Tuesday , 7 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Magufuli azungumzia uteuzi wa mawaziri

JOHN Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema, baraza lake la mawaziri atakaloliunda, linatarajiwa kuwa na mabadiliko “wapo watakaorudi na wapo...

Habari za Siasa

Magufuli, Spika Ndugai wampa pole AG Kilangi

JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania, amempa pole Mwanasheria Mkuu wa Serikali nchini humo (AG), Profesa Adelardus Kilangi kwa majukumu mazito yaliyo mbele yake....

Habari za Siasa

Magufuli: Sina mpango kubadilisha Ma RC, DC, DED na…

RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amewatoa wasiwasi wateule wake wa nafasi mbalimbali za uongozi kwamba hana mpango wa kubadilisha “nilioanza nao nitamaliza nao.”...

Habari za SiasaTangulizi

Lema akimbilia ubalozi wa Marekani kuomba hifadhi

ALIYEKUWA mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), nchini Tanzania, Godbless Lema amekimbilia nchini Kenya, ili kuomba hifadhi ya kisiasa, katika ubalozi wa Marekani, jijini...

Habari za Siasa

Kigogo CUF ang’olewa kwa kubariki uchaguzi mkuu

CHAMA Cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kimemvua madaraka Naibu Katibu Mkuu wake Zanzibar, Ali Makame Issa kwa kosa la kwenda kinyume na msimamo...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi ateua makamu wa pili wa Rais

RAIS na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amemteua Hemed Suleiman Abdallah kuwa Makamu wa Pili wa Rais wa...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo ‘yawapiga stop’ wabunge wake kwenda bungeni

KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Tanzania, ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe amesema, wananchi wasitegemee kuwaona wabunge wa chama hicho wakienda bungeni. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

Mambo matano Bunge jipya

WAKATI Bunge la 12 likianza shughuli zake Jumanne tarehe 10 Novemba 2020 jijini Dodoma, mambo matano yanatarajiwa kujili ndani ya Bunge hilo ambalo...

Habari za SiasaTangulizi

Viti Maalum Chadema pasua kichwa, CC yaahirishwa

CHAMA cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kiko njiapanda juu ya kuamua kupendekeza majina ya wabunge wa viti maalum kwa Tume ya...

Habari za Siasa

Wabunge wateule waitwa Dodoma

WABUNGE wateule wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wametakiwa kufika Dodoma kwa ajili ya usajili unaoanza leo Jumamosi hadi tarehe 9...

Habari za Siasa

CCM yawapitisha Ndugai, Dk. Tulia kuwania Uspika

CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeteua majina mawili ya wanachama wake, watakaogombea Uspika na Naibu Spika wa Bunge la 12...

Habari za Siasa

Viti Maalum vya Ubunge, mtihani mwingine Chadema

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kinakabiliwa na mtihani mwingine mzito juu ya hatma ya nafazi zake za wabunge wake wa...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu aomba hifadhi Ujerumani

ALIYEKUWA mgombea urais wa Chadema, katika uchaguzi mkuu uliyopita nchini Tanzania, Tundu Antipas Lissu, amekimbilia nyumbani kwa balozi wa Ujerumani, jijini Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo kujadili uundwaji Serikali Z’bar 

CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania, ACT-Wazalendo kimesema, kitafanya vikao kwa ajili ya kujadili  kama kitashiriki katika uundwaji wa Serikali ya Umoja...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aanza kuteua, amteua AG

RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameanza kuunda Serikali atakayoiongoza kwa miaka mitano ijayo 2020-2025 kwa kumteua Profesa Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa...

Habari za Siasa

Mbowe, wenzake kiguu na njia polisi

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe wameripoti Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam....

Habari za Siasa

Rais Museveni azungumzia anguko la Mbowe

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amesema aliona mapema anguko la vyama vya upinzani kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti...

Habari za Siasa

Magufuli: Uchaguzi umekwisha, tulijenge Taifa

JOHN Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewaeleza wananchi wa Taifa hilo uchaguzi mkuu umemalizika na jukumu lililopo mbele ni...

Habari za SiasaTangulizi

A-Z kuapishwa Magufuli

JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamis Juma, amemwapisha Dk. John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Tanzania atakayeongoza Taifa hilo kwa kipindi cha...

Tangulizi

Uchaguzi Marekani: Trump kukimbilia mahakamani

DONALD Trump, Rais wa Marekani amesema, uchaguzi mkuu nchini humo uliofanyika jana Jumanne tarehe 3 Novemba 2020 umekubwa na udanganyifu na kupanga kwenda...

Habari za Siasa

Dk. Magufuli kuapishwa kesho, mataifa 17 kuhudhulia

SERIKALI ya Tanzania imesema, viongozi wa ngazi za juu na wawakilishi wa nchi zaidi ya 17 wamethibitisha kuhudhulia sherehe ya kumwapisha Dk. John...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi aanza kuunda serikali. ateua AG

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameanza kuisuka Serikali anayoiongoza kwa kumteua Dk. Mwinyi Twalib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Zitto, Lema waachiwa 

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na wenzao wameachiwa kwa dhamana na Jeshi la...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yamkana mgombea wake wa urais

CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimekana kuutambua msimamo wa aliyekuwa Mgombea wake wa urais wa Tanzania, Yeremia Maganja wa kukubali matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika...

