Saturday , 18 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Taasisi ya urais haiwezi kuendeshwa kwa rimoti: Chongolo

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakuna mtu anayeweza kuiendesha taasisi ya urais “kwa rimoti” na kwamba watu wanaofikiria hivyo “ni kuwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaligomea kongamano la TCD

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimesema hakitashiriki kongamano la amani lililoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kikidai hakioni...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe amshangaa IGP Sirro kuwepo madarakani

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro hapaswi kuwa...

Habari za Siasa

#LIVE- Mbowe akitoa maazimio ya kamati kuu

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanania cha Chadema, Freeman Mbowe anatoa maazimio ya kikoa cha kamati kuu ya chama hicho...

Habari za Siasa

#LIVE- Katibu Mkuu CCM anazungumza na wanahabari

  KATIBU Mkuu wa Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo anazungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa, tarehe 18...

Habari

Chuo cha Mwalimu Nyerere chajivunia siku 365 za Rais Samia

  CHUO cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) nchini Tanzania kimesema, Rais Samia Suluhu Hassan katika mambo aliyofanikiwa kuyafanya ndani ya kipindi cha...

HabariKimataifa

Serikali ya Rwanda yashutumiwa kwa kukandamiza uhuru wa kujieleza

MAELFU ya Watu Wamenyanyaswa , kutishwa na kufunguliwa mashitaka kwa kuwa na maoni muhimu kuhusu Serikali ya Rwanda , Humani Raght Watch [HRW]...

Habari

Nitazindua miradi ya Chato mwenyewe: Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan amesema ataizindua mwenyewe miradi yote inayotekelezwa Wilayani Chato mkoani Geita kama ambavyo angefanya mtangulizi wake Hayati Dk. John Magufuli....

Habari

Zungu aipongeza NMB kuwakumbuka Machinga

  NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu ameishukuru Benki ya NMB kwa kuwakumbuka wamachinga na kuwasaidia kukua. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Zungu...

Makala & Uchambuzi

Putin tajiri namba moja duniani, anayeitikisa Marekani

  WAKATI mtandao maarufu duniani wa Forbes ukimuorodhesha Mhandisi na Mjasiriamali Elon Reeve Musk kuwa na tajiri namba moja duniani kwa kuwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa adaiwa kuwakimbia Malaigwanani Ngorongoro

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anadaiwa kuwakimbia viongozi wa kimila wa Kimasai wanaoishi wilayani Ngorongoro na badala yake kufanya kazi na wenzao wa...

GazetiHabariTangulizi

Mwaka mmoja wa Rais Samia, sekta ya michezo yatoka kifua mbele.

  KATIKA kuelekea kutimiza mwaka mmoja wa uongozi wake, toka alipoingia madarakani, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameonekana...

Habari za Siasa

Mtia nia Urais 2020 ageuka kiunganishi cha wachumba

ALIYEKUWA mtia nia katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais mwaka 2020 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Mayrose Majinge ameanzisha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maswali tata mauaji yaliyofanywa na askari Kigoma

  MAUAJI ya raia mmoja yaliyofanywa na askari wa jeshi la polisi nchini, pamoja na kujeruhiwa kwa raia wawili, katika uwanja wa michezo...

Habari za SiasaTangulizi

Mwaka 1 SSH: Wasanii kicheko, watema nyongo

  WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kutimiza mwaka mmoja madarakani tangu alipoapishwa rasmi tarehe 19 Machi, 2021, sekta ya sanaa na burudani...

GazetiHabariMichezo

Yanga yamwalika Rais Samia Uwanjani, mchezo dhidi ya Kmc

KLABU ya soka ya Yanga, imemualika Rais wa Jamhuri ya Muungano Samia Suluhu Hassan, kuwa mgeni rasmi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba mpya, tume huru inavyoipasua Chadema na ACT-Wazalendo

  MJADALA wa nini kianze kupatikana kati ya Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi, umeendelea kutikisa vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Kinana, Lipumba kujadili mkwamo katiba mpya

  KITUO cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimemuita Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba...

