KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanania cha Chadema, Freeman Mbowe anatoa maazimio ya kikoa cha kamati kuu ya chama hicho kilichokutana hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Mbowe anazungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu alipotoka gerezani tarehe 4 Machi 2022, baada ya kufutiwa mashtaka ya ugaidi aliyokuwa anakabiliwa nayo yeye na wenzake watatu.
Fuatilia mkutano huo na waandishi unaofanyika makao makuu ya Chadema, Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Leave a comment