Saturday , 18 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari MchanganyikoTangulizi

Video ya mahojiano Mke wa Bilionea Msuya, Polisi zakataliwa

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekataa kupokea kielelezo cha Tape iliyofikishwa mahakamani hapo na shahidi wa sita wa Jamhuri, Inspekta...

Habari za Siasa

Mbowe ateta na RC, RPC Iringa

  MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Iringa (RC), Queen...

Tangulizi

Dk. Bisimba apewa tuzo ya maisha, atoa ujumbe

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umempa tuzo ya maisha ya mtetezi wa haki zabinadamu, Mkurugenzi Mstaafu wa Kituo cha...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atumia dakika 76 kutema nyongo, amshukuru Rais Samia

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe ametumia takribani dakika 76, kulihutubia Taifa ikiwa ni siku nne baada ya kutoka mahabusu ya Gereza la Ukonga,...

Tangulizi

Mwanaye Rais Museveni atangaza kustaafu jeshi Uganda

KAMANDA wa jeshi la ardhini nchini Uganda (UPDF), Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kustaafu katika jeshi hilo baada ya kuhudumu kwa miaka 28....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe ataja chanzo cha kukamatwa, kufunguliwa kesi ya ugaidi

  MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, amedai chanzo cha yeye kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi, ni hotuba yake ya uchambuzi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Rais Dk. Mwinyi kuanzisha Wizara mpya, kumweka mwanamke

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema anakwenda kufanya mabadiliko ya Wizara ya Afya kwa kuitenganisha...

Habari za Siasa

Rais Samia: Hakuna kuulizana dini wakati wa sensa

Rais Samia Suluhu Hassan amesema hakuna mtu atakayeulizwa dini yake wakati wa sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti mwaka huu. Anaripoti...

Habari za Siasa

Askofu Bagonza amzungumzia Mbowe, Urio na ACP Kingai

ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, KKKT, Dk. Benson Bagonza, amesema juhudi zinahitajika ili kuijenga Tanzania mpya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atoa tahadhari mfumuko wa bei

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametahadharisha uwepo wa mfumuko mkubwa wa bei nchini unaosababishwa na kupanda kwa bei...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Askofu Bagonza aeleza alivyopingwa pendekezo la Rais mwanamke

ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, KKKT, Dk. Benson Bagonza, amesema miaka kumi iliyopita alipingwa na baadhi...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza aeleza kwa nini CCM itakufa

  ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe, ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Benson Bagonza, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitakufa...

Habari za SiasaTangulizi

BAWACHA yatangaza ziara nchi nzima

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limesema litafanya ziara katika kanda za nchi, kwa ajili ya kuhamasisha ufufuaji...

Habari za Siasa

BAWACHA yawapa jukumu wanawake

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limewataka wanawake kujenga familia zinazozingatia misingi ya usawa wa kijinsia. Anaripoti Regina...

Makala & Uchambuzi

Mbowe ametoka magereza na mtaji wa kisiasa

LICHA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kusota kwenye kuta za gereza la Ukonga kwa siku 226, ametoka...

Habari za Siasa

Mazungumzo ya Rais Samia, wapinzani: ACT-Wazalendo yasema safari bado

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mazungumzo na wapinzani haiwezi kumaliza changamoto zinazoikabili nchi kwenye demokrasia, kwani huenda...

Habari za Siasa

Meya Moshi kutimuliwa, vikao CCM vyaendelea

  KITI cha umeya wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kinachokaliwa na Juma Raibu kinazidi kufukuta moto, baada ya kamati ya siasa ya...

ElimuHabari za Siasa

Rais Samia ala kiapo elimu watoto wenye mahitaji maalumu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake haitakubali mtoto wa Kitanzania akose fursa ya elimu kwa sababu ya kuwa na...

Habari za Siasa

Zungu amtoa hofu Rais Samia kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025

NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu amemtaka Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, asiwe na hofu kuhusu Uchaguzi Mkuu ujao wa 2025,...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: ACT-Wazalendo wataka sheria kumdhibiti DPP, DCI

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeshauri mifumo ya utawala na utoaji haki jinai nchini iboreshwe, ili kukomesha changamoto ya watu kubambikiwa kesi za kisiasa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Sikutaka kesi ifutwe ili dunia ijue ukweli

MWENYEKITI wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia, Freeman Mbowe amesema licha ya kuwa ugaidi ni kosa linaloweza kumfungisha mtu maisha lakini alimuomba Mungu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Nguvu ya umma imenitoa gerezani

KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kilichomfanya akafutiwa mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili ni “nguvu ya...

Habari za Siasa

Jeshi Urusi kuokoa wanafunzi wa Tanzania waliokwama Ukraine

SERIKALI ya Urusi imetengeneza njia salama ya kuwawezesha wanafunzi raia wa Tanzania wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Sumy kilichopo nchini Ukraine kuvuka na...

HabariTangulizi

Serikali yatenga Tril. 1/- kukopesha mabenki kwa riba ndogo

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imetenga Shilingi trilioni moja katika mpango mahususi wa kuwezesha mabenki kukopesha kwa riba ndogo isiyozidi asilimia 10....

Habari

Vijana 854 waliofukuzwa JKT wasamehewa

  MKUU wa Majeshi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo amewasamehe vijana 853 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliofukuzwa makambini April 12, 2021 kutokana...

Habari za SiasaTangulizi

Walichoteta Rais Samia, Mbowe Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman Mbowe. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Ngome ya wanawake ACT-Wazalendo yawakumbuka wazazi waliojifungua

  WANAWAKE wa ACT Tanzania waadhimisha siku ya wanawake Duniani kwa kuwatembelea wazazi katika Kituo cha Afya cha Palestina Sinza jijini Dar es...

