Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Basi la abiria lapata ajali Songwe
Habari MchanganyikoTangulizi

Basi la abiria lapata ajali Songwe

Spread the love

 

BASI la Kampuni ya Kilimanjaro linalofanya safari kutoka Tunduma kwenda Dar es Salaam asubuhi ya leo Jumatatu tarehe 14 Machi 2022, limepata ajali maeneo ya Senjele mkoani Songwe likiwa safarini kwenda jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Songwe … (endelea).

Katika picha ambazo zimesambaa mitandaoni zinaonesha basi hilo likiwa limeanguka  na matairi yakiwa juu na abiria wanahangaika kutoka ndani ya basi hilo.

Haijafahamika kama kuna vifo ama majeruhi waliotokana na ajali hiyo.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV na MwanaHALISI Online kwa habari na taarifa mbalimbali 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!