Habari za Siasa

Ulinzi, mambo ya nje waelezea mafanikio mwaka mmoja wa Samia madarakani

  WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, pamoja na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, zimeeleza mafanikio...

Habari MchanganyikoTangulizi

RC Arusha ataka ushahidi ‘majina feki’ waliokubali kuhama Ngorongoro

  MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amewataka watu wanaodai kuna majina ya kughushi katika orodha ya wananchi waliokubali kuhama kwenye Hifadhi...

Makala & UchambuziTangulizi

Ni mwisho wa enzi kwa Polepole?

  KATIKA uteuzi wa vigogo mbalimbali wa Serikali ambao umefanywa na Rais Samia Suluhu Hassan tarehe 14 Machi, 2022, jina la Humprey Polepole...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo zaidi CUF kutimkia ACT Wazalendo, Kambaya, Maftaha watajwa

  AWAMU ya Pili ya ‘shusha Tanga pandisha tanga’ ya Chama cha ACT-Wazalendo imetajwa kuwa na kishindo baada ya viongozi waandamizi kutoka chama...

Habari za Siasa

Dk. Nchemba: Fedha zimefika mifukoni mwa watu

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan madarakani amefanya mambo...

Habari za Siasa

Kindamba apewa majukumu matatu Njombe

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemkabidhi majukumu matatu, Mkuu mpya wa Mkoa wa Njombe, Waziri Kindamba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole kupewa darasa, kuteta na Rais Samia

  BALOZI mpya wa Tanzania nchini Malawi, Humphrey Polepole kabla ya kwenda kuanza majukumu yake mapya atakutana na mambo mawili muhimu ikiwemo kuteta...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole, Kindamba waapishwa Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi na Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa...

Habari za Siasa

Wabunge Tanzania wanusa ‘madudu’ ujenzi SGR

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu nchini Tanzania, imeonesha wasiwasi wa kukamilika kwa wakati na kwa viwango vya ujenzi wa Reli...

Habari za SiasaTangulizi

Mabadiliko mengine baraza la mawaziri yaja

  HAKUNA shaka kuwa Rais wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, anaweza kulifanyika mabadiliko mengine baraza lake la mawaziri, muda wowote kutoka sasa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Samia amrejesha Mchechu NHC, ampeleka Polepole Malawi

RAIS Samia leo tarehe 14 Machi 2022 ameteua viongozi mbalimbali wa Serikali huku akimwondoa Humphrey Polepole bungeni na kumpeleka kuwa balozi wa Tanzania...

Habari za Siasa

Spika Tulia awapa mbinu ya ushindi wanawake uchaguzi CCM

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amewataka wanawake wafanye maandalizi ya kugombea nafasi za uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika...

Habari za Siasa

Sheria ya kulinda data, faragha yaja

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema maandalizi ya muswada wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, yako...

Habari MchanganyikoTangulizi

Basi la abiria lapata ajali Songwe

  BASI la Kampuni ya Kilimanjaro linalofanya safari kutoka Tunduma kwenda Dar es Salaam asubuhi ya leo Jumatatu tarehe 14 Machi 2022, limepata...

MichezoTangulizi

Simba hatari, Ibenge hafui dafu kwa Mkapa

  BAO la dakika 42, lililowekwa kamabi na Pape Ousamne Sakho dhidi ya RS Berkane, lilitosha kuifanya klabu ya Simba kuwa kileleni kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

Lema, Zitto hapatoshi, watupiana madongo

WANASIASA wawili vijana na maarufu nchini, Godbless Lema na Zitto Kabwe wameingia kwenye vita nnzito ya maneno baada ya kila mmoja kuanza ‘kufukua...