Habari za Siasa

Kuachwa huru kwa Mbowe: Askofu Mwamakula amtega Rais Samia

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Moravian Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki, Emmaus Mwamakula, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aruhusu mchakato wa upatikanaji...

Makala & Uchambuzi

Bunge la Tanzania bila upinzani wa kutosha linailaza Serikali

  MIAKA ya nyuma tukiwa watoto, shuleni tukijifunza Fizikia, walimu wetu walituelewesha nini maana ya chanya na hasi katika somo hilo na umuhimu...

Habari za SiasaTangulizi

Kuachiwa Mbowe: Shangwe zaibuka mahakamani, Kibatala afunguka

  SHANGWE zimeibuka katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, baada ya mahakama hiyo kufuta...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe ahitimisha siku 226 mahabusu

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Aikaeli Mbowe leo Ijumaa, tarehe 4 Machi 2022 amehitimisha siku 226...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wafutiwa mashtaka

  MKURUGENZI wa Mashtaka (DPP) leo Ijumaa tarehe 4 Machi 2022, amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti...

BiasharaHabari

Zawadi NMB MastaBata zabaki milioni 100

KAMPENI ya NMB MastaBata inayoelekea ukingoni imebakiwa na zawadi ya Sh.100 milioni baada ya Sh.140 milioni kati ya Sh.240 milioni kunyakuliwa na washindi...

Makala & Uchambuzi

Mgogoro Urusi-Ukraine: Je, vita ya tatu ya dunia?

KUMEKUWEPO na kurushiana maneno baina ya Urusi na nchi za Magharibi huku kukiwepo matamshi yanayoashiria kutokea vita vya tatu ya dunia sambamba na...

Habari za Siasa

Vyama vya siasa vyaitwa taasisi ya Mwalimu Nyerere

  WATU kutoka vyama vya siasa vya upinzani, wameshauriwa wajiunge na Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere, ili waongeze nguvu katika ulinzi...

Habari za Siasa

Taasisi yaomba makumbusho ya Mwalimu Nyerere Dar es Salaam

  TAASISI ya Kumbukumu ya Mwalimu Julius Nyerere, imeiomba Serikali, wadau  na wananchi, watoe mchango wao wa hali na mali, kwa ajili ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jamaa aoa pacha watatu wanaofanana “Nawapenda wote

MWANAUME kutoka Jamhiri ya Kidemokrasia ya Congo ameingia kwenye rekodi ya mfalme Solomoni baada ya kufunga pingu za maisha na mapacha watatu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa dini wamwomba Rais Samia kuwaachia kina Mbowe

  VIONGOZI wa dini nchini Tanzania, wamemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kutumia mamlaka aliyonayo kumaliza kesi ya ugaidi inayomkabili, kiongozi...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda atinga makahamani, apewa siku 21

  ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam impe muda...

Habari MchanganyikoKitaifa

UNYAMA; mtoto adaiwa kulawitiwa, afariki, wazazi waiangukia Serikali

NI unyama ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya mtoto Ian Macha mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi nane kudaiwa kutendewa ukatili wa kingono,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki Tanzania watoa waraka wa Kwaresima, wagusia upatanisho

  BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa Kwaresima wa mwaka 2022 ambao kwa sehemu kubwa umejikita kuzungumzia umuhimu wa upatanisho....

Habari za Siasa

#LIVE: Mawaziri Tanzania wakielezea mafanikio ya ziara za Rais Samia

  MAWAZIRI wa Serikali ya Tanzania wanaelezea ziara zilizofanywa na kiongozi mkuu wa Taifa hilo, Rais Samia Suluhu Hassan. Hivi karibuni, Rais Samia...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda kizimbani leo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam nchini Tanzania leo Jumatano tarehe 2 Machi 2022, itasikiliza maombi ya kufungua kesi...

Makala & Uchambuzi

Uvamizi Ukraine: Warusi waanza kuonja makali ya vikwazo

  “NINGEKUWA na uwezo ningehama Urusi sasa hivi. Ningefanya hivyo. Lakini siwezi kuacha kazi yangu,” anasema Andrey. Hataweza kumudu mpango wa kununua nyumba...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi awazungumzia wanaopinga miradi anayotekeleza

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi anaamini watu wanaohoji na kupinga miradi inayoanza kutekelezwa hapa Zanzibar ni wapinzani wake. Anaripoti Jabir...

Habari za Siasa

Godlisten Malisa afunguka Makonda alivyopigwa urais vyuo vikuu

  MWANAHARAKATI wa kisiasa nchini Tanzania, Godlisten Malisa amezungumzia jinsi aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambavyo hakupaswa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia mgeni rasmi Siku ya Maridhiano

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Maridhiano day yatakayofanyika...

Habari

Wanajeshi 70, raia 352 wauawa Ukraine

  TAKRIBAN wanajeshi 70 wameuawa katika shambulio la mizinga lililofanywa na wanajeshi wa Urusi katik miji muhimu ya Ukraine. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

HabariMichezo

GSM wapata pigo

BABA mzazi wa mfanyabiashara maarufu na mfadhiri wa klabu ya Yanga, Ghalib Said Mohammed (GSM), mzee Said Mohamed amefariki Dunia leo Jumanne tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa azungumzia kesi ya Mbowe

  ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dk Wilbrod Slaa amesema, anamwombea kwa Mwenyezi Mungu, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ili haki iweze...

error: Content is protected !!