Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Majina ya waliopata mikopo ya elimu ya juu 2019/20 haya hapa
ElimuHabari za Siasa

Majina ya waliopata mikopo ya elimu ya juu 2019/20 haya hapa

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu
Spread the love

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetoa majina 30,675 ya wanafunzi watakaopata mikopo kwa mwaka 2019/20. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Orodha ya majina hayo imetolewa na Abdul-Razaq Badru ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa bodi, na kwamba idadi ya waombaji ilikuwa wanafunzi 45, 000.

Akitoa ufafanuzi Badru amesema, idadi hiyo ya waliopata mikopo ni ya awamu ya kwanza, mkopo ambapo jumla ya Sh. 113 Bil zitatumika kwa mikopo hiyo.

Amesema, majina ama orodha ya wanafunzi watakaopata mikopo kwa awamu ya pili, itatangazwa tarehe 25 Oktoba 2019.

Kupata majina ya wanafunzi walipopata mkopo kwa mwaka 2019/20 ingia hapa

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!