SERIKALI na kampuni ya madini ya Barrick Gold Corporation, wamefikia makubaliano ya kumaliza mgogoro wa kibiashara kwa kuunda kampuni ya pamoja ya madini. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amefutilia mbali kauli ya Sofia Mjema, Mkuu wa Wilaya ya Ilala kwamba ibada zifanywe...
By Kelvin MwaipunguOctober 22, 2019RAFU katika uteuzi wa wajumbe watakaogombea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), zimetamalaki. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Akizungumza na...
By Hamisi MgutaOctober 21, 2019THOMAS Simba, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam amegomea ombo la wakili wa Freeman Mbowe na...
By Faki SosiOctober 21, 2019KLABU ya Azam FC leo imemtambulisha rasmi, Arastica Cioaba kuwa kocha mkuu wa timu hiyo aliyekuja kuchukua nafasi ya Ettien Ndailagije aliyeiongoza timu...
By Kelvin MwaipunguOctober 21, 2019SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limetangaza katizo la umeme katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Ilala na Temeke, jijini Dar es Salaam....
By Mwandishi WetuOctober 21, 2019MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika jimbo la Ubungo, leo Jumapili, tarehe 20 Oktoba, aliungana na mamia ya wananchi katika...
By Hamisi MgutaOctober 20, 2019RAIS John Maguifuli amesema kuwa amebaini zaidi ya shilingi bilioni 1 walizodhulumiwa wananchi za mauzo ya korosho na vyama vya ushirika mkoani Mtwara....
By Faki SosiOctober 20, 2019MBUNGE wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea amesema anatarajia kumwandika barua Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, kutokana na kuzuiliwa kufanya...
By Faki SosiOctober 20, 2019RAIS John Magufuli amesema, kazi ya uongozi inahitaji uvumilivu pamoja na kumtanguliza Mungu katika kila jambo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Rais Magufuli ametoa kauli...
By Regina MkondeOctober 20, 2019RAIS John Magufuli leo tarehe 19 Oktoba 2019 amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kwa mujibu wa...
By Regina MkondeOctober 19, 2019MAMA Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais, anatarajia kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye uzinduzi wa mkutano wa 58 wa Shirika la Mashauriano ya...
By Faki SosiOctober 19, 2019ZOEZI la uandikishaji wa daftari la wa wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2019 umevunja rekodi tofauti na miaka...
By Danson KaijageOctober 19, 2019WATUNZI wa Muziki wa Injili nchini wametakiwa kutunga nyimbo zenye ubunifu na maarifa kwa ajili ya utukufu wa Mungu badala ya kutunga nyimbo...
By Danson KaijageOctober 19, 2019SERIKALI imekanusha madai ya Kompyuta za Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP), zenye taarifa za watuhumiwa wa uhujumu uchumi, kuibiwa na watu...
By Regina MkondeOctober 19, 2019KLABU ya Yanga leo imetangaza rasmi kiingilio kwenye mchezo wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Pyramids FC ya Misri utakaochezwa kwenye Uwanja wa...
By Kelvin MwaipunguOctober 18, 2019MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, jana aliungana na mamia ya wananchi wa Kata za Kimara na Makuburi, kutoa pole kufuatia msiba wa mwanafunzi...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2019ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametangaza kuwachapa bakora wanaume na wanawake wasiofunga ndoa. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Chalamila ametangaza kampeni hiyo kufuatia mijadala...
By Regina MkondeOctober 18, 2019BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetoa majina 30,675 ya wanafunzi watakaopata mikopo kwa mwaka 2019/20. Anaripoti Faki Sosi …...
By Faki SosiOctober 18, 2019NI lazima Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Zitto Kabwe watengeneze ‘kemistri’ kali ili kumkabili Rais John Magufuli, iwapo atateuliwa na chama chake (CCM)...
By Faki SosiOctober 18, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imepanga kesho tarehe 18 Oktoba 2019, kutoa uamuzi mdogo kwenye kesi ya uchochezi inayowahusu...
By Faki SosiOctober 17, 2019HOFU ya usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Iringa imekwaza kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya wa Halmashauri ya...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2019ALIYEKUWA Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Boniface Wambura amemaliza mkataba wake na amepewa kazi nyingine ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu...
By Kelvin MwaipunguOctober 16, 2019VIKAO vya Kamati 14 za Kudumu za Bunge, vinatarajia kuanza tarehe 21 Oktoba 2019 hadi Novemba Mosi mwaka huu. Anaripoti Hamisi Mguta…(endelea). Taarifa...
