ASKARI saba wa Jeshi la Polisi Tanzania wamefukuzwa kazi baada ya kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi kinyume cha utaratibu wa jeshi....
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2021SHIRIKA la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch linasema, mamlaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), zilipuuza tahadhari za...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2021ALEXANDER Litvinenko, jasusi wa zamani wa Urusi, aliuawa kwa sumu na majasusi yaliyotumwa na taifa hilo, Mahamaka ya Haki za Binadamu ya...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2021KAMPUNI ya Huawei Tanzania kwa kushirikiana na Tume ya Tehama imetoa mafunzo kwa wataalamu 19 wa Tehama kutoka katika sekta ya umma...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2021ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Benson Bagonza na mwandishi wa habari mkongwe...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2021MHANDISI Mohamed Mtambo, aliyekuwa mgombea ubunge wa Mkuranga, Mkoa wa Pwani (ACT-Wazalendo), ameviomba vyama vya upinzania nchini Tanzania kuanza maandalizi mapema kwa...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) uliojadili athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi yanayoikumba dunia...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2021Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha mikopo wa benki hiyo, Zainab Nungu (katikati) wakishiriki zoezi la usafi...
By Mwandishi WetuSeptember 20, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Afisa Manunuzi wa Wilaya ya Karagwe, Mkoa wa Kagera, Yesse Kaganda baada ya kutoridhishwa...
By Mwandishi WetuSeptember 20, 2021POLISI wilayani Mazabuka mkoa wa Kusini nchini Zambia wamemtia mbaroni mhudumu wa chumba cha kuhifadhia maiti (mochwari) katika Hospitali Kuu ya Mazabuka...
By Mwandishi WetuSeptember 20, 2021MBUNGE wa Jimbo la Namtumbo, Vita Kawawa (CCM) amepata ajali katika eneo la Nalasi wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wakati akiwa kwenye ziara...
By Mwandishi WetuSeptember 20, 2021SEPTEMBA 18, 2021: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni maalum kwa wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Mtwara...
By Mwandishi WetuSeptember 20, 2021RAIS wa zamani wa Algeria, Abdelaziz Bouteflika aliyefariki dunia siku ya juzi, anatarajiwa kuzikwa leo tarehe 19 Septemba 2021 katika makamburi ya...
By Mwandishi WetuSeptember 19, 2021MKUU wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus anaweza kuwa mgombea pekee katika nafasi anayoshikilia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Jumamosi tarehe 18 Septemba, 2021 anaondoka kwenda New York nchini Marekani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2021WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso ameiagiza Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuSeptember 17, 2021MKUU wa mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla ametoa muda wa mwezi mmoja kwa madawati ya uwezesha wananchi kiuchumi yaliyopo katika...
By Mwandishi WetuSeptember 17, 2021WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso ameipa maagizo matatu Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) ikiwemo kudhibiti upagwaji wa...
By Mwandishi WetuSeptember 17, 2021MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema amepatwa na msiba wa mkewe Rose Mrema. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuSeptember 17, 2021BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, jijini Dar es Salaam leo tarehe 16 Septemba...
By Mwandishi WetuSeptember 16, 2021MFANYABIASHARA James Rugemalira leo tarehe 16 Septemba, 2021 ameachiwa huru Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP)...
By Mwandishi WetuSeptember 16, 2021TUNDU Lissu, Makamu mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania amepinga uamuzi wa kesi ya kiongozi wa chama hicho, Freeman Mbowe...
By Mwandishi WetuSeptember 16, 2021Kaimu Mkurugenzi Idara ya Fedha Benki ya Exim Bw Issa Rajabu (kushoto) akikabidhi msaada wa fedha taslimu kwa Muhasibu wa Taasisi ya...
By Mwandishi WetuSeptember 16, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewapa muda wa mwezi mmoja (siku 30) viongozi wa mikoa na halmashauri wawe wamekutana na wafanyabiashara...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Sudan ya Kusini Salva Kiir Mayardit,...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2021ARIEL Henry, waziri mkuu wa Haiti, amemfuta kazi mwendesha mashItaka mkuu wa taifa hilo, Bed-Ford Claude, kufuatia uamuzi wake wa kutaka kumfungulia...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2021RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi mapema wiki hiii amepokea dozi yake ya kwanza ya chanjo dhidi ya Covid-19....
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2021UTAWALA wa kijeshi ulioipindua serikali ya Guinea zaidi ya wiki moja iliyopita umeanza mikutano ya siku nne, kwa lengo la kuunda serikali...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2021JANUARY Makamba, Waziri wa Nishati nchini Tanzania, ametoa shukrani kwa wote waliompongeza kwa kuteuliwa kuwa waziri na kuwaahidi kuwatumikia kwa vitendo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2021WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari nchini Tanzania, Dk. Ashatu Kijaji ameitaka menejimenti na watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi...
By Mwandishi WetuSeptember 14, 2021DAKTARI Faustine Ndugulile, Mbunge wa Kigamboni (CCM) amemahukuru Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kumpa nafasi ya kuhudumu kwenye serikali yake....
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya baraza lake la mawaziri kwa kuteua mawaziri wanne na kuwaweka kando watatu. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2021WAFUNGWA wanne kati ya sita raia wa Kipalestina waliotoroka kutoka jela yenye ulinzi mkali mapema wiki hii huko nchini Israel wamekamatwa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeanza ujenzi wa maeneo ya burudani kwa ajili ya watu kufanyia michezo na kupumzika katika mikