Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Serikali yaongeza siku 3, uandikishaji wapiga kura
Habari za Siasa

Serikali yaongeza siku 3, uandikishaji wapiga kura

Suleiman Jafo, Waziri wa Tamisemi
Spread the love

SERIKALI yaongeza siku tatu katika zoezi la uandikishaji wapiga kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Zoezi hilo lililoanza tarehe 8 Oktoba 2019 na kutarajiwa kumalizika kesho, sasa litaendelea hadi tarehe 17 Oktoba mwaka huu.

Tangazo hilo limetolewa leo tarehe 13 Oktoba 2019 na Seleman Jaffo, Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI.

Taarifa ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI imeeleza Jafo ametangaza kuongeza siku hizo, ili wananchi wapate fursa ya kujiandikisha.

“Waziri Jafo atangaza kuongeza siku Tatu za Uandikishaji wa Wapiga kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura; Sasa zoezi hilo litakamilika Tarehe 17/10/2019,” imeeleza taarifa hiyo.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

error: Content is protected !!