Tuesday , 7 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

CCM yajikusanyia wabunge, wapinzani wapata 2

MATOKEO ya Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania uliofanyika Jumatano iliyopita tarehe 28 Oktoba 2020 yanaonyesha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejikusanyia viti vingi vya udiwani...

Habari za Siasa

Majaliwa awashauri walioshindwa udiwani, ubunge

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewashauri wagombea wasioridhika na matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020 kufuata taratibu za kisheria....

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi ashinda urais Zanzibar

TUME  ya Uchaguz Zanzibar (ZEC) imemtangaza Dk. Hussein Ali Mwinyi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Rais mteule wa visiwa hivyo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Gambo amshinda Lema Arusha Mjini

GODBLESS Lema wa Chadema, ametangazwa kushindwa ubunge wa Arusha Mjini kwa kupata kura 46,489. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Lema ameshindwa na Mrisho Gambo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Upinzani wapoteza vigogo hawa bungeni  

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania kimeendelea kutangaza matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Urais uliofanyika jana Jumatano tarehe...

Habari za Siasa

Zitto apoteza ubunge Kigoma Mjini

ZITTO Zuberi Kabwe wa ACT-Wazalendo, ametangazwa kushindwa Ubunge Kigoma Mjini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kigoma … (endelea). Msimamizi wa uchaguzi, amemtangaza Kirumbe Ng’enda wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Hatutambui kinachofanywa na NEC 

TUNDU Antiphas Mughwai Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema amesema, hakubaliani na chochote kinachoendelea kuhusu Uchaguzi Mkuu uliofanyika jana Jumatano tarehe 28...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Sugu, Heche waangushwa 

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe anaongoza orodha ya wabunge wa chama hicho kushindwa kutetea ubunge wao katika majimbo...

Habari za Siasa

Zitto: Tumedhibiti kura feki, mapambano bado

ZITTO Kabwe, mgombea ubunge Kigoma Mjini kupitia ACT-Wazalendo amesema ‘tumedhibiti wizi.’ Anaripoti Yusuph Katimba, Kigoma … (endelea). Akizungumza na waandishi wa habari Jumatano...

Habari za Siasa

Polisi yazungumzia waliobeba vibegi vituoni

KAMANDA wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amezungumzia baadhi ya watu kuonekana wakiwa na mabegi mgongoni katika...

Habari za Siasa

NEC yazungumzia kura feki zilizokamatwa 

TUME ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC), imesema haijapokea taarifa rasmi ya kukamatwa kwa masanduku ya kura yenye kura za kughushi ‘feki’. Anaripoti...

Habari za Siasa

Kubenea: Tume ifute uchaguzi Kinondoni

MGOMBEA Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kufuta uchaguzi katika jimbo hilo kwa madai ya...

Habari za SiasaTangulizi

Zuio la mawakala lawaliza wapinzani

WAGOMBEA wa vyama vya upinzani katika Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania unaofanyika leo Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 wamelalamikia dosari zinazojitokeza kwenye uchaguzi huo....

Habari za Siasa

Ma RC, DC wapigwa ‘stop’ vituo kuhesabu, kutangaza matokeo  

WAKUU wa Mikoa (RC) na Wilaya (DC) nchini Tanzania, ni miongoni mwa watendaji wa Serikali ambao hawatakiwi kuingia katika vituo vya kupiga, kuhesabu...

Habari za Siasa

Lissu kupiga kura Ikungi, Magufuli Dodoma

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli akiambatana na Mke wake, Mama Janeth Magufuli wamepiga kura katika Kituo...

Habari za Siasa

Madai kura feki, Polisi wamkamata Mdee na kumwachia

JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni asubuhi ya leo Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 walimkata Mgombea Ubunge wa Kawe, Halima Mdee wa...

Habari za SiasaTangulizi

Watanzania kuamua, mawakala tatizo  

WATANZANIA milioni 29.8 waliojiandikisha katika daftari la kudumumla wapiga kura wanaendelea na shughuli ya upigaji kura kuwachagua madiwani, wabunge na Rais kwenye Uchaguzi...

Habari za Siasa

Maalim Seif aachiwa kwa dhamana 

JESHI la Polisi Zanzibar, limemwachia kwa dhamana, mgombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Tumemaliza kazi, mawakala msituangushe

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amewaomba wanachama wa chama hicho, kuwalinda mawalaka wao ili kutimiza...

Habari za Siasa

Mwalimu: Tujiandae kisaikolojia kuongozwa na Lissu

MGOMBEA mwenza wa urais kupitia Chadema, Salum Mwalimu amewaomba Watanzania kufanya uamuzi juu ya maisha yao katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika kesho tarehe 28...

Habari za Siasa

Chadema: Tuwasindikize mawakala vituoni 

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania,  kimewaomba wanachama wake kuwasindikiza mawakala wa chama hicho katika vituo vya kupigia kura. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Sheikh Ponda: Tumewasikia Lissu na Magufuli, tukaamue  

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda amesema, Watanzania wanapaswa kuamua kati ya Tundu Lissu wa Chadema na...

Habari za Siasa

Kura ya mapema yaendelea Zanzibar, wapinzani wakamatwa

LEO Jumanne tarehe 27 Oktoba 2020 kura za mapema kwa watumishi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na watumishi wanaosimamia uchaguzi huo, zinaendelea...

Habari za Siasa

IGP Sirro: Atakayeshinda atatangazwa, aonya NEC na wanasiasa 

INSPEKTA Jenarali wa Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro amewaomba wadau wa uchaguzi nchini humo kutimiza wajibu wao kikamilifu ili Uchaguzi Mkuu utakaofanyika kesho...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif akamatwa Z’bar 

MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad inadaiwa amekamatwa na Jeshi la Polisi katika Kituo cha kupigia kura cha Garagara...

