Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maalim Seif aachiwa kwa dhamana 
Habari za Siasa

Maalim Seif aachiwa kwa dhamana 

Spread the love

JESHI la Polisi Zanzibar, limemwachia kwa dhamana, mgombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …(endelea).

Maalim Seif ameachiwa leo jioni Jumanne tarehe 27 Oktoba 2020 na kutawakiwa kuripoti Jumatatu ijayo kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi kwa mahojiano zaidi.

Mwanasiasa huyo mkongwe, alikamatwa leo asubuhi katika Kituo cha kupigia kura cha Garagara visiwani humo, alipokwenda kupiga kura ikiwa ni siku ya kwanza ya upigaji kura wa Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge, wawakilishi na Rais utaohitimishwa kesho.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!