Saturday , 2 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Serikali yaongeza siku 3, uandikishaji wapiga kura
Habari za Siasa

Serikali yaongeza siku 3, uandikishaji wapiga kura

Suleiman Jafo, Waziri wa Tamisemi
Spread the love

SERIKALI yaongeza siku tatu katika zoezi la uandikishaji wapiga kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Zoezi hilo lililoanza tarehe 8 Oktoba 2019 na kutarajiwa kumalizika kesho, sasa litaendelea hadi tarehe 17 Oktoba mwaka huu.

Tangazo hilo limetolewa leo tarehe 13 Oktoba 2019 na Seleman Jaffo, Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI.

Taarifa ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI imeeleza Jafo ametangaza kuongeza siku hizo, ili wananchi wapate fursa ya kujiandikisha.

“Waziri Jafo atangaza kuongeza siku Tatu za Uandikishaji wa Wapiga kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura; Sasa zoezi hilo litakamilika Tarehe 17/10/2019,” imeeleza taarifa hiyo.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia kwa wanawake Afrika

Spread the loveRais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua programu ya...

Habari za Siasa

AG aiagiza kamati ya maadili kuwashughulikia mawakili wanaokiuka maadili

Spread the loveMWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, ameagiza Kamati...

Habari za Siasa

Jaji avunja ukimya sakata la Mpoki kusimamishwa uwakili

Spread the loveJAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amekitaka Chama cha...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda ataka mwarobaini changamoto uchaguzi 2020

Spread the loveKATIBU Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa...

error: Content is protected !!