Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Guardiola kocha bora Ligi Kuu England
Michezo

Guardiola kocha bora Ligi Kuu England

Pep Guardiolla
Spread the love

 

KOCHA wa klabu ya Manchester City ya England Pep Guardiola amefanikiwa kushinda tuzo ya kuwa kocha bora wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya kuwabwaga washindani wake. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Guardiola ameshinda tuzo hiyo maara baada ya kutwaa taji la Ligi Kuu nchini humo akiwa na klabu yake ya Manchester City na kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA)

Katika kinyang’anyiro hiko Guardiola alikuwa akichuana na kocha wa Manchester United Ole Gunner Solskjaer huku wengine ni Marcelo Bielsa wa Leeds United, David Moyes wa West Ham United pamoja na Branden Rodgers anayekinoa kikosi cha Leceister City.

Toka alipofika msimu wa 2016 Guardiola amefanikiwa kuipa Manchester City taji la tatu Katika kipindi cha miaka mitano aliyokaa hapo.

 

 

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!