Saturday , 27 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Miaka 60 ya Uhuru: THRDC yasema hili kosa tulirekebishe

  WAKATI Tanzania Bara kesho Alhamisi, tarehe 9 Desemba 2021, inatimiza miaka 60 ya Uhuru, Watanzania wametakiwa kutorudia kosa la kuwaachia viongozi jukumu...

HabariHabari Mchanganyiko

Mgogoro KKKT: Askofu Munga acharuka, amtuhumu Askofu Mbilu kumchafua

  ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Steven Munga, amewakingia kifua wachungaji sita....

Habari Mchanganyiko

Balozi Kanza aanza kuita wawekezaji kutoka Mexico, Marekani

Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Elsie Kanza amekutana kwa mazungumzo  na Meya wa mji wa Dallas, Meya Eric Johsnon pamoja na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Majaliwa atoa maagizo kwa sekta binafsi Tanzania

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka sekta binafsi iweke kipaumbele na kuzingatia usawa wa kijinsia katika utoaji wa ajira hasa wanawake...

Habari Mchanganyiko

Neema yanukia Kilimanjaro, waitaliano waja kuchimba shaba

  Shirika la Taifa la Madini (STAMICO) limesaini mkataba wa makubaliano ya awali na Kampuni ya Suness Limited ya Italia kwa ajili ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Sitakubali gari bovu liangushiwe awamu ya sita

  RAIS Samia amesema kuna makundi yaliyopo ndani ya serikali ambayo yanaendekeza ubadhirifu na kugeuka kusema kwamba ufisadi na mambo ya hovyo yamerudi...

Habari Mchanganyiko

WADAU: Ukatili wa kijinsia kazini, unaathiri hadi familia

  WADAU wa ukatili wa jinsia nchini Tanzania, wameshauri waajiri wote pamoja na Serikali kuchukua hatua madhubuti ya kukomesha vitendo vya ukatili vinavyorejesha...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaamriwa ilimpe mamilioni Mtanzania iliyomvua uraia

  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR), imeamuru Serikali ya Tanzania, imlipe fidia ya zaidi ya  Sh. 50 milioni,...

Habari Mchanganyiko

TASAF yaombwa kutoa msaada wa mitaji kwa wanufaika

MNUFAIKA wa mpango wa tatu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), wa awamu ya kwanza Antusa Mchau (38), ameiomba serikali kupitia TASAF...

Habari Mchanganyiko

Waziri mkuu wa zamani wa Lesotho ashitakiwa kwa kumuua mkewe

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Lesotho, Thomas Thabane amefikishwa mahakamani anakoshitakiwa kwa mauaji ya mke wake, Lipolelo Thabane, yaliyotokea mwaka 2017. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Askofu Shoo: Umewakosea wenye ulemavu, omba toba

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kithuleri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo ametoa wito kwa wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Mbowe: Pingamizi la Serikali latupwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhumuku Uchumi, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imetupilia mbali pingamizi la jamhuri la...

Habari Mchanganyiko

JWTZ watangaza kiama kwa matapeli ajira jeshini

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kuhusu vitendo vya rushwa, ulaghai na utapeli vinavyofanywa na baadhi ya watu wasio...

Habari Mchanganyiko

GGML wamwaga milioni 50 kuelekea Siku ya UKIMWI duniani

  Katika hafla ya hisani iliyofanyika jijini Mbeya chini ya uongozi wa Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson kuelekea siku ya Ukimwi...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wawaongoza wanaume Chou cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Z’bar

  MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere nchini Tanzania, Stephen Wasira amesema, shabaha ya chuo hicho ni kutoa elimu...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awatoa hofu wanaohoji uamuzi wa kuwarejesha shule waliopata ujauzito

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeamua kuwarejesha shule watoto wote walioacha shule kwa sababu mbalimbali kama vile, utoro, sababu za kisheria...

Habari Mchanganyiko

Huawei yatoa vifaa vya maabara ya TEHAMA kwa Chuo Kikuu Dodoma

 Kampuni ya Huawei Technologies Tanzania imetoa msaada wa maabara ya TEHAMA kwa Chuo Kikuu cha Dodoma ikiwa na nia ya kuibua mawazo ya...

Habari Mchanganyiko

Madalali nyumba za NHC watumiwa salamu

  NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Tanzania, Angeline Mabula ameagiza watu wote wanaoishi nyumba za Shirika la Nyumba...

Habari Mchanganyiko

Balaa! Samaki aua sita Zanzibar, walimvua na kumla kwa siri

  JUMLA ya watu sita wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 11 wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya wilaya ya Micheweni baada ya...

Habari Mchanganyiko

Benki za Tanzania zaahidi kuongeza ukopeshaji

  LICHA ya janga la corona kuathirika ukopeshaji, Benki nchini Tanzania, zimeahidi kuongeza mikopo kwa ajili ya sekta binafsi kufuatia kuimarika kwa uchumi...

Habari Mchanganyiko

Majaji, Hakimu Zanzibar wapewa kibarua

  MAJAJI wa Mahakama Kuu Zanzibar na mahakimu visiwani humo, wameombwa kuwa mstari wa mbele katika kudhibiti vitendo vya ukiukwaji wa haki za...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jenerali Mabeyo:Vita ya ugaidi ngumu

  MKUU wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, amewaomba wananchi watoe ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama katika kukabiliana na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu wa KKKT Shoo, Malasusa wafikishwa kortini

  VIONGOZI wawili wa madhehebu ya Kikristo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Fredrick Shoo na Mkuu wa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Hatutavumilia ukatili wowote

  WAZIRI Mkuu wa Tanania, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendeleza mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsi na haitavumilia aina yoyote ya ukatili wa...

