Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Wanafunzi, shule 10 bora kitaifa Upimaji Darasa la Nne (SFNA) – 2021, hizi hapa…
ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi, shule 10 bora kitaifa Upimaji Darasa la Nne (SFNA) – 2021, hizi hapa…

Spread the love

 

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne ambapo takwimu zinaonesha kuwa mwanafunzi bora kitaifa ametokea katika Shule ya Msingi Libermann iliyopo mkoani Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)

Aidha, shule 10 bora kitaifa katika matokeo hayo, takwimu zimeonesha kuwa mkoa wa Mara umeshika namba moja na namba mbili.

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa leo tarehe 15, 2022 na Katibu mtendaji wa Baraza la Mitihani (Necta), Dk. Charles Msonde pia yameonesha mkoa wa Shinyanga umechomoza na wanafunzi wanne katika kundi la wanafunzi 10 bora kitaifa na kufuatiwa na Lindi wenye wanafunzi watatu, Arusha wawili kisha Dar es Dar es Salaam ni mmoja pekee aliyeshika nafasi ya kwanza.

Aidha, katika kundi la Shule 10 bora kitaifa, mkoa wa Mara umechomoza na Shulen ya Twibhoki iliyoshika nafasi ya kwanza na kufuatiwa na Graiyaki iliyoshika nafasi ya pili.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!