Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Eliud Kipchoge: Binadamu wa kwanza kukimbia km 42 kwa saa 2
Michezo

Eliud Kipchoge: Binadamu wa kwanza kukimbia km 42 kwa saa 2

Spread the love

MWANARIADHA wa Kenya, Eliud Kipchoge ameweka rekodi ya kuwa binadamu wa kwanza kumalizia mbio za Marathon (kilomita 420 ndani ya masaa mawili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Kipchoge ameweka rekodi hiyo leo baada ya kumaliza mbio hizo za kilomita 42 baada ya kutumia dakika 1:59:40 katika mashindano ya mbio za INEOS zilizofanyika Vienna, nchini Austria.

Mwanariadha huyo mbali ya kuweka rekodi hiyo ambayo hyaujawahi kuwekwa na binadamu yoyote duniani, mwaka 2017 aliweka rekodi nyingine ya kumaliza kilomita 42 kwa kutumia saa 2:00:25, katika mashindano yaliyofanyika Monza, nchini Italia.

Kipchoge amefanikiwa kuweka rekodi hiyo baada ya kuwashinda wanaridha wengine 41 kutoka katika mataifa mbalimbali walioshiriki mbio hizo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!