MGOGORO umeibuka katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Konde mkoani Mbeya wakimshutumu Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu Fredrick Shoo kwa uamuzi wake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya … (endelea).
Undani wa mgogoro huo, fuatilia video hii.
Aidha, jipatie Gazeti la Raia Mwema la leo Jumatano la tarehe 24 Novemba 2021 kujua alichokijibu Askofu Shoo.
Leave a comment