Thursday , 2 May 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

CUF wafungua pazia mikutano ya hadhara, mamia washiriki

CHAMA Cha Wananchi (CUF), leo Jumamosi tarehe 7 Januari 2023, kimezindua rasmi mikutano ya hadhara ambapo ufunguzi huo umefanywa na Mwenyekiti wake Taifa,...

Habari za Siasa

CCM yakiri kuathiriwa na zuio la mikutano ya hadhara

  SIKU chache baada ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kutengua zuio la kufanya mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa nchini, Chama...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Tunakuja kwa kishindo

  WAKATI vyama vya siasa vya upinzani vikianza kutangaza ratiba ya kuanza mikutano ya hadhara, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema Kamati yake Kuu, itakutana...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbatia nao kufanya mikutano ya hadhara

  WAFUASI wa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, anayedaiwa kufukuzwa James Mbatia, wamepanga kufanya mikutano ya hadhara Januari 2023. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuzindua mikutano ya hadhara kitaifa Januari 21

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kitazindua rasmi mikutano ya hadhara kitaifa tarehe 21 Januari 2023, ikifuatiwa na uzinduzi wa mikutano hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

CUF yatangaza kufanya mikutano ya hadhara, Prof. Lipumba kuunguruma Manzese kesho

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza kuanza mikutano ya hadhara huku kikiagiza matawi yake kuandaa mikutano hiyo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Panda, shuka ya Diwani Athuman kabla na baada ya kung’olewa Ikulu

  HUENDA tarehe 5 Januari 2023, ikawa ni siku chungu kwa Kamishna Diwani Athuman, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wake...

Habari za SiasaTangulizi

Diwani Athuman ang’olewa Ikulu kabla ya kuapishwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani, katika nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu, na kumteua Mululi Majula Mahendeka, kushika...

Habari za Siasa

Chadema yasema Taifa linapumua, yampa ahadi Rais Samia

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema Taifa linapumua baada ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuondoa zuio la mikutano ya hadhara, akisema hatua...

Habari za Siasa

Wasira asema mikutano ya hadhara haitoiathiri CCM

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Stephen Wasira amesema mikutano ya hadhara ikianza kufanyika itakiamsha Chama kilichoko madarakani cha CCM, ili kitimize mambo iliyoahidi kwa...

Habari za Siasa

Zitto: Hautokatika kidole ukimpongeza Rais Samia

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mtu hatokatika kidole wala kukatwa shingo, endapo atampongeza Rais Dk. Samia Samia Suluhu Hassan kwa...

Habari za Siasa

Mambo 6 kutikisa vikao Kamati za Bunge

MAMBO sita yanatarajiwa kutikisa katika vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vitakavyoanza Januari 19 hadi 29...

Habari za Siasa

Simbachawene akumbushia machungu ya siasa za kipindi cha nyuma

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), George Simbachawene, amevitaka vyama vya siasa kufanya siasa za kistaarabu ili kuepusha...

Habari za SiasaTangulizi

Samia amtumbua Balozi wa Tanzania UN, apangua safu TISS, Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Hussein Katanga kuwa Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa Mjini New York akichukua...

Habari za Siasa

Zitto: Tumefarijika, tumeuanza mwaka mpya vizuri

  KIONGOZI wa ACT Wazalendo, Zitto kabwe amesema wamefarijika sana baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza kufuta zuio la mikutano ya hadhara...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Haikuwa kazi nyepesi, tumeirudisha CCM kwenye reli

  MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema haikuwa kazi nyepesi kufikia makubaliano ambayo yametangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba sasa mkwamo wa...

Habari za Siasa

Rungwe: Tumekula ubwabwa na kuanza mwaka kwa faraja tupu!

  MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa, Hashim Rungwe amesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza kuondoa zuio la...

Habari za Siasa

Samia ang’aka wanaomsema anakopa sana, Rungwe ampa tano

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema licha ya kusemwa kwa mengi hususani kuhusu suala la kukopa sana, hatishiki kwa sababu amedhamiria kuhakikisha...

Habari za Siasa

Rungwe azungumzia ruksa mikutano ya hadhara “tumeondoka zama za kutishana”

  MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Rungwe, amesema zama alizoziita za kutishana zimeondoka na kwamba vyama vya siasa vitakuwa...

Habari za Siasa

Rais Samia kuunda kamati ya ushauri marekebisho ya Katiba

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake imedhamiria kuukwamua mchakato wa marekebisho ya katiba na kwamba muda si mrefu kamati ya ushauri...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aondoa zuio la mikutano hadhara ya vyama vya siasa

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ameondoa zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, lililowekwa na mtangulizi wake, Hayati John Magufuli, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja sababu za Chadema kurudi kundini

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekubali kushiriki mkutano wa pamoja wa vyama vya siasa Tanzania,...

Habari za Siasa

Msajili wa vyama amkumbusha Rais Samia kuhusu mapendekezo kikosi kazi

  MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, kuyafanyia kazi mapendekezo yaliyotolewa na Kikosi kazi alichokiunda...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateta na Mbowe, Kinana Ikulu Dar

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepokea taarifa ya Maendeleo ya mazungumzo ya mchakato wa maridhiano ya kisiasa, Ikulu Jijini Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Mama Maria Nyerere atimiza miaka 93

WAKATI leo tarehe 31 Disemba, 2022 ikiwa ni tamati ya mwaka 2022, Mke wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria...