Habari za Siasa

Ndugai, Dk. Tulia wajitosa Uspika

JOB Yustino Ndugai, Mbunge mteule wa Kongwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amejitosa kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea Uspika...

Habari za Siasa

Zitto akamatwa, Mdee…

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limemkamata Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akiwa Kituo cha Polisi Osterbay jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu afikishwa kwa AG, Zitto na Mdee wasakwa

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limepeleka jalada la kesi inayomkabili Tundu Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yapinga matokeo uchaguzi, yataka meza ya majadiliano

CHAMA cha NCCR-Mageuzi nchini Tanzania, kimetangaza kutoyatambua matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumatano ya tarehe 28 Oktoba 2020 kwa madai miongozo mwa kanuni...

Habari za SiasaTangulizi

Keissy: Viongozi serikalini, CCM wamenihujumu

ALLY Mohamed Keissy, aliyekuwa mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania amesema, kilichomfanya akashindwa kutetea nafasi hiyo ni hujuma...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wamwachia Tundu Lissu

TUNDU Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema, ameachiwa na Jeshi la Polisi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Lissu alikamatwa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu akamatwa

JESHI la Polisi Tanzania limemkamata Tundu Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa nchi hiyo kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumatano ya 28 Oktoba...

Habari za Siasa

Huyu ndiye Rais Hussein Mwinyi

DAKTARI Hussein Ali Mwinyi, ameanza rasmi safari ya siku 1826 ya kuwaongoza Wazanzibar. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Dk. Mwinyi...

Habari za Siasa

CCM yatoa saa 48 wanaotaka U Spika, Meya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kuanza kutoa fomu za kuwania Uspika na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti...

Habari za Siasa

Aida wa Chadema atoa msimamo kwenda bungeni

MBUNGE mteule wa Nkasi Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Aida KhenanIi amesema, kamwe hatowasaliti wananchi waliomchagua hivyo atakwenda...

Habari za Siasa

Profesa Lipumba: CUF hatutashiriki uchaguzi tena

CHAMA Cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kimetangaza kutoshiriki uchaguzi wowote ujao hadi mazingira ya uchaguzi huru na wa haki yatakapopatika ikiwemo Tume Huru...

Habari za Siasa

Dk 14 za Rais Mwinyi “nitashirikiana na kila mmoja”

RAIS mpya wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ametumia dakika 14 kutoa hotuba yake ya kwanza akiwa Rais wa visiwa hivyo huku akiahidi...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi aanza safari kuiongoza Z’bar

JAJI Mkuu wa Zanzibar, Othuman Ali Makungu amemuapisha Dk. Hussein Ali Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi kuingia Ikulu leo

DAKTARI Hussein Ali Mwinyi, leo Jumatatu tarehe 2 Novemba 2020 ataapishwa kuwa Rais wa nane wa Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea)...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Lema na Jacob wakamatwa

POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salamaa nchini Tanzania, inawashikilia viongozi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wake, Freeman...

Habari za Siasa

Magufuli azungumzia uchaguzi mkuu 2020

TUME ya Taifa ya uchaguzi (NEC), imemkabidhi cheti cha ushindi wa urais wa Tanzania, mgombea wa nafasi hiyo, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Tangulizi

NEC yamkabidhi cheti Magufuli, kuapishwa Dodoma

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemkabidhi cheti cha ushindi Rais mteule wa Tanzania, John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi kuapishwa J’3 ijayo, Dk. Magufuli Novemba 5

RAIS Mteule wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi anatarajiwa kuapishwa Jumatatu ijayo ya tarehe 2 Novemba 2020, katika Viwanja vya Amani visiwani humo. Anaripoti...

Habari za Siasa

Chadema, ACT-Wazalendo wapinga matokeo ya uchaguzi Tanzania

VYAMA viwili vikuu vya upinzani nchini Tanzania – Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kile cha ACT-Wazalendo – vimepinga matokeo ya uchaguzi...

Habari za Siasa

Tundu Lissu azungumzia ushindi wa Dk. Magufuli

ALIYEKUWA Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amezungumzia ushindi wa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema, ACT waungana, watoa tamko zito la Uchaguzi Mkuu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na ACT-Wazalendo vimeomba kuitishwa upya Uchaguzi Mkuu wa Urais, wabunge, wawakilishi na madiwani, kwa maelezo kwamba havikubaliani...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli atangazwa mshindi urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Rais mteule wa Tanzania baada ya kupata...

Habari za Siasa

Aliyeshinda ubunge Chadema asema…

AIDA Joseph Khenani, mbunge mteule wa Nkasi Kaskazini kupitia Chadema amesema, ushindi wake umejaa majonzi kutokana na kile kilichotokea kwa wagombea wenzake wa...

Habari za Siasa

Matokeo ya ubunge yamshtua Padri Kitima

MHADHIRI mstaafu wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT), Padri Charles Kitima amesema, Taifa la Tanzania litarudi nyuma kimaendeleo kwa sababu ya kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kijo-Bisimba ataja athari wabunge wengi CCM

USHINDI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)  katika ngazi ya ubunge katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumatano ya tarehe 28 Oktoba 2020, umetajwa kwenda kuathiri...

Habari za Siasa

Bwege aangushwa ubunge Kilwa Kusini

SELEIMAN Said Bungara maarufu Bwege, amengushwa ubunge wa Kilwa Kusini kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarege 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde,...

error: Content is protected !!