

Ni kama Yanga sasa wameonekana kufanikiwa kumyakuwa beki wa pembeni kutoka klabu ya AS Vita ya nchini Congo Dr, mara baada ya mjumbe wakamati ya mashindano wa klabu hiyo, Mhandisi Hersi Said kuonekana nchini Congo kukamilisha uhamisho huo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Yanga ambao wiki iliyopita waliripotiwa kumalizana na mchezaji huyo, ambaye amemaliza mkataba wake ndani ya AS Vita, na kuonesha kiwango bora kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Kupitia ukurasa wa kijamii wa Mhandisi Hersi Said ambaye pia ni mkurugezni wa uwekezaji wa kampuni ya Gsm, ambao ni wadhamini wa klabu ya Yanga, alionekana kwenye picha akiwa na Waziri wa Michezo wa nchini Congo, na kuandika kuwa.

Usajili huo utakuwa wa kwanza ndani ya klabu ya Yanga kuelekea msimu ujao wa mashindano ambapo watawakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa mara baada ya Tanzania kufanikiwa kuingiza timu nne.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Vijana waadhimisha miaka 62 ya Uhuru kwa kushiriki michezo

Spread the loveUMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) tawi la Mlowo, jana...

Michezo

Pesa ipo huku Meridianbet, beti sasa

Spread the love  WIKIENDI inaishia leo hii jaman kama bado hujasuka mkeka...

Michezo

Wenzako wameshakuwa mamilionea hapa wewe unasubiri nini?

Spread the love  WIKIENDI imefika na ukiachana na mvua za Dar es...

Michezo

Manchester City vichwa chini Ligi Kuu England

Spread the love MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya Uingereza klabu yaManchester City...

error: Content is protected !!