Habari za Siasa

BAVICHA yatoa msimamo kuhusu maridhiano, yataka viongozi waoga wakae kando

BARAZA la Vijana la Chama cha Chadema (BAVICHA), limewataka viongozi wake wa mikoa ambao ni waoga, wakae pembeni ifikapo 2023 maana mwaka huo...

Habari za Siasa

Majaliwa aagiza viongozi, watumishi wa balozi kufanya tathimini fursa za kiuchumi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza viongozi na watumishi katika balozi waendelee kufanya tathmini ya fursa za kiuchumi ambazo Tanzania inaweza kupata kutokana na...

Habari za Siasa

Serikali kufufua mradi wa kilimo cha umwagiliaji Bonde Bugwema

  SERIKALI imeridhia kufufua mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji ndani ya Bonde la Bugwema, liliko mkoani Mara, ikiwa ni utekelezaji wa ombi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Kikosi kazi ilikuwa mbinu kuchelewesha Katiba Mpya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imesema Kikosi Kazi cha kuratibu maoni ya kuimarisha demokrasia ya vyama vingi cha Rais Samia Suluhu, ilikuwa...

Habari za SiasaTangulizi

CUF yaitaka Serikali ije na mikakati kuondoa ukata kwa wananchi 2023

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka Serikali ifikapo 2023 kuja na mkakati wa kitaifa wa kukuza uchumi, kuongeza ajira na kutoa huduma bora...

Habari za Siasa

CUF yaunga mkono marekebisho sheria za habari

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kinaunga mkono marekebisho ya sheria za habari yenye lengo la kuongeza uhuru wa tasnia hiyo, huku ikiiomba...

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa alazwa Afrika Kusini, Majaliwa amjulia hali

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika Kusini. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: 2022 mchungu kwa wanyonge, raha kwa vibonge

  IKIWA zimesalia siku tatu kufika tamati ya mwaka 2022, Chama cha ACT-Wazalendo kimeutaja mwaka huo kuwa wa misukosuko, “mchungu kwa wanyonge na...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaitangazia kiama CCM 2025

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza nia ya kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM), ifikapo 2025 kupitia Uchaguzi Mkuu. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza mikataba ujenzi wa miundombinu isainiwe hadharani

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza mikataba ya ujenzi wa miundombinu ya barabara iasainiwe hadahrani...

Habari za Siasa

Tulia: Tauche kuendekeza majungu tuchape kazi

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson amewataka Wananchi kuacha...

Habari za Siasa

Wabunge Tabasamu, Manyanya wasema mradi wa JNHPP ni fursa

  WABUNGE wa Bunge la Tanzania wamesema Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP) ukikamilika utakuwa fursa ya kiuchumi na kijamii kwa Watanzania....

Habari za Siasa

Mil.75 za mfuko wa Jimbo kujenga maabara za Sekondari Musoma Vijijini

FEDHA za mfuko wa Jimbo la Musoma Vijijini, mkoani Tarime, kiasi Cha Sh.75 milioni, zinatarajiwa kujenga maabara ya masomo ya sayansi katika shule...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: JNHPP ulipitia vikwazo vingi lakini hatukurudi nyuma

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mradi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JNHPP)ni ushahidi tosha kuwa Tanzania inaweza kufanya mambo...

Habari za Siasa

Dk Tulia: Rais Samia amefanya na zaidi

SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema kasi ya utekelezaji wa miradi inayofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa...

Habari za Siasa

Kinana:JNHPP ni utekelezaji wa Ilani ya CCM

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana amesema ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JNHPP),...

Habari za Siasa

RC Pwani, Morogoro wajipanga kunufaika na Mradi wa JNHPP

WAKUU wa mikoa ya Pwani na Morogoro wamesema wamejipanga kuhakikisha umeme utakaozalishwa kupitia Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), unachochea shughuli za...

Habari za Siasa

Mbunge Ditopile akabidhi pikipiki kata zote Kondoa mjini

MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile (CCM) amekabidhi pikipiki nane kwenye Kata zote nane za Halmashauri ya Mji Kondoa Mkoani...

Habari za Siasa

Mhagama atangaza kiama kwa viongozi wababaishaji

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amesema Serikali haitosita kumchukulia hatua za...

Habari za Siasa

Serikali yaombwa kuongeza bajeti Mifugo, Uvuvi

  SERIKALI ya Tanzania imeombwa kuongeza bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, pamoja na Tume ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi, ili...

Habari za Siasa

Wenyeviti CHADEMA waungana na Mbowe kuanza mikutano Januari

WAKATI kukiwa na hofu kuwa kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kwamba ataendelea na mazungumzo ya maridhiano...

Habari za Siasa

Bunge la Chadema lapata viongozi wapya

SUSAN Lyimo amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Wananchi wa Chama cha Chadema, huku Lumola Kahumbi, akichaguliwa kuwa Naibu Spika wake. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Mbowe asema 2023 mwaka wa kazi, atangaza operesheni maalum

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema 2023 utakuwa mwaka wa kazi ndani ya chama chake, huku akitangaza kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo: Tutazuia hujuma yoyote itakayolenga kuvuruga uchaguzi jimbo la Amani

CHAMA cha ACT Wazalendo kimehitimisha kampeni ya mgombea wake jimbo la Amani leo kwa kuonya kuwa kitazuia hujuma yoyote ya kuvuruga uchaguzi mdogo...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua, ateua makatibu wakuu

RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 14 Disemba, 2022 ameteua makatibu wakuu wa wizara ya uwekezaji, biashara na viwanda pamoja na wizara ya...

error: Content is protected !!