Categorizing posts based on type of post
MBUNGE wa Nzega Vijijini (CCM), Dk. Hamis Kigwangalla amewaomba radhi watumishi na wananchi aliowakosea enzi akiwa waziri wa Serikali ya Tanzania. Anaripoti Brightness...
By Masalu ErastoDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewaagiza wateule wake kutotumia mitandao ya kijamii katika utekelezaji wa majukumu yao, ili kudhibiti uvujaji wa siri...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewapunguzia adhabu wafungwa 256 waliohukumiwa kunyongwa na kuagiza wapewe kifungo cha maisha gerezani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amesema atafanya uteuzi mpya wa Naibu Waziri wa Madini baada ya aliyemteua, Francis Ndulane kushindwa kuapa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewaapisha mawaziri na manaibu waziri aliowateua tarehe 5 Desemba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Uapisho...
By Mwandishi WetuDecember 9, 2020ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Selemani Bungara maarufu ‘Bwege’ ametoa msimamo wake wa kisiasa mara baada ya kushindwa...
By Hamisi MgutaDecember 8, 2020JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) au mahakamani,...
By Masalu ErastoDecember 8, 2020MAALIM Seif Sharif Hamad, ameapishwa kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Kuapishwa kwake, kumetokana na matakwa ya Katiba ya Zanzibar ya...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2020RAIS wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUKI), Visiwani Zanzibar, Dk. Hussein Alli Mwinyi, amewaomba wananchi visiwani humo, kuweka kando tofauti zao za...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2020HATIMAYE Maalim Seif Hamad, mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, amekubali yaishe. Ameapishwa kuwa Makamo wa Rais wa Kwanza, katika serikali ya Umoja...
By Regina MkondeDecember 8, 2020RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne tarehe 8 Desemba 2020, atamwapisha Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewaagiza Makatibu Tawala wa Mikoa (RAS) yote nchini humo wahakikishe watendaji wote wa Mikoa, Wilaya, Halmashauri wasiende...
By Mwandishi WetuDecember 8, 2020RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, amefanya uteuzi wa wanachama wawili wa ACT-Wazalendo kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2020RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi amemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekagua umaliziaji wa ujenzi wa Hospitali ya Uhuru unaoendelea katika wilaya ya Chamwino jijini Dodoma na kuagiza...
By Mwandishi WetuDecember 7, 2020UAMUZI wa Kamati Kuu (CC) ya chama cha ACT- Wazalendo, kujiunga kwenye serikali ya Umoja wa Kitaifa Visiwani (SUKI), umeanza kupingwa kila kona....
By Mwandishi WetuDecember 6, 2020ALIYEKUWA Kamishana wa Sekretarieti ya Maandili ya Viongozi wa Umma nchini Tanzania, Jaji mstaafu Harold Nsekela amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa za...
By Mwandishi WetuDecember 6, 2020BARAZA la Uongozi la Chama cha ACT-Wazalendo, tayari limependekeza jina la Makamu wa Kwanza wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), lakini...
By Hamisi MgutaDecember 6, 2020CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeeleza, uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020, umerejesha visiwa hiyo ‘gizani’. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Akieleaza maazimio ya...
By Mwandishi WetuDecember 6, 2020CHAMA cha ACT – Wazalendo, kimekubali kuungana na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), visiwani Zanzibar. Anaripoti...
By Hamisi MgutaDecember 6, 2020RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa mawaziri 21, Naibu Mawaziri 23 na wabunge wawili aliowateua kisha kuwapangia wizara za kuhudumu....
By Mwandishi WetuDecember 5, 2020HATIMA ya Chama cha ACT-Wazalendo kushiriki katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020,...
By Mwandishi WetuDecember 5, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewashauri wananchi wasiokuwa na ajira kujikita katika masuala ya kilimo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuDecember 5, 2020PROFESA Abdallah Safari, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, Halima Mdee, aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la...
By Kelvin MwaipunguDecember 4, 2020MZEE Ameir Ameir bin Soud, Mzanzibari kindakindaki, mjuzi mkubwa wa historia ya Zanzibar inayohusisha nyanja ya siasa, utamaduni, kilimo na ustawi wa jamii...
By Jabir IdrissaDecember 4, 2020UTAFITI wa rushwa ya ngono katika taasisi za elimu ya juu uliohusisha vyuo vikuu viwili vya Dar es Salaam na Dodoma, umewasilishwa leo...
