DK. Vincent Mashinji, Katibu Mkuu wa Chadema, amesema chama hakina mgogoro na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bavicha, Patrobas Katambi ambaye ametangaza kujiunga na CCM...
By Bupe MwakitelekoNovember 21, 2017CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinaweza kukimbiwa na viongozi wake wengine watatu, wakiwamo wabunge wawili wa majimbo, anaandika Mwandishi Wetu. Taarifa kutoka...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2017ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini amesema kuwa ana mashaka ni kwa nini Jeshi la Polisi linaendelea kushikilia simu yake mpaka sasa na...
By Hamisi MgutaNovember 20, 2017BILIONEA wa nyumba za Lugumi aliyeteka vichwa vya habari siku za hivi karibuni, Dk. Louis Shika, amekamilisha malipo ya bima kwa ajili ya...
By Masalu ErastoNovember 18, 2017MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeshindwa kutoa hukumu ya rufaa ya Serikali dhidi ya Sheikh Issa Ponda kwa mara nyingine, anaandika...
By Faki SosiNovember 17, 2017MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhuku kwenda jela mwaka mmoja na nusu au kulipa faini ya Sh. 5 milioni, mtoto wa Marehemu Chacha...
By Faki SosiNovember 15, 2017NIMEINGIA Wizara ya Maliasili na Utalii kwa uteuzi wa Rais Jakaya Kikwete, Mnamo Februari 10, 2014, na nimefanya kazi ya Uwaziri kwa takribani...
By Mwandishi MaalumNovember 14, 2017TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imesema kuwa suala la aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu imelisikia na imeanza kulifanyia...
By Bupe MwakitelekoNovember 14, 2017MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, ameitaka serikali kuwakamata na kuwafikisha mahakamani, watumishi wa umma na wanasiasa waliochangia kufilisika kwa shirika la simu la...
By Danson KaijageNovember 14, 2017TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaomba wagombea watumie kanuni walizofundishwa katika kampeni za udiwani zinazoendelea katika kata mbalimbali nchini, anaandika Angel Willium....
By Bupe MwakitelekoNovember 13, 2017SIKU chache baada ya aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kujivua uanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na nafasi yake ya...
By Danson KaijageNovember 13, 2017SIKU ya leo Jumatatu yaweza kuwa chungu mfano wa shubiri kwa wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Wananchi – Civic United...
By Jabir IdrissaNovember 13, 2017MAHAKAMA Kuu ya Dar es Salaam imetengua kufukwa uanchama wabunge nane na madiwani wawili, huku wameitaka Bodi ya Udhamini iliyokuwa chini ya aliyekuwa...
By Faki SosiNovember 10, 2017JAMII ya Wafugaji wa Loliondo, Ngorongoro, mkoani Arusha, wamesema kuanzia sasa watakuwa wa kwanza kutoa taarifa kwa yeyote atakayebainika kuingiza mifugo kwenye eneo...
By Masalu ErastoNovember 10, 2017WABUNGE wawili kutoka vyama vya CUF na Chadema, wako mbioni kuvihama vyama vyao, imeelezwa, anaandika Mwandishi Wetu. Taarifa kutoka kwa watu waliokaribu na...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2017MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imehalisha kutoa hukumu ya kesi inayomkabili, mtoto wa Marehemu Chacha Wangwe, Bob (25), ya upotoshaji kwenye Facebook kuhusu...
By Faki SosiNovember 8, 2017KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Rais John Magufuli ameondoa amri ya kuwazuia wananchi kulima katika maeneo ya mito na kuwataka kuendelea kufanya hivyo...
By Masalu ErastoNovember 7, 2017JESHI la Polisi limeishikilia simu ya mkononi ya Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na muda huu wanatarajia kwenda makao makuu ya...
By Faki SosiNovember 7, 2017KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameendelea kusota na safari za kwenda kuripoti katika kituo cha polisi cha Chang’ombe jijini Dar es...
By Hamisi MgutaNovember 6, 2017HALI ya mambo ndani ya Wizara ya Maliasili na Utalii siyo shwari na sasa Waziri wa wizara hiyo, Dk. Hamisi Kigwangalla amelazimika kumsimamisha...
By Mwandishi WetuNovember 6, 2017KATIBU wa Itikadi na mawasiliano ya umma wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema wimbi la wanachama wa chama hicho kuhamia CCM linakikomaza, anaandika...
By Hamisi MgutaNovember 6, 2017BAADA ya Jeshi la Polisi kumuhoji Kiongozi wa Chama cha Act-Wazalendo Zitto Kabwe jeshi hilo linatarajia kuihoji Kamati nzima ya Uongozi wa Chama...
By Hamisi MgutaNovember 5, 2017GENGE linalojitambulisha kuwa linamwakilisha Profesa Ibrahim Lipumba katika kinachodhihirika kuwa na lengo la kukidhoofisha Chama cha Wananchi (CUF) likiwa limekwama kupata ruzuku, sasa...
By Faki SosiNovember 4, 2017PAMOJA na Rais John Magufuli kuwataka Meya wa Jiji la Mwanza, James Bwire, Mkuu wa Mkoa, John Mongela na Mkurugenzi wa jiji hilo,...
