Wednesday , 29 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi ‘wapora’ simu ya Zitto Kabwe
Habari za SiasaTangulizi

Polisi ‘wapora’ simu ya Zitto Kabwe

Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo
Spread the love

JESHI la Polisi limeishikilia simu ya mkononi ya Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na muda huu wanatarajia kwenda makao makuu ya chama hicho kwa ajili ya upekuzi, anaandika Faki Sosi.

Zitto ambaye ni mbunge wa Kigoma mjini amefika kituo cha polisi kinachohusika na akosa ya fedha kilichopo jijini Dar es Salaam mahojiano kama alivyotakiwa alivyokamatwa Oktoba 31 mwaka huu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa Chama hicho, Ado Shaibu imeeleza kuwa kiongozi huyo leo baada ya kumaliza mahojiano alichukuliwa simu yake.

Hata hivyo, jeshi hilo limetoa taarifa kuwa litakwenda ofisi za chama hicho kwa ajili ya kwenda kufanya upekuzi kutafuta nyaraka mbalimbali wanazohitaji.

Zitto ameechiwa kituoni hapo majira ya saa tano asubuhi na kutakiwa arudi tena kurudi Novemva 21 mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

error: Content is protected !!