Habari za Siasa

Maalim Seif: Nitapiga kura kesho

MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema, atapiga kura siku ya kwanza kesho Jumanne tarehe 27 Oktoba badala ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ajitabilia ushindi asilimia 52

MGOMBEA Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea amesema anatarajia kushinda uchaguzi wa jimbo hilo kwa wastani wa asilimia 52.8 hadi 58.2. Anaripoti...

Habari za Siasa

Magufuli awahoji wanaotaka akae madarakani miaka mitano

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli amewahoji wananchi wanaotaka akae madarakani muhula mmoja tofauti na walivyokaa marais waliopita....

Habari za Siasa

Kubenea aiandikia barua NEC, IGP Sirro

MGOMBEA Ubunge Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea ameiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akiiomba imwondoe Msimamizi wa Uchaguzi Wilaya ya Kinondoni,...

Habari za Siasa

NEC: Kura ya Rais itapigwa ulipojiandikisha

TUME ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC), amewataka wananchi kubaki maeneo waliyojiandikisha kupiga kura, ili wapate nafasi ya kushiriki katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika...

Habari za Siasa

Kubenea: CCM inafanya mzaha msiichague

SAED Kubenea, Mgombea Ubunge wa Kinondoni amesema, Serikali ya Chama Cha Mapimduzi (CCM), imefanya mzaha kwenye maisha ya watu kwa kuacha kujenga miondombinu...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ashinda rufaa, kurejea kwa kushindo

KAMATI ya Maadili ya Kitaifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetengua uamuzi wa kamati ya maadili Jimbo la Kinondoni...

Habari za SiasaTangulizi

LISSU: Tutashinda kwa asilimia 65 hadi 75

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema amesema, wamefanya utafiti wa kuangalia mwitikio wa wananchi kwenye mikutano yao, upigaji kura na kubaini...

Habari za Siasa

NEC: Wamejipanga kuharibu taswira ya uchaguzi

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imebaini kuwepo kwa kundi la watu wakiwemo baadhi ya viongozi wa juu wa vyama vya...

Habari za Siasa

Barabara Ruangwa-Kiranjeranje kuwekwa lami

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali ya CCM imepanga kujenga barabara ya kutoka Ruangwa...

Habari za Siasa

Mkutano wa Lissu watawanywa kwa mabomu

JESHI la Polisi Mkoa wa Lindi nchini Tanzania, limeutawanya kwa mabomu ya machozi, mkutano wa Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema...

Habari za Siasa

Lissu aitisha maombi ya kitaifa

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia Chadema, Tundu Lissu ametoa wito kwa Watanzania wa dini zote kufanya maombi ya kitaifa Jumatatu ya tarehe 26...

Habari za Siasa

Dk. Shein: Nimefanikiwa

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema, anaondoka madarakani huku akifanikiwa kuacha visiwa hivyo (Unguja na Pemba) vikiwa na...

Habari za Siasa

Maalim Seif atunukiwa keki jukwaani, Lissu amfuata

TAREHE 22 Oktoba 1943, ndio siku aliyozaliwa Maalim Seif Sharif Hamad, mgombea urais visiwani Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pemba...

Habari za Siasa

Ushirikiano: Msimamo mpya wa Lissu

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema palipo na mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo, wafuasi wa Chadema wamchague....

Habari za SiasaTangulizi

JPM aeleza alivyoteswa na Mbowe

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameeleza namna Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe alivyomtesa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro …...

Habari za Siasa

Maalim Seif atoa sharti kukubali kushindwa Z’bar

MGOMBEA urais Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema, ili akubali kushindwa katika uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 27 na 28...

Habari za Siasa

Mwambe, Katani wazungumzia maisha ya upinzani

WAGOMBEA ubunge wawili wa Mkoa wa Mtwara waliotoka vyama vya upinzani na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameeleza machungu waliyokuwa wakikumbana nayo wakati...

Habari za Siasa

Magufuli ahuisha ndoto ya Mwalimu Nyerere 1978

KIWANDA cha kutengeneza bidhaa za ngozi, kilichoanzishwa na Mwalimu Julius Kambarahe Nyerere mwaka 1978 na kisha kuzorota, kimefufuliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro …...

Habari za Siasa

IGP Sirro: Magaidi 300 walivamia Mtwara

INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP) nchini Tanzania, Simon Sirro amesema, magaidi zaidi ya 300 kutoka Msumbiji walivamia Kijiji cha Kitaya Mkoa wa Mtwara...

Habari za Siasa

Serikali ya Tanzania yawaonya viongozi wa dini

SERIKALI ya Tanzania, amewaonya viongozi wote wa dini na jumuiya za kijamii kuepuka kutoa matamko ya kisiasa yenye lengo la kuhamisha na kuelekeza...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaongeza siku mbili kuapisha mawakala

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imeongeza siku mbili zaidi za kuapisha mawakala wa vyama vya siasa watakaosimamia Uchaguzi Mkuu utakaofanyika...

Habari za Siasa

Zitto: Katiba ACT-Wazalendo haijavunjwa, ‘tumpigie kura Lissu’

ZITTO Zuberi Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, ameendelea kuwaomba Watanzania kujitokeza kwa wingi tarehe 28 Oktoba 2020 kumpigia kura Tundu Lissu, mgombea...

Habari za Siasa

Kubenea afungiwa siku 7

KAMATI ya Maadili Jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam imemfungia mgombea Ubunge wa jimbo hilo kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea, kufanya kampeni kwa...

Habari za Siasa

Majaliwa: Reli ya kimataifa Mtwara- Mbambabay kujengwa

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema, Serikali inataka kuanza ujenzi wa reli...

error: Content is protected !!