Saturday , 25 March 2023
Home Kitengo Michezo Mkude achukua maamuzi magumu
MichezoTangulizi

Mkude achukua maamuzi magumu

Jonas Mkude
Spread the love

 

Wakati sakata lake la utovu wa nidhamu likiwa bado kwenye mikono ya kamati ya nidhamu ya klabu hiyo, kiungo wa klabu ya Simba Jonas Mkude, amechukua maamuzi magumu mara baada ya kufuta picha zake zote alizokuwa amevaa jezi ya Simba, kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Kiungo huyoa amesimamishwa na uongozi wa klabu ya Simba, toka timu hiyo iliporejea kutoka nchini Afrika Kusini, kwenye mchezo wa robo fainali dhidi ya Kaizer Chiefs.

Mkude alichukua maamuzi hayo jana, kwa kuondoka picha zote akiwa ndani ya jezi ya Simba, nakuacha picha tano tu, akiwa kwenye mavazi ya kawaida.

Mchezaji huyo anawafuasi (followers) 425,000 kwenye mtandao huo, na hali hiyo iliyozua sintofahamu juu ya hatma yake ndani ya klabu ya Simba, kutokana na sakata lake linaloendelea hivi karibuni.

Hivi karibuni Kamati ya nidhambu ya klabu ya Simba chini ya Mwenyekiti wake kamanda mstaafu Seleman Kova ilitoa mapendekezo kwa uongozi kumpeleka mchezaji huyo Hospital ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kumfanyia vipimo, kutokana na kufanya makossa yanayojirudia.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

Spread the loveMKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema...

Habari za SiasaTangulizi

Wanachama 384 CUF watimkia Chadema, Mbowe awapokea, Kambaya ndani…

Spread the loveJUMLA ya wanachama 384 wanachama wa Chama cha Wananchi CUF...

error: Content is protected !!