Makala & Uchambuzi

Rais Kenyatta amtangaza Odinga mrithi wake, aidhinishwa rasmi kuwania urais

KIONGOZI wa Orange Democratic Movement (ODM), Raila Odinga amepata ridhaa kuipeperusha bendera ya muungano wa Azimio la Umoja katika uchaguzi mkuu wa Kenya...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Rais mdogo zaidi duniani aapishwa, alimbwaga bilionea

GABRIEL Boric mwenye umri wa miaka 36 ameapishwa jana tarehe 12 Machi, 2022 kuwa Rais mpya wa Chile na kuweka rekodi ya kuwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kamishna afunguka Kiwanda cha magodoro GSM kuteketea kwa moto

KAMISHNA Msaidizi wa Zimamoto- Kinondoni (ACF) Christina Sunga amesema hakuna majeruhi wala madhara kwa binadamu katika ajali ya moto iliyotokea kwenye kiwanda cha...

Tangulizi

Rais Samia kurejesha mikutano ya hadhara kwa kanuni

Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Katiba na Sheria, kuandaa kanuni zitakazoelekeza jinsi vyama vya siasa vitakavyofanya mikutano ya hadhara. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

CCM kufanya marekebisho ya Katiba yake

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalumu, kwa ajili ya kufanya marekebisho katiba yake ya 1977, iliyorejewa mwaka 2020, kwa lengo...

Habari za Siasa

Wawili kuchuana uenyekiti ACT-Wazalendo Vijana Dar es Salaam

NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, kesho Jumapili, tarehe 13 Machi 2022, kinatarajia kufanya uchaguzi wa kujaza...

Habari za SiasaTangulizi

Bajeti ya pili ya Rais Samia imelenga kufikisha wapi uchumi?

  WAKATI mwaka mmoja wa kukamilisha bajeti yake, ukifikia ukingoni, Serikali ya awamu ya sita imelenga kuongeza zaidi ukuaji uchumi kwa mwaka wa...

Habari za Siasa

Serikali yaokoa Bil. 236/- baada ya kushinda mashauri 451

  SERIKALI ya Tanzania, imeokoa kiasi cha Sh. 236.6 bilioni katika kipindi cha mwaka mmoja wa uongozi wa Serikali ya Rais Samia Suluhu...

Habari za Siasa

Uchumi wa Tanzania waongezeka kwa asilimia 0.1

UCHUMI wa Tanzania umeongezeka kwa asilimia 0.1 kwa kipindi cha mwaka mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu Dodoma … (endelea). Uchumi wa Tanzania umeongezeka kwa...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi yakubali kushiriki mkutano TCD na Rais

  CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimetengua azimio lake la kutoshiriki mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Rais Samia Suluhu Hassan, baada ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

453 wajitokeza kuhama Ngorongoro

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amepokea orodha ya majina ya awali ya kaya 86 zenye watu 453 ambao wamekubali kuondoka kwenye hifadhi...

Habari za Siasa

Mtia nia Urais Chadema 2020 amsifu Rais Samia, ataka watu waache dhana mbaya

ALIYEKUWA mtia ya kugombea Urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Maryrose Majinge amewataka Watanzania...

Tangulizi

Vijana ACT-Wazalendo watoa mapendekezo sita upatikanaji tume huru ya uchaguzi

  NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, imetoa mapendekezo sita yatakayowezesha upatikanaji wa tume huru ya uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari

Lissu afunguka Chadema kujiunga Serikali ya Umoja wa Kitaifa

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Chadema Bara, Tundu Lissu, amesema chama hicho hakiko tayari kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK),...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la kina Mdee:Chadema yasema haitapeleka barua nyingine bungeni

  CHAMA cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitapeleka barua nyingine kwenda kwenye uongozi wa Bunge, kulitaarifu msimamo wake wa kufukuza uanachama wabunge...

Habari za Siasa

Lissu asema mchakato katiba mpya mgumu, ataka safari ianze

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Chadema Bara, Tundu Lissu, amesema mchakato wa upatikanaji katiba mpya ni mgumu, kwani unachukua muda mrefu na...

error: Content is protected !!