Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi ‘wapora’ simu ya Zitto Kabwe
Habari za SiasaTangulizi

Polisi ‘wapora’ simu ya Zitto Kabwe

Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo
Spread the love

JESHI la Polisi limeishikilia simu ya mkononi ya Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na muda huu wanatarajia kwenda makao makuu ya chama hicho kwa ajili ya upekuzi, anaandika Faki Sosi.

Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma mjini amefika kituo cha polisi kinachohusika na akosa ya fedha kilichopo jijini Dar es Salaam mahojiano kama alivyotakiwa alivyokamatwa Oktoba 31 mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa Chama hicho, Ado Shaibu imeeleza kuwa kiongozi huyo leo baada ya kumaliza mahojiano alichukuliwa simu yake.

Hata hivyo, jeshi hilo limetoa taarifa kuwa litakwenda ofisi za chama hicho kwa ajili ya kwenda kufanya upekuzi kutafuta nyaraka mbalimbali wanazohitaji.

Zitto ameechiwa kituoni hapo majira ya saa tano asubuhi na kutakiwa arudi tena kurudi Novemva 21 mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!