Sunday , 28 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mauaji Tanzania yatinga bungeni, Serikali yatoa maagizo

  SERIKALI ya Tanzania, imeziagiza kamati za kutokomeza ukatili wa kijinsia zishirikiane na vyombo vya dola, kutokomeza mauaji yanayosababishwa na migogoro ya kifamilia....

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Kubenea: Makonda kusakwa

  MWANAHABARI mkongwe nchini Tanzania, Saed Kubenea, anakusudia kuiomba Mahakama ya Kinondoni, itoe wito mpya kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

Habari Mchanganyiko

Kigoma yaripoti matukio saba ya mauaji

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma, linawashikilia watu sita wakituhumiwa kuhusika na matukio saba ya mauaji yaliyotokea katika nyakati tofauti mkoani humo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Amuua mama yake akimdai Sh. 300,000

HELMAN John, anadaiwa kumuuwa kwa kumpiga na mpini wa jembe mama yake, Celina William, akimdai fedha kiasi cha Sh. 300,000. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari MchanganyikoMichezo

Watu 17 wakamatwa uuzwaji jezi feki

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limewakamata watu 17 kwa tuhuma za kuuza jezi feki za Mabingwa wa kihistoria wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

#LIVE: Rais Samia ashiriki kilele siku ya sheria

  LEO Jumatano tarehe 2 Februari 2022 ni kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Mgeni rasmi kwenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi wavunja ukimya utata askari aliyejinyonga mahabusu

  JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi kuhusu utata wa tukio la kujinyonga hadi kufa kwa Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Grayson Mahembe...

Habari Mchanganyiko

Vijana wamshinikiza bilionea Dangote kuwania urais

  KUNDI la vijana nchini Nigeria, chini ya mwamvuli wa Bunge la Vijana wa Kaskazini, limetoa wito kwa mfanyabishara tajiri zaidi Afrika, Aliko...

Habari Mchanganyiko

Siku ya sheria yasogezwa mbele kwa saa 24

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imesogeza mbele kwa siku moja (sawa na saa 24) sherehe za Siku ya Sheria kutoka tarehe 1 Februari...

Habari Mchanganyiko

Mauaji Tanzania: Waziri Masauni awaita vigogo wa Polisi

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, Hamad Masauni ameitisha kikao cha watendaji wakuu wa jeshi la Polisi nchini humo ili kupokea...

Habari Mchanganyiko

Mgogoro ardhi Ngorongoro: Wasomi waiangukia Serikali, wataka meza ya majadiliano 

BAADHI ya wasomi kutoka Wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha, wameiangukia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, iitishe meza ya majadiliano kati ya wananchi...

Habari Mchanganyiko

TANESCO watangaza mgawo wa umeme

  SHIRIKA la Umeme nchini (TANESCO) limetangaza mgawo wa umeme kwa muda wa siku 10 kuanzia tarehe 1 hadi 10 Februari, mwaka huu...

Habari Mchanganyiko

Wajane wa Mrisho kuweka kambi kwenye kiwanja

  WAJANE wa Marehemu Mzee Amir Mrisho, Aseline na Amina Mrisho wamesema ili haki yao ya kumiliki kiwanja namba 108 Port Access isipotee...

Habari Mchanganyiko

Lowassa afanyiwa upasuaji, alazwa ICU Muhimbili

  HALI ya afya ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ni tete na amelazwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU)....

Habari Mchanganyiko

Waziri mkuu aagiza kidani cha mkewe kiuzwe yajengwe mabweni

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, ameagiza zawadi ya kidani cha Tanzanite aliyopewa mke wake Mama Mary Majaliwa na Mkoa wa Manyara kwa kushirikiana...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wawili wafariki dunia, 8 wajeruhiwa ajali Kimara-Suka

  WATU wawili wamefariki dunia na wengine nane kujeruhiwa vibaya baada ya lori aina ya Scania kugonga watu waliokuwa wanavuka barabara ya Morogoro...

Habari Mchanganyiko

Bashungwa ataka Halmashauri kuwa na Mipango miji maeneo yote

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa amesema uhitaji wa kuwa na mipango miji...