By Hamisi MgutaOctober 16, 2019UANDIKISHAJI wa daftari la wapiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa tarehe 24 Novemba 2019, umegubikwa na mitazamo mbalimba. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....
By Regina MkondeOctober 16, 2019BARAZA la Mitihani nchini (NECTA), limetangaza matokeo ya darasa la saba ambapo Mikoa ya Kanda ya Ziwa imeongoza kwa kushika nafasi 10 za mwanzo. Anaripoti...
By Danson KaijageOctober 15, 2019SERIKALI imekwama kushawishi wananchi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la wapiga kura, jambo ambalo linaleta taswira hasi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye...
By Kelvin MwaipunguOctober 15, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameapa wagombea wake kutoibiwa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika...
By Regina MkondeOctober 15, 2019JAJI Joseph Warioba, Waziri Mkuu Mstaafu amewashauri viongozi wa umma kutokaa madarakani muda mrefu, akisema kwamba kitendo hicho hakina tija kwa masilahi ya...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2019MWITIKIO hafifu wa watu kujitokeza katika uandikishaji kwa ajili ya kupiga kura, kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu, umehusishwa na...
By Hamisi MgutaOctober 14, 2019BAADHI ya wafanyabiashara wamepuuza agizo la Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam la kufungua maduka yao kuanzia saa tano asubuhi...
By Kelvin MwaipunguOctober 14, 2019VIWANGO vikubwa vya kodi vimelalamikiwa katika mkutano wa Wakurugenzi wa Asasi za Kiraia (AZAKI). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Wakizungumza katika nyakati tofauti kwenye...
By Regina MkondeOctober 14, 2019OMBI la aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chaadema), Tundu Lissu kwamba serikali imlinde, limetiliwa...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2019SERIKALI yaongeza siku tatu katika zoezi la uandikishaji wapiga kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Zoezi hilo lililoanza...
By Regina MkondeOctober 13, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amewaagiza wafanyabiashara mkoani humo, kesho tarehe 14 Oktoba 2019 kuchelewa kufungua maduka, ili wakajiandikishe...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2019SERIKALI imeondoa zuio la wafanyabiashara kuendeleza maeneo yao yaliyopakana na barabara ya Kimara Mwisho hadi kwa Kichwa, jijini Dar es Salaam. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaOctober 13, 2019RAIS John Magufuli ametangaza kuhamia rasmi kwenye Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa hiyo imetolewa na Gerson Msigwa,...
By Regina MkondeOctober 12, 2019ZACHARY Kakobe, Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) ameongoza sala ya kuombea uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019...
By Regina MkondeOctober 12, 2019MWANARIADHA wa Kenya, Eliud Kipchoge ameweka rekodi ya kuwa binadamu wa kwanza kumalizia mbio za Marathon (kilomita 420 ndani ya masaa mawili. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguOctober 12, 2019RAIS John Magufuli ameonya viongozi wa mikoa na wilaya, watakayofanya vibaya kwenye zoezi la uandikishaji wapiga kura, katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2019BARAZA la Habari Tanzania (MCT), leo tarehe 11 Oktoba 2019 limezindua rasmi usaili wa kuwania tuzo za umahiri wa uandishi wa habari (EJAT)...
By Kelvin MwaipunguOctober 11, 2019ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi ndani na nje ya nchi, ameomba kukutana na Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka nchini (DPP). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Mbele...
By Faki SosiOctober 11, 2019MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imewataka wananchi kuchukua tahadhari kutokana na kuwepo kwa vipindi vifupi vya mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi...
By Kelvin MwaipunguOctober 11, 2019MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mbeya, imetengua adhabu ya kifungo cha miezi sita alichohukumiwa mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2019KITUO cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZLSC), kimefungua kesi ya Kikatiba katika Mahakama Kuu ya Zanzibar, kupinga Sheria ya Uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2019TAKRIBANI watu bilioni 1.3 duniani wanakadiriwa kuwa na tatizo la kuona wa namna tofauti. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Hayo yameelezwa na Daktari...
By Hamisi MgutaOctober 10, 2019MFANYABIASHARA bilionea na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth amesalimu amri kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP). Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Seth...
By Regina MkondeOctober 10, 2019ALIYEKUWA mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu, ameapa kutorejea nchini mwake, hadi hapo serikali ya...
By Hamisi MgutaOctober 10, 2019PADRI Paul Sabuni, Paroko Msaidizi wa Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Manzese, Jijini Dar es Salaam amewataka Wakristo na Watanzania kwa ujumla kutobaguana. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2019RAIS John Magufuli amemsifu Mizengo Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu kwamba ni miongoni mwa watu wema na wanamsaidia kuongoza nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kiongozi...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2019