CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini ( IGP), Simon Sirro kuacha kutoa vitisho kwa wananchi na...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2017ALIYEKUWA Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki leo ameaga ofisi yake ya zamani huku akikumbuka alivyohangaika na watumishi...
By Bupe MwakitelekoOctober 11, 2017WAZIRI wa Nchi ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo amewataka watumishi wa Wizara hiyo kujipima na...
By Danson KaijageOctober 11, 2017EDWARD Simbeye, Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), amepata ajali ya gari, anaandika Hamisi Mguta. Ajali...
By Hamisi MgutaOctober 11, 2017Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, aweza kuwa hajasema ukweli kuhusu madai kuwa hamfahamu na wala hajawahi kumuona zaidi...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2017KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda ameueleza mtandao huu kwamba, amefanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Wanasheria...
By Faki SosiOctober 10, 2017HATIMAYE Prof. Kitila Mkumbo, aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama Cha ACT Wazalendo, ameonyesha rangi yake halisi baada ya kutangaza rasmi kujiondoa katika...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2017BAADA ya tukio la kijinga, la kitoto, lisilo na mantiki wala lisilojenga heshima yoyote kwa washambuliaji; la kushambuliwa kwa risasi Rais wa Chama...
By Mwandishi MaalumOctober 9, 2017RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, John Magufuli ametangaza baraza jipya la mawaziri lililoongezeka kutoka mawaziri 19 hadi 21 na manaibu 16...
By Faki SosiOctober 7, 2017UCHUNGUZI utakaofanywa na wachunguzi wa nje ya Tanzania kuhusu matukio ya kihalifu yanayoendelea nchini, utatoa nafasi nzuri kwa serikali ya Dk. John Magufuli...
By Jabir IdrissaOctober 6, 2017MBUNGE wa Arusha mjini, Godbless Lema (Chadema), amefunguka na kueleza anavyowindwa na watu wasiojulikana kama ilivyotokea kwa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu...
By Faki SosiOctober 6, 2017MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Mfanyabiashara Yusuf Manji aliyekuwa anatuhumiwa kwa kosa la utumiaji wa dawa za kulevya, anaandika Faki Sosi....
By Faki SosiOctober 6, 2017CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza kushiriki uchaguzi mdogo wa Madiwani katika kata 43 hapa nchini unaotarajiwa kufanyika Novemba 27 mwaka huu, anaandika Faki...
By Faki SosiOctober 6, 2017AGIZO la Rais John Magufuli alilotoa mwaka jana la kujenga nyumba eneo la Magomeni Kota limegeuka kuwa ahadi hewa baada ya kazi hiyo...
By Mwandishi WetuOctober 6, 2017MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali pingamizi lilowekwa na mawakili wa Professa Ibrahim Lipumba la kuhusu kuzuwazuia wajumbe wake wa...
By Faki SosiOctober 6, 2017FAMILIA ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu imeibuka na kuing’ang’ania serikali ikitaka uchunguzi wa kina ufanyike ukihusisha wachunguzi wa nje ili...
By Faki SosiOctober 5, 2017MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, amemtaka Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, “kujipima” kutokana na kile alichoita, “kushidwa kutimiza...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2017CHAMA cha ACT Wazalendo kimeshitaki Rais John Magufuli kwa wafanyakazi kutokana na kauli zake alizozitoa jana alipokuwa akihutubia katika Mkutano wa 33 wa...
By Faki SosiOctober 4, 2017USIRI uliotanda kuhusu matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antipas Lissu, anayetibiwa nchini Kenya, unaitesa serikali na uongozi wa Bunge la Tanzania,...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2017AHADI ya Rais John Magufuli ya kununua na kuleta ndege moja aina ya Bombardier ifikapo Julai mwaka huu, imeyeyuka. Ndege haijafika Tanzania. Na...
By Faki SosiOctober 4, 2017KADA wa Chadema wiyani Chato, Obadiah Kiko (41), amepanidhishwa kizimbani jijini Dar es Salaam akituhumiwa kuchapisha “taarifa za uongo juu ya serikali,” anaandika...
By Faki SosiOctober 3, 2017WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamesema kuwa Rais John Magufuli amedanganywa na wasaidizi wake kuhusu suala la kujiuzulu kwa madiwani...
By Faki SosiOctober 2, 2017MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, ameanika ushahidi mwanana kuhusiana na mradi wa ununuzi wa madiwani, anaandika Saed Kubenea....
By Saed KubeneaOctober 1, 2017CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemjibu utetezi wa Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole wa kutumia Ikulu kufanya mikutano...
By Hamisi MgutaOctober 1, 2017CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimezidi kuogopa kivuli cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kutimua wagombea wa uenyekiti wa wilaya ambazo...
By Hamisi MgutaSeptember 30, 2017RAIS wa Zanzibar, Ali Mohamed Shein amewateua Khamis Ramadhan Abdalla na Aziza Iddi Suweid kuwa majaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar, anaandika Hamis...
By Hamisi MgutaSeptember 30, 2017KATIBU wa Kanda ya Kati wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Alphonce Mbassa ameuagiza uongozi wa jimbo la kilombero kuhakikisha wanajenga ofisi...
