Monday , 11 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Makonda amvimbia mteule wa JPM
Habari za Siasa

Makonda amvimbia mteule wa JPM

Spread the love

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amefutilia mbali kauli ya Sofia Mjema, Mkuu wa Wilaya ya Ilala kwamba ibada zifanywe siku maalum tu. Anaripoti Martin Kamote…(endelea).

Makonda ametangaza uamuzi huo mbele ya waandishi wa habari leo tarehe 22 Oktoba 2019, ofisini kwake huku akisisitiza ‘umakini kwa viongozi wa serikali kuzungumzia imani za dini.’

Tarehe 12 Oktoba2019, Mjema aliwaagiza maofisa kwenye wilaya yake kuhakikisha, ibada zinafanywa kwenye siku maalum (Ijumaa, Jumamosi na Jumapili) na si vinginevyo.

Akipingana na kauli hiyo, Makonda amesema, vingozi hawapaswi kuingilia siku za wananchi kuabudu na badala yake, wanapaswa kuwa makini wanapotaka kuzungumzia masuala ya imani.

“Viongozi tunapaswa kuwa makini tunapoingia kwenye mambo ya dini, mambo ya dini ni mambo ya imani, mimi mwenyewe hapa ni mlokole hunipangii muda wa kusali,” amesema Makonda na kuongeza “kwa kuwa mimi ndio mkuu wa mkoa huu, ibada nazitaka siku zote.”

Tazama video kamili hapo chini

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Jaji Kiongozi akerwa wananchi kukosa imani na mahakama

Spread the loveWATENDAJI wa Mahakama ya Tanzania, wametakiwa kuweka mikakati itakayosaidia kurejesha...

BurudikaHabari za Siasa

Samia amchangia Professa Jay mil. 50, Chadema, wasanii wamwaga manoti

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni...

Habari za Siasa

Biteko: Samia ni muumini wa maridhiano sio kwa kuigiza

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Sitakufa bali nitaishi

Spread the loveMAKAMU  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

error: Content is protected !!