Habari Mchanganyiko

Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya ‘Weka Mkwanja Tukutoe!’

  BENKI ya Exim imetangaza washindi wa droo ya kwanza ya  kampeni  ya ‘Weka Mkwanja Tukutoe!’inayoendeshwa na benki hiyo ikilenga kuhamasisha watanzania kujiwekea...

Habari Mchanganyiko

RC Dar: Mgawo wa maji utaendelea

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema mgawo wa maji jijini humo utaendelea kuwepo mpaka pale mvua zitakapoanza...

Habari Mchanganyiko

Hukumu kupinga wanaharakati kutinga kortin yapigwa kalenda

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa hukumu ya kesi ya kupinga marekebisho ya Sheria ya Utekelezaji wa...

Habari Mchanganyiko

ETDCO yatekeleza miradi 89 ya umeme kwa bilioni 300

  KATIKA kipindi cha miaka mitano, Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO), imefanikiwa kutekeleza miradi...

Habari Mchanganyiko

TGDC kuzalisha megawati 200 za nishati jadidifu 2025

  KAMPUNI ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), imesema mipango yake, ifikapo mwaka 2025 iwe imezalisha megawati 200 za nishati jadidifu na megawati 500...

Habari Mchanganyiko

Hukumu kupinga wanaharakati kutinga kortin kujulikana leo

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, leo Alhamisi tarehe 25 Novemba 2021, inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya kupinga...

Habari Mchanganyiko

Ukatili waishtua TAMWA, yatoa mapendekezo

  CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimeshauri wadau wa masuala ya ukatili wa kijinsia, kukaa pamoja na kupanga mikakati mipya na madhubuti...

Habari Mchanganyiko

Mgogoro waibuka KKKT, Askofu Shoo ahusishwa

  MGOGORO umeibuka katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Konde mkoani Mbeya wakimshutumu Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu Fredrick...

Habari Mchanganyiko

Ajali bodaboda pasua kichwa, 445 hufariki kila mwaka

  RAIS Samia ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kutoa kipaumbele cha elimu ya usalama barabarani kwa madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda kwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia: Wananiita ‘Bi Tozo’

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kila anapozungumza kuhusu neno ‘tozo’ huwa linamgusa ndani ya moyo wake kwa sababu sasa mitandaoni wanamuita ‘Bi...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ampa maagizo mazito IGP, askari kukimbilia trafki, bandarani kizungumkuti

  RAIS Samia Suluhu amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro kufuatilia na kumpa majibu kuhusu sababu za askari wengi...

Habari Mchanganyiko

CCM yazibana wizara 3 misitu ya hifadhi

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Wizara ya Maliasili na Utalii...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa maagizo fedha miradi ya maendeleo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ya...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa korosho Lindi, Mtwara washauriwa kujiwekea akiba NBC

  MKUU wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga amewashauri wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Lindi na Mtwara kujiwekea akiba sambamba...

Habari Mchanganyiko

Waziri Aweso aeleza mikakati kumaliza mgawo wa maji Dar

  SERIKALI ya Tanzania, imepanga kutumia zaidi ya Sh.390 bilioni kujenga bwawa la kuhifadhia maji katika Kijiji cha Kidunda wilayani Morogoro vijijini mkoani...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yamwaga milioni 248 kuwezesha watumishi wake kuhitimu Shahada ya uzamili

  JUMLA ya watumishi waandamizi 18 wa kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wamehitimu Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Biashara kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Matumaini mapya mgawo wa maji Dar

  MACHUNGU ya mgawo wa maji kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania yaliyodumu kwa takribani wiki tatu, yanaanza kupungua...

Habari Mchanganyiko

Kampeni kuwawezesha wanavyuo wanawake kutumia mitandao yazinduliwa

  WANAWAKE vijana walioko kwenye taasisi za elimu ya juu nchini Tanzania, wametakiwa kumiliki na kutumia vyema mitandao ya kijamii kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

LEAD Foundation waibuka kinara ustawishaji miti Afrika

  SHIRIKA la LEAD Foundation linalojihusisha na utunzaji wa mazingira mkoani Dodoma limetangazwa miongoni mwa mashirika 20, yanayoongoza katika miradi ya ustawishaji miti...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya ardhi yanunua ‘drone’, yapima viwanja milioni 2.7

  WIZARA ya Nyumba na Maendeleo ya Makazi imenunua ndege isiyokuwa na rubani (drone) maalum kwa ajili ya upigaji picha za anga zinazowezesha...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Bwege alazwa Muhimbili

  ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini mkoani Lindi, Said Bungara ‘Bwege’, amelazwa katika wodi ya Sewahaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akiugua kwa...

Habari Mchanganyiko

Mbarawa awaweka kikaangoni wasimamizi wa mizani

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amewataka wasimamizi na wafanyakazi wa mizani nchini kujitafakari kuhusu mienendo yao ya utendaji kazi...

Habari Mchanganyiko

Visima 44 vyagundulika kuwa na gesi asilia

  KATIKA kipindi cha miaka 60 ya Uhuru, Tanzania imefanikiwa kuchimba visima 96 vya mafuta na gesi ambapo visima 44 vimegundulika kuwa na...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa maagizo kwa Waziri Jafo, bosi NSSF

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Seleman Jafo kukamilisha andiko...

Habari Mchanganyiko

 NBC yazindua Bima ya Kilimo kwa wakulima, wafugaji na wavuvi, Serikali yaunga mkono

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Jubilee Insurance wamezindua huduma ya bima maalum ya kilimo...

Habari Mchanganyiko

TCRA, TUZ wakutana Dar

  WAJUMBE wa Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Tume ya Utangazaji Zanzibar (TUZ) wametembelea Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini Dar es Salaam....

error: Content is protected !!