Habari Mchanganyiko

Familia ya Mrisho yaomba zuio umilikishwaji kiwanja

  WATOTO wa marehemu Mzee Amir Mrisho, wamepeleka maombi ya kuzuia mchakato wowote wa umilikishwaji wa Kiwanja namba 108 Port Access kilichopo wilayani...

Habari Mchanganyiko

Jafo aeleza mikakati ya kuboresha mazingira Dodoma

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Selemani Jafo amesema ushirikishwaji wa wadau katika ngazi zote na...

Habari Mchanganyiko

Kisa mauaji: Dk. Mpango ampa siku saba IGP, ‘tumechoka’

  MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango ametoa siku saba kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini – IGP Simon Sirro kuwakamata watuhumiwa...

Habari Mchanganyiko

Stendi ya daladala sabasaba kufumuliwa

  MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru amesema wanatarajia kuifumua stendi ya daladala na soko la sabasaba iliyopo katikati ya jiji hilo...

Habari Mchanganyiko

Mapya yaibuka mauaji Mfanyabiashara Mtwara

  SIRI dhidi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Khamisi, maarufu “Mussa Dola,” anayedaiwa kuporwa kiasi cha Sh.70 milioni na kisha kuuawa...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji wadogo watakiwa kuongezea madini thamani

  WACHIMBAJI wadogo wa madini nchini wametakiwa kufanya uchimbaji wa wenye tija na kuongeza thamani ya madini yao. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Rais Mwinyi mgeni rasmi mkutano wa bima Z’bar

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi atahutubia mkutano mkubwa wa wadau wa bima kutoka ndani na nje ya nchi, wenye lengo...

Habari Mchanganyiko

TCRA yamshushia rungu Askofu Mwingira

  KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imekifungia kipindi cha Efatha Ministries, kinachomilikiwa na Askofu Josephat Mwingira na kurushwa na...

Habari Mchanganyiko

Mahakama Kuu yaja na mwarobaini wa Mawakili makanjanja

  MAHAKAMA Kuu Tanzania imezindua mfumo wa kuratibu taarifa za mawakili kielektroni (e-wakili) wenye lengo la kudhibiti mawakili wasiotambulika kisheria ‘mawakili makanjanja au...

Habari Mchanganyiko

Simulizi watano familia iliyouawa kikatili inasikitisha, RC, RPC wacharuka

  WATU watano katika kijiji cha Zanka Wilayani Bahi mkoani Dodoma wameuawa katika nyumba waliokuwa wakiishi kijiji hapo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari Mchanganyiko

Usafi wa mazingira: Dodoma yawaonya wananchi

  UONGOZI wa la Dodoma nchini Tanzania, umesema hautasita kumchukulia hatua za kisheria mtu ambaye anakwamisha juhudi za maendeleo sambamba na utunzaji wa...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi PURA waaswa kuongeza juhudi

  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) wameaswa kuendelea kufanya kazi kwa juhudi na uadilifu ili kuiletea tija...

Habari Mchanganyiko

Bashe: Hakuna Mtanzania atakayekosa chakula

  SERIKALI imesema kuwa pamoja na kuwepo kwa mabadiko ya tabia ya nchi yaliyosababisha kukosekana kwa mvua za uhakika, nchi ina akiba ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia awaomba Kilimanjaro kupunguza matayarisho ya mbege

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewaomba wananchi wa mkoa huo kupunguza matayarisho ya kinywaji maarufu mkoani humo cha pombe aina ya mbege, ili...

Habari Mchanganyiko

KAGAIGAI: Mifugo 1,257 imekufa Kilimanjaro kwa ukame

  MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amesema jumla ya mifugo 1,257 imekufa mkoani humo kwa kukosa maji na malisho kutokana na...

Habari Mchanganyiko

TANESCO: Tunaomba mtuvumilie

  SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limewaomba Watanzania kuwa wavumilivu katika kipindi hiki ambacho umeme unakatika kila mara kutokana na mvua na upepo...

