Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli asema kulima mtoni ruksa
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli asema kulima mtoni ruksa

Rais John Magufuli akiwa katika ziara yake mkoani Kagera
Spread the love

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Rais John Magufuli ameondoa amri ya kuwazuia wananchi kulima katika maeneo ya mito na kuwataka kuendelea kufanya hivyo hata kama maji yatasomba maza yao, anaandika Richard Makore.

Ametoa agizo hilo leo eneo la Kyaka mkoani Kagera katika ziara yake na kusema kwamba wananchi waachwe walime mahali popote hata kama ni kwenye mito.

Agizo hilo limekuja baada ya Rais Magufuli kusimamishwa na wananchi njiani huku mmoja wao akiibuka na kulalamika vijana kuzuiwa kulima na kufanya biashara katika maeneo yaliyo karibu na mito.

Mara kadhaa serikali kupitia kwa wakuu wa Wilaya na viongozi wengine wamekuwa wakiwazuia wananchi kulima ama kufanya shughuli jirani na vyanzo vya maji ikiwamo mito kwa kuwa wanahataraisha kukausha maji.

TAARIFA KAMILI ANAGALIA VIDEO HII

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!