Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Gambo amshinda Lema Arusha Mjini
Habari za Siasa

Gambo amshinda Lema Arusha Mjini

Mrisho Gambo
Spread the love

GODBLESS Lema wa Chadema, ametangazwa kushindwa ubunge wa Arusha Mjini kwa kupata kura 46,489. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Lema ameshindwa na Mrisho Gambo wa CCM aliyeibuka mshindi kwa kupata kura 82,480.

Lema alikuwa akiongoza jimbo hilo tangu mwaka 2010.

Godbless Lema, Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema)

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

error: Content is protected !!