Habari Mchanganyiko

Chembechembe za plastiki hatari kwa afya

  UTAFITI uliofanywa kuhusu chembechembe zitokanazo na plastiki zinazopatikana kwenye fukwe za bahari zimeonesha kuwa na kemikali za sumu ambayo inaweza kusababisha madhara...

Habari Mchanganyiko

Wachimba mchanga wasio na vibali waonywa

Serikali ya Mkoa wa Dar es salaam kupitia kikosi kazi cha kuratibu usafishaji wa mito mkoani humo kimeonya kuwa hakitosita kuwachukulia hatua za...

Habari Mchanganyiko

Dart kutumia mfumo mpya ‘mwendokasi,’ mikakati yatangazwa

  WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) nchini Tanzania imeanzisha kutumia mfumo mpya wa ukataji wa tiketi wa kielektroniki ili kuhakikisha inazuia upotevu...

Habari Mchanganyiko

TAMISEMI yamuweka meneja wa TARURA mtegoni

  NAIBU Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dk. Festo Dugange amesema serikali itachukua hatua za kumsimamisha kazi Meneja wa TARURA Wilaya ya Karatu...

Habari Mchanganyiko

KIMENUKA! Polisi watoa tamko trafki aliyenaswa tuhuma za rushwa

  JESHI la Polisi nchini limesema tayari uchunguzi umeanza dhidi ya picha zilizosambaa katika mitandao ya kijamii huku zikimuonesha askari wa usalama barabarani...

Habari Mchanganyiko

Vijiji 2,349 kufaidika na miradi ya TASAF

  IMEELEZWA kuwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF, inatarajiwa kutoa ajira kwa walengwa 195,000 ambao watalipwa jumla ya...

Habari Mchanganyiko

Rose Muhando: Nataka mume mzungu mwenye pesa

  MSANII wa muziki wa Injili nchini, Rose muhando amefunguka kwamba mojawapo ya mambo anayotaka afanikiwe kwa mwaka huu ni kumpata mume mzungu...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Mbowe: Shahidi aliyeugua ghafla kizimbani, anatoa ushahidi

  SHAHIDI wa kumi wa Januari, Innocent Ndowo (37) katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman...

Habari Mchanganyiko

Wanaume Moshi hutandikwa na wake zao

  BAADHI ya wanaume, hususan walio ndani ya ndoa katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania, wamekuwa wakikumbana na vitendo vya kikatili,...

Habari Mchanganyiko

Treni yapata ajali Tanga, mmoja afariki watano wajeruhiwa

  SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limesema treni ya abiria yenye injini namba 9022 imepata ajali muda wa saa 10 alfajiri kati ya...

Habari Mchanganyiko

Tume yaundwa kuchunguza ajali ya 5 ya moto Karume

  MKUU wa Wilaya ya Ilala, Ng’wilabuzu Ludigija ameunda timu ya uchunguzi wa chanzo cha moto katika Soko la wafanyabiashara wadogo la Karume ambayo inatarajia...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi milioni 1.3 wafaulu kuendelea darasa la tano, hisabati donda ndugu

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne ambapo takwimu zinaonesha kuwa jumla ya...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi, shule 10 bora kitaifa Upimaji Darasa la Nne (SFNA) – 2021, hizi hapa…

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne ambapo takwimu zinaonesha kuwa mwanafunzi bora...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi 422,388 wafaulu mtihani Kidato cha nne (2021), ufaulu waongezeka

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2021 ambayo yameonesha jumla ya watahiniwa wa...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi 214 wafutiwa matokeo, 555 wazuiliwa

  Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza kufuta matokeo yote ya watahiniwa 214 waliofanya udanganyifu katika upimaji kitaifa wa darasa la nne,...

Habari Mchanganyiko

Zuhura Yunus kuondoka BBC

  MTANGAZAJI maarufu wa Shirika la Utangaza la Uingereza (BBC), Zuhura Yunus ametangaza kuondoka ndani ya shirika hilo alilolitumika kwa miaka 14 kwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awafunda mawaziri, naibu mawaziri, ampangia kazi Lukuvi

  Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza na mawaziri na naibu mawaziri huku akimpangia kazi aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,...

error: Content is protected !!