Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Bwege aangushwa ubunge Kilwa Kusini
Habari za Siasa

Bwege aangushwa ubunge Kilwa Kusini

Suleiman Bungara 'Bwege', aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF)
Spread the love

SELEIMAN Said Bungara maarufu Bwege, amengushwa ubunge wa Kilwa Kusini kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarege 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Wetu…(endelea)

Bwege ambaye  amekuwa maarufu ndani na nje ya Bunge kutokana na aina yake ya kuzungumza au kuchangia mijadala bungeni, ameangushwa na mgombea wa CCM, Kassinge Ally.

Hivi karibuni Bwege akitumia msemo wa ‘ulisikia wapi’ aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 2010 kupitia Chama Cha Wananchi (CUF).

Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 201 5, wananchi wa Kilwa Kusini waliendelea kumwamini Bwege aliyezaliwa Novemba 18 mwaka 1961 kwa kumrejesha bungeni kuendelea kuwawakilisha.

Bwege alikihama chama chake cha CUF na kujiunga na ACT-Wazalendo na kupitishwa kuwania ubunge jimboni himo lakini amejikuta akishindwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!