Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Euro 2020 kutimua vumbi kesho
Michezo

Euro 2020 kutimua vumbi kesho

Spread the love

 

Kivumbi cha michuano ya Euro kitaanza kutimua vumbi kesho, ambapo kutapigwa mchezo mmoja wa kundi A, kati ya Uturuki dhidi ya Italy. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Michuano hiyo itashikilisha timu 24, ambapo ilitakiwa kufanyika mwaka jana na kuahirishwa mara baada ya mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Corona.

Ratiba ya michuano hiyo pia, itaendelea jumamosi ambapo itapigwa michezo mitatu, Wales wataikabili Uswis, Denmark dhidi Finland na Ubeligiji watamenyana na Urusi.

Bingwa mtetezi timu ya Taifa ya Ureno ambayo ipo kundi F, itashuka dimbani siku ya Jumanne dhidi ya Hungary.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!