By Moses MsetiNovember 3, 2017KWA mara ya pili sasa, kesi inayohusu tuhuma za uchochezi ambayo inawakabili waandishi wa habari waandamizi nchini akiwemo Mhariri Mtendaji wa gazeti la MAWIO,...
By Faki SosiNovember 1, 2017ZITTO Zuberi Kabwe, Kiongozi wa Chama cha Act – Wazalendo anasema alijua atakamatwa kutokana na tamko la Rais Dk. John Magufuli kutangulia kuelekeza kuwa...
By Faki SosiNovember 1, 2017KIONGOZI wa Chama Cha ACT-Wazalendo ameachiwa kwa dhamana alipokuwa anahojiwa katika kituo cha Polisi cha Chang’ombe kwa madai ya kutoa maneno ya uchochezi,...
By Faki SosiOctober 31, 2017JESHI la Polisi linaendelea kumshikiria Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kwa mahojiano kwa kosa ya kutoa...
By Faki SosiOctober 31, 2017RAIS John Magufuli ametangaza vita na wakuu wa mikoa watakaoshindwa kuweka mikakati na mipango ya kujenga viwanda katika maeneo yao ili kuendana na...
By Moses MsetiOctober 31, 2017MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amejiuzulu nafasi hiyo na kujiondoa CCM kwa madai ya kutoridhishwa na mwenendo wa siasa nchini, anaandika Mwandishi...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2017MEYA wa Jiji la Mwanza, James Bwire amekamatwa na jeshi la Polisi muda mchache kabla ya kutoa salamu zake kwa Rais John Magufuli...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2017KIONGOZI wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, ameituhumu serikali kupika takwimu juu ya kupanda kwa pato la taifa, anaandika Faki Sosi. Akizungumza...
By Faki SosiOctober 28, 2017GOODLUCK ole Medeye, aliyepata kuwa naibu waziri katika serikali ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ameibuka na kusema mazingira ya sasa nchini hayafai kufanya...
By Masalu ErastoOctober 27, 2017MAHAKAMA ya Rufaa imeshindwa kutoa hukumu ya rufaa ya Serikali dhidi ya Sheikh Issa Ponda baada ya jaji kutokamilisha kuiandika, anaandika Faki Sosi....
By Faki SosiOctober 26, 2017IKULU ya Tanzania, kupitia ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, imewaandikia wafanyakazi wa iliyokuwa kampuni ya uchapishaji ya Printpak (T) Limited kuwaeleza kwamba suala...
By Mwandishi MaalumOctober 23, 2017BENSON Kigaila, Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema ametupwa rumande baada ya kukosa dhamana alipojisalimisha kuhojiwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum...
By Faki SosiOctober 23, 2017MBUNGE mstaafu wa Chama cha Mapinduzi, Omar Mjaka Ali, amesema serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli inahitaji kuokolewa kwa sasa imepotea na kupoteza...
By Danson KaijageOctober 23, 2017ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, ameeleza masikitiko juu uongo uliotumiwa na walikuwa wafuasi wa chama hicho, Samson Mwigamba na wenzake kuwa chama...
By Faki SosiOctober 21, 2017HATIMAYE mazungumzo kati ya Tanzania na Kampuni ya Barrick Gold kuhusu sekta ya madini yaliyodumu kwa takribani miezi mitano yamehimitishwa jijini Dar es...
By Faki SosiOctober 19, 2017MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, anatarajiwa kuhutubia kupitia mkanda wa video utakaorushwa na vituo mbalimbali vya kimataifa vya televisheni, ndani ya...
By Mwandishi WetuOctober 19, 2017CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kusambaza picha ya Tundu Lissu kama alivyoahidi Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe mbele ya waandishi...
By Faki SosiOctober 18, 2017MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Arusha, Amani Golugwa, amehojiwa na Taasisi ya Kuzuiya na Kupambana na Rushwa (Takukuru)...
By Faki SosiOctober 18, 2017CHAMA cha Act-Wazalendo kimefunguka na kusema kwamba Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), haioni aibu kukandamiza demokrasia pamoja na uhuru wa vyombo vya...
By Faki SosiOctober 18, 2017AFYA ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu anayetibiwa majeraha ya risasi kwenye hospitali kuu ya Nairobi, inaendelea kuimarika na kwamba muda...
By Faki SosiOctober 17, 2017KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemugeuzia kibao Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari (Chadema) ambaye...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2017MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, ametinga kwa mara ya pili kwenye ofisi za taasisi ya Kuzuia na Kupambana...
By Faki SosiOctober 16, 2017RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania amemteua aliyekuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara katika Serikali ya Awamu ya Nne ya Jakaya...
By Faki SosiOctober 16, 2017MWANAWAZUONI, mwanaharakati na kiongozi mashuhuri wa madhehebu ya dini ya Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, bado anaendelea kushikiriwa na jeshi la polisi...
By Faki SosiOctober 13, 2017SHEIKH Issa Ponda, Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania amethibitisha kuwa anaheshimu mamlaka na sheria kutokana kutii wito wa Jeshi...
By Faki SosiOctober 13, 2017JESHI la Polisi kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtaka Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda kujisalimisha mikononi...
By Hamisi MgutaOctober 12, 2017