Thursday , 30 March 2023
Home Kitengo Michezo Guardiola kocha bora Ligi Kuu England
Michezo

Guardiola kocha bora Ligi Kuu England

Pep Guardiolla
Spread the love

 

KOCHA wa klabu ya Manchester City ya England Pep Guardiola amefanikiwa kushinda tuzo ya kuwa kocha bora wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya kuwabwaga washindani wake. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Guardiola ameshinda tuzo hiyo maara baada ya kutwaa taji la Ligi Kuu nchini humo akiwa na klabu yake ya Manchester City na kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA)

Katika kinyang’anyiro hiko Guardiola alikuwa akichuana na kocha wa Manchester United Ole Gunner Solskjaer huku wengine ni Marcelo Bielsa wa Leeds United, David Moyes wa West Ham United pamoja na Branden Rodgers anayekinoa kikosi cha Leceister City.

Toka alipofika msimu wa 2016 Guardiola amefanikiwa kuipa Manchester City taji la tatu Katika kipindi cha miaka mitano aliyokaa hapo.

 

 

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

error: Content is protected !!