Saturday , 27 April 2024

Month: March 2019

Kimataifa

Wanafunzi wafunikwa na kifusi baada ya kudondokewa na ghorofa

WATU  kadhaa ikiwemo wanafunzi wanahofiwa kufunikwa na kifusi baada ya jengo moja lililoko katika maeneo ya Ita Faji kwenye mji kibiashara wa Nigeria,...

Habari Mchanganyiko

Jiji Mwanza waanza kujenga a soko la Sh. 23 bil

HALMASHAURI ya Jiji la Mwanza, imeanza ujenzi wa soko kubwa la kisasa ambalo lilikuwa kwenye mikakati ya muda mrefu ya ujenzi na sasa ...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Namaingo ni neema, itumieni vizuri  

MKUU wa Wilaya ya Kibiti (DC), Gulamhussein Shabani Kifu amewataka wananchi wa Kijiji cha Ruaruke wilayani Kibiti pia wananci wote kwa ujumla kuitumia...

Habari Mchanganyiko

Hakimu agoma kumpa dhamana mtuhumiwa sugu wa bangi

MOHAMED Hamis, mtuhumiwa aliyekutwa na bangi yenye uzito wa kilo 0.57 amekataliwa dhamana kutokana na kuwa ‘mzoefu’ kukamwata na makossa ya namna hiyo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mwenyekiti halmshauri; Biashara ya ngono ihalalishwe tuongeze mapato

UKATA wa fedha katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida umechochea fikra mpya kwamba, biashara ya ngono inaweza kusaidia kufukia pengo hilo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Ester Matiko wageuka kivutio bungeni

MBUNGE wa Hai, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko wote Chadema wamekuwa kuvutio katika ukumbi wa Pius Msekwa kwa kushangiliwa...

Habari za Siasa

Kubenea ang’ata na kupuliza mpango wa Maendeleo ya Taifa

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) amesema kuwa mpango uliowasilishwa leo na Waziri wa Fedha na Mipango kwa wabunge wote wa...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu awachimba mkwara mawaziri wake

WAZIRI Mkuu Kassm Majaliwa amewataka mawaziri wote kuhakikisha wanahudhuria katika vikao vya kamati za kudumu za bunge. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Simu ya Prof. Lipumba ‘yakimbiza polisi’ 

SIMU iliyopigwa na Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ‘iliwapoza’...

Habari Mchanganyiko

Mama aliyejifungua watoto wanne apiga yowe

RADHIA Solomon (24), mzazi aliyejifungua watoto wanne kwa pamoja (mapacha) yupo kwenye wakati mgumu wa kukabili changamoto ya kumudu malezi ya watoto hao....

Habari Mchanganyiko

Bajeti 2019/20 yasheheni mipango lukuki

KATIKA mwaka wa fedha wa 2019/20 Serikali inakusudia kutumia bajeti ya shilingi tilioni 33,105.4 tofauti na bajeti mwaka wa fedha wa 2018/19 ambayo...

Habari Mchanganyiko

Wasonga atamani kuvaa viatu vya Fatma Karume

WAKILI wa Kujitegemea Godfrey Wasonga ametangaza nia yake ya kugombea nafasi ya Urais wa chama cha wanasheria Tanganyika (TLS) huku akitangaza kufanya ushawishi...

Habari Mchanganyiko

Polisi wauwa majambazi watatu

JESHI la Polisi mkoani Kigoma limewauawa watu watatu wanaotuhumiwa kuwa majambazi huku wengine wawili wakitorokea kusikojulikana. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumzia kuhusu...

Habari za Siasa

Kamati za Bunge kufanya mapitio Bajeti 2019/20

KAMATI za Bunge la Jamhuri zitaanza kuketi leo tarehe 12 Machi 2019 kufanya kazi mbalimali ikiwa ni pamoja na kupitia matumizi ya Fedha...

Kimataifa

Kagame, Museven wakaribia kuzichapa  

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame (62), amemtuhumu “swahiba wake wa miaka mingi,” Rais wa Uganda, Yower Musseven, kwamba anapanga njama za kuangusha serikali...

