Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kubenea afungiwa siku 7
Habari za Siasa

Kubenea afungiwa siku 7

Spread the love

KAMATI ya Maadili Jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam imemfungia mgombea Ubunge wa jimbo hilo kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea, kufanya kampeni kwa muda wa siku saba, kuanzia leo hadi 27 Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Adhabu hiyo dhidi ya Kubenea, imetolewa jana Jumanne tarehe 20 Oktoba 2020, akituhumiwa kwa makosa ya ukiukwaji wa maadili dhidi ya mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abbas Gulam Tarimba.

Kubenea amekutana na adhabu hiyo zikiwa zimebaki takribani siku saba kabla ya siku ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

error: Content is protected !!