Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko JPM: Pinda ana moyo wa pekee
Habari Mchanganyiko

JPM: Pinda ana moyo wa pekee

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS John Magufuli amemsifu Mizengo Pinda, Waziri Mkuu Mstaafu kwamba ni miongoni mwa watu wema na wanamsaidia kuongoza nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kiongozi huyo wa nchi ametoa kauli hiyo leo tarehe 9 Oktoba 2019, wakati akizundua Barabara ya Kanazi – Kizi – Kibaoni yenye urefu wa kilomita 76.6.

Akizungumza na wananchi kweneye mkutano wake Rais Magufuli amesema, Pinda ni mtu mwema “Huyu ni mtu mwema sana na ndio maana nimemchagua kuwa mjumbe wa kamati kuu.”

Amesema, waziri mkuu huyo mstaafu amekuwa akimsaidia katika katika amsuala yale ya kiutawala “…nanisaidia kuongoza nchi, chama katika mambo mbalimbali kwa sababu ni mtu mmoja mstaarabu sana.

“Mzee Pinda ananisaidia sana katika kazi, yule baba ana moyo wa kipekee. Ni mtu mwema sana.”

Rais Magufuli anaendelea na ziara yake mkoani humo ikiwa ni pamoja na kufungua miradi ya maendeleo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!