By Danson KaijageDecember 4, 2020KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD nchini Tanzania inayozalisha magazeti ya Dimba, Rai, Mtanzania na Bingwa imetangaza kusitisha uzalishaji wa magazeti yote kuanzia...
By Mwandishi WetuDecember 4, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania kimesema, Halima Mdee na wenzake 18 bado hawajawasilisha rufaa zao za kupinga kufukuzwa uanachama wa...
By Masalu ErastoDecember 4, 2020HALIMA James Mdee, aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),” amepata pigo jingine. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....
By Mwandishi WetuDecember 3, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameahirisha maadhimisho ya 59 ya sherehe za Uhuru wa Tanzania Bara zilizokuwa zifanyika tarehe 9 Desemba 2020. Anaripoti...
By Masalu ErastoDecember 3, 2020MKUU wa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ameagiza kuvunjwa kwa mabaraza ya ardhi kata za Kia na Mnadani wilayani...
By Kelvin MwaipunguDecember 3, 2020TUNDU Lissu, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameiandikia barua Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuDecember 3, 2020HATIMAYE safari ya kisiasa ya aliyekuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la taifa (BAWACHA), katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima James...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2020BISWALO Mganga, Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) amehoji, ‘Mbowe (Freeman Mbowe) anataka nimfunge?’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Moshi … (endelea). Ametoa kauli hiyo...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2020VIFO vitokanavyo na Virusi Vya Ukimwi (VVU), vimepungua kutokana na uimarishaji wa huduma za tiba ikiwemo matumizi ya dawa za kufubaza virusi vya...
By Mwandishi WetuDecember 1, 2020HALIMA Mdee, aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), amesema atatema ubunge wa viti maalum iwapo ‘watakubaliana.’ Anaripoti...
By Yusuph KatimbaDecember 1, 2020HALIMA James Mdee na wenzake 18 wamepata kigugumizi kuweka wazi, mchakato uliofanyika kupatikana kwao hadi kwenda bungeni jijini Dodoma kuapishwa kuwa wabunge wa...
By Hamisi MgutaDecember 1, 2020ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima James Mdee amesema, yeye pamoja na wenzake 18 hawatoondoka ndani ya chama hicho...
By Hamisi MgutaDecember 1, 2020WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemaliza mgogoro wa ardhi katika shamba la Chanzuru lenye ukubwa wa ekari 1,598 lililopo wilayani Kilosa, Mkoa...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema, Halima Mdee na wenzake 18 waliofukuzwa uanachama Chadema “wataendelea kuwa wabunge halali labda wao wenyewe...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewaapisha Humphrey Polepole na Riziki Lulinda kuwa wabunge wa Bunge hilo. Anaripoti...
By Masalu ErastoNovember 30, 2020MLANGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), umefunguliwa kwa Ester Matiko, Ester Bulaya, Halima Mdee na wengine waliofukuzwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadeama), ameeleza kuumizwa na uamuzi wa Halima Mdee, aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la...
By Mwandishi WetuNovember 30, 2020RAIS Tanzania, John Pombe Magufuli leo tarehe 29 Novemba, 2020 amefanya uteuzi wa wabunge wawili wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....
By Mwandishi WetuNovember 29, 2020BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) limesema, kuondoka kwa mwenyekiti wake, Halima Mdee na wenzake 18, hawatarudisha nyuma jitihada...
By Regina MkondeNovember 28, 2020SIKU moja baada ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kuwafukuza uanachama, Halima Mdee na wenzake 18 kwa...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimetangaza kuwafukuzwa uanachama wanachama Halima Mdee na wenzake 18 kwa tuhuma za usaliti. Anaripoti Hamis...
By Hamisi MgutaNovember 27, 2020TUME ya taifa ya uchaguzi (NEC) imesema, majina ya wabunge wa viti maalum, kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliwasilishwa NEC na...
By Mwandishi WetuNovember 27, 2020KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeanza kikao chake cha dharura, jijini Dar es Salaam, kujadili tuhuma za usaliti zinazowakabili...
By Mwandishi WetuNovember 27, 2020CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Ijumaa tarehe 27 Novemba 2020, kinafanya kikao maalum cha kamati kuu kuwajadili wanachama wake 19 wanaodaiwa...
By Regina MkondeNovember 27, 2020