Michezo

Mchezaji Yanga afungiwa mechi tatu

BEKI wa klabu ya Yanga Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefungiwa michezo mitatu baada ya kukutwa na hatia ya kumpiga kiwiko mchezaji Andrew Simchimba kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

UVCCM wamnanga Lowassa

WAKATI wengine wakimtete Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 na kuamua kuhamia CCM tarehe 1 Machi 2019, Umoja...

Michezo

Simba, Yanga zapigwa faini kwa kutumia mlango usio rasmi

KAMATI ya uendeshaji Ligi Kuu Tanzania Bara (kamati ya saa 72) imezitoza faini klabu za Simba na Yanga kwa makosa ya kutumia milango...

Michezo

Manara: Jumamosi ‘DO or DIE’

KUELEKEA mchezo wa klabu bingwa barani Afrika dhidi AS Vital kutoka nchini Congo, msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara amewataka mashabiki wa...

Habari za Siasa

UVCCM wabadili gia kwa Lowassa

KEJELI na maneno ya dhihaka yaliyovurumishwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kwa Edward Lowassa wakati akihamia Chadema, sasa yamebadilika. Anaripoti...

Habari za Siasa

Maalim Seif aendesha kikao mpaka saa 7 usiku

CHAMA cha Wananchi (CUF) bado kinapita kwenye tanuri la moto ambapo, Maalim Seif Shariff Hamad, katibu mkuu wa chama hicho jana tarehe 11...

Habari Mchanganyiko

Lugola: Kamateni wanaomtukana rais

KANGI Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ameliagiza Jeshi la Polisi, wakuu wa mikoa pamoja na wakuu wa wilaya kuwasweka ndani wanasiasa wataofanya...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto atokomea, mahakama yaamuru ‘ajisalimishe’

KESI ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini imekwama baada ya kiongozi huyo mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na wadhamini wake...

Habari za SiasaTangulizi

Siri zavuja mgogoro Lipumba Vs Maalim Seif?

MIKAKATI inayofanywa na Kambi ya Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF anayetambiliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ina lengo...

KimataifaTangulizi

Ndege ya Ethiopia yapata ajali, 157 wahofiwa kufariki

NDEGE ya kampuni ya Ethiopia aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikisafiri kutoka Adis Ababa kuelekea Nairobi imeanguka Jumapili asubuhi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu akemea ‘wachungaji feki’ wanaoharibu Ukristo

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Light House Christian Center Dar es Salaam, Dk. Rejoice Ndalima amewakemea baadhi ya watu ambao wanajiita watumishi wa...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mahenge: Kupandisha bei hakutawasaidia

MKUU wa mkoa wa Dodoma, Dk. Binilith Mahenge amewataka wafanyabiashara wa Dodoma kufanya biashara zao kwa malengo ya kujiongezea kipato kwa njia harari...

Habari Mchanganyiko

Wakulima Dodoma wadai kucheleweshewa fidia

WAKULIMA zaidi ya 70 wa kata ya Mtumba jijini Dodoma ambao maeneo ya yalipimwa na ofisi ya jiji bila kushirikishwa wanadai kitendo cha...

Habari Mchanganyiko

Kibonde azikwa makaburi ya Kinondoni, huzuni, simanzi vyatawala

HATIMAYE safari ya mwisho ya aliyekuwa Mtangazaji Mahiri wa  Clouds Media Group, Ephraim Kibonde imemalizika katika Makaburi ya Kinondoni  jijini Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Kambi Maalim Seif ‘wamwaga mboga’

MGOGORO ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) unachochewa na waliopo nje ya chama hicho hivyo kuwa na wakati mgumu kumalizwa. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Siku...

Habari za SiasaTangulizi

Edward Lowassa alakiwa Arusha

VIJANA kwa wazee mkoani Arusha leo tarehe 9 Machi 2019 wamejitokeza kumpokea Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za Siasa

Kubenea kufuta machozi walimu Shule za Msingi Mburahati, Karume

SAED Kubena, Mbunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam ameahidi kukarabati ofisi za walimu ili kutatua kero zao za kufanyia kazi...

Habari za Siasa

RITA yapitisha Bodi ya Wadhamini CUF Lipumba

KATIKATI ya mgogoro wa makundi mawili ndani ya Chama cha Wananchi (CUF), Wakala wa Usajili, Udhamini na Ufilisi (Rita) imesajili majina manane kuunda...