By Danson KaijageSeptember 30, 2017MEYA wa Manspaa ya Ubungo, Bonface Jacob amesema anakabiliwa vitisho na vishawishi mbalimbali ili kuhakikisha anafuta kesi aliyoifungua dhidi ya Mkuu wa mkoa...
By Faki SosiSeptember 28, 2017UCHAGUZI unaoendelea ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) umezidi kugubikwa na vitendo vya rushwa, vitisho, matusi ya nguoni na kupigana ngumi hatua inayosababisha...
By Moses MsetiSeptember 28, 2017KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Bunge la Tanzania limeamuru kurudishwa nchini gari linalosaidia kumhudumia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) aliyelazwa nchini...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2017JUKWAA la Katiba Tanzania wamempa Rais Dk. John Magufuli kwa kumtaka ajiandae kupokea maandamano ya amani kwa ajili ya kumpongeza pamoja na kumtaka...
By Danson KaijageSeptember 28, 2017UCHAGUZI wa marudio wa kumtafuta mwenyekiti mpya wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM (UVCCM), katika wilaya ya Nyamagana jijini Dar...
By Hamisi MgutaSeptember 27, 2017KAMPUNI ya Hali Halisi Publishers Ltd (HHPL) inayomiliki na kuchapisha magazeti likiwemo la MwanaHALISI inaamini kuwa serikali imekiuka amri ya Mahakama Kuu ya...
By Pendo OmarySeptember 27, 2017KATIKA kuelekea uchaguzi wa ndani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), baadhi ya wanachama waliochukua fomu kugombea nafasi mbalimbali matumbo yamezidi kupata joto, anaandika...
By Danson KaijageSeptember 25, 2017RAIS wa chama cha wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu ameibuka na kusema, “vijembe vinavyorushwa na Ummy Mwalimu,” waziri wa afya na ustawi wa...
By Saed KubeneaSeptember 23, 2017ASKOFU mkuu wa Kanisa la Endtime Harvest (EHC) lenye Makao Makuu Mkoani Dodoma, Dk. Elia Mauza amesema Tanzania haina amani ya kweli badala...
By Danson KaijageSeptember 23, 2017MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ametua nchini akitokea nchini Kenya anapomuuguza Mbunge wa Singida Mashariki ( Chadema), Tundu...
By Masalu ErastoSeptember 22, 2017SAED Kubenea Mbunge wa Ubungo, amerejeshwa Jijini Dar es Salaam kutoka Mjini Dodoma ilhali afya yake ikiwa sio shwari, anaandika Faki Sosi. Kubenea...
By Faki SosiSeptember 20, 2017KAMATI ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya Bunge, imeshindwa kumhoji mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, baada ya kuona hali yake ya...
By Danson KaijageSeptember 20, 2017SINEMA ya kukamatwa wabunge wa upinzani na kuwasafirisha kwa ndege wakiwa chini ya ulinzi mkali wa Polisi imejirudia leo baada ya Mbunge wa...
By Mwandishi WetuSeptember 20, 2017KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, polisi wenye silaha wamezingira hospitali ya Agha Khan aliyokuwa ameenda kupata huduma ya matibabu, Mbunge wa Ubungo Saed...
By Mwandishi WetuSeptember 19, 2017ABIRIA zaidi ya 50 waliokuwa wakitarajia kusafiria na ndege ya Bombidier jijini Mwanza, wameshindwa kusafiri kutokana na ubovu wa ndege hiyo kitendo kilichosababisha...
By Moses MsetiSeptember 19, 2017WANACHAMA watatu wa Chama cha ACT -Wazalendo akiwemo aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Morogoro kusini Mashariki mwaka 2015 na Mwenyekiti wa jimbo...
By Christina HauleSeptember 18, 2017KUPITIA bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa miaka miwili mfululizo (2016/2017 na 2017/2018) serikali ilitazamiwa kutenga fedha kwa ajili ya ukamilishaji...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2017JESHI la polisi limewakamata watu kadhaa ambao walikuwa wakipita katika ofisi za makao makuu ya chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) zilizopo eneo...
By Masalu ErastoSeptember 17, 2017MBUNGE wa jimbo la Tanga mjini na kiongozi mwandamizi katika Chama cha Wananchi (CUF), Mussa Bakari Mbaruku huenda akaingia matatizoni baada ya msimamo...
By Mwandishi WetuSeptember 17, 2017TAARIFA iliyotarajiwa kuwasilishwa bungeni leo na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi, Usalama na Mambo ya Nje, Adadi Rajabu kuhusu...
By Danson KaijageSeptember 15, 2017IKIWA ni wiki moja tangu kupigwa risasi za moto mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu Chadema), Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia...
By Faki SosiSeptember 15, 2017SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge kuwa makini pindi wawapo majimboni kwao au nje ya jimbo kutokana na hali ya usalama kutokuwa...
By Danson KaijageSeptember 15, 2017MBUNGE wa Siha Dk. Godwin Mollel (Chadema) ameihoji serikali na kutaka ieleze ni kwa nini hospitali zake nyingi zinakosa dawa muhimu za binadamu...
By Danson KaijageSeptember 14, 2017