Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Picha za kwanza ya Tundu Lissu hizi hapa
Habari za SiasaTangulizi

Picha za kwanza ya Tundu Lissu hizi hapa

Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kusambaza picha ya Tundu Lissu kama alivyoahidi Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe mbele ya waandishi wa habari jana Makao Makuu ya chama hicho, anaandika Faki Sosi.

Picha hiyo inayomwonesha Tundu Lissu akiwa amelazwa katika Hospitali Kuu ya Nairobi, Kenya akiwa na tabasamu, huku akipunga mkono, ni ya kwanza tangu kushambuliwa kwa risasi, ikiwa ni siku 41 tangu kutoa kwa tukio hilo.

Pamoja na picha hiyo kutokuwa na maneno lakini, muonekane wake unaonesha kuwa afya yake imeeimarika kama ilivyoelezewa na Mbowe jana.

Mbowe alieleza kuwa watasambaza picha za Lissu, video yake pamoja na sauti itakayoelezea tukio lililompata ikiwa sehemu ya kutoa taarifa kwa umma.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!