Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli asema kulima mtoni ruksa
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli asema kulima mtoni ruksa

Rais John Magufuli akiwa katika ziara yake mkoani Kagera
Spread the love

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Rais John Magufuli ameondoa amri ya kuwazuia wananchi kulima katika maeneo ya mito na kuwataka kuendelea kufanya hivyo hata kama maji yatasomba maza yao, anaandika Richard Makore.

Ametoa agizo hilo leo eneo la Kyaka mkoani Kagera katika ziara yake na kusema kwamba wananchi waachwe walime mahali popote hata kama ni kwenye mito.

Agizo hilo limekuja baada ya Rais Magufuli kusimamishwa na wananchi njiani huku mmoja wao akiibuka na kulalamika vijana kuzuiwa kulima na kufanya biashara katika maeneo yaliyo karibu na mito.

Mara kadhaa serikali kupitia kwa wakuu wa Wilaya na viongozi wengine wamekuwa wakiwazuia wananchi kulima ama kufanya shughuli jirani na vyanzo vya maji ikiwamo mito kwa kuwa wanahataraisha kukausha maji.

TAARIFA KAMILI ANAGALIA VIDEO HII

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!