Tuesday , 16 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Dk. Mwinyi ashinda urais Zanzibar
Habari za Siasa

Dk. Mwinyi ashinda urais Zanzibar

Dk. Hussein Mwinyi, mshindi wa Urais Zanzibar akionesha hati ya ushindi
Spread the love

TUME  ya Uchaguz Zanzibar (ZEC) imemtangaza Dk. Hussein Ali Mwinyi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Rais mteule wa visiwa hivyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea).

Dk. Mwinyi ametangazwa leo Alhamisi tarehe 29 Oktoba 2020 na Mwenyekiti wa ZEC, Jaji Hamid Mahmoud Hamid.

Amesema, Dk. Mwinyi amepata kura 380,402 sawa na asilimia 76.27 ya kura zote 382,402.

Jaji Hamid amesema, Maalim Seif Sharif Hamad wa ACT-Wazalendo amepata kura  99,103 sawa na asilimia 19.87.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Samia arejesha mikopo ya 10%, bilioni 227.96 zatengwa

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amerejesha utaratibu wa utoaji mikopo...

Habari za Siasa

Rais Samia amfariji mjane wa Musa Abdulrahman

Spread the loveRais Samia Suluhu Hassan leo Jumanne amempa pole Mwanakheri Mussa...

Habari za Siasa

Nape: Wanasiasa, wanahabari, wafanyabiashara mteteeni Samia

Spread the loveWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano,...

Habari za Siasa

CAG: TAWA imegawa vibali vya uwindaji bila idhini ya waziri

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

error: Content is protected !!