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee: Lowassa anavuja damu ya usaliti

HATUA ya Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema kurejea CCM imetajwa kwamba ni usaliti kwa waliomwamini na kumpigia kura kwenye Uchaguzi Mkuu...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara Dodoma waonywa

WAFANYABISHARA  wa soko kuu la Majengo jijini hapa wameonywa kutowachagua viongozi wenye kuhamasisha migogoro ndani ya soko. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Makala & Uchambuzi

Gombaneni lakini kunyimana hapana!  

NAWAKARIBISHA katika safu hii ya Jamvi la Babu Jongo. Babu yenu niko salama na pia namshukuru Muumba kwa kunijaalia afya na uwezo wa...

Habari Mchanganyiko

“Mali za ushirika zilizopigwa zawekewa mikakati”

SERIKALI imekiagiza Chama Kikuu Cha Ushirika (Nyanza) mkoani Mwanza kuhakikisha kinaorodhesha na kuzitambua mali zote  za chama hicho zilizokuwa zimetaifishwa kinyemera. Anaripoti Moses Mseti,...

Habari za Siasa

Chadema, ACT wapigwa ‘stop’ kuadhimisha siku ya wanawake

JESHI la Polisi limezuia vyama vya ACT-Wazalendo na Chadema kufanya maazimisho ya siku ya wanawake katika mikoa ya Katavi na Geita. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

MO ahofia yatima wa Kibonde, Kikwete: Jahazi litaendeleaje?

WAKATI maandalizi ya kuupumzisha mwili wa aliyekuwa mtagazaji wa Redio ya Clouds,Ephraim Kibonde baada ya kufariki dunia jana asubuhi tarehe 7 Machi 2019...

Habari Mchanganyiko

LHRC yaitaka serikali kuboresha sheria zinazokandamiza wanawake

IKIWA leo tarehe 8 Machi 2018 Tanzania na dunia nzima inaadhimisha siku ya wanawake duniani, serikali imeendelea kusisitizwa kuboresha sera na sheria zinazohusu...

Habari Mchanganyiko

Sakata la MO kaa la moto

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ameingia kigugumizi kuzungumzia ukimya  uliomshtua Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi wetu …...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yawarejesha Mbowe, Matiko uraiani

MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam, imewarejesha uraiani wabunge wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (Hai) na Esther...

Habari Mchanganyiko

Kibonde kuzikwa Jumamosi

MAZISHI ya aliyekiwa mtangazaji wa Kituo cha Redio Clouds, Ephrahim Kibonde atazikwa Jumamosi wiki hii. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Mwili wa Kibonde...

Habari za Siasa

Makamba: Ningeshangaa Mgeja kubaki Chadema

KUREJEA kwa Hamis Mgeja katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana tarehe 6 Machi 2019, hakukuwashtua wengi. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Katoliki washusha waraka ‘Ujumbe wa Kwaresma’

KANISA Katoliki Tanzania limetoa waraka uliobeba ujumbe wa Kwaresima, huku likiangazia changamoto zinazokabili familia na visababishi vya changamoto hizo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Waraka huo...

Tangulizi

Namna Kibonde alivyoanza safari ya kifo chake

SAFARI ya mwisho ya Ephrahim Kibonde, mtangazaji na Mahiri wa  Clouds FM aliyekuwa akitangaza kipindi cha Jahazi,  ilishika kasi siku ya mazishi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Msiba mwingine Clouds; Ephraim Kibonde afariki

SIKU tatu baada ya kufariki Ruge Mutahana, aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group (CMG), Ruge Mutahaba, leo tarehe 7...

MpyaSiasa

Prof. Lipumba amtumia Lowassa kujiimarisha

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ameanza kumtumia Edward Lowassa...

Habari za Siasa

Hatma ya Mbowe, Matiko Kesho

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu ya uamuzi wa rufaa ya mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Nimewakimbia Chadema, hawashauriki – Mgeja

ALIYEKUWA kada wa miaka mingi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hamis Mgeja, ambaye miaka miwili iliyopita, alikihama chama hicho na kutimkia Chama cha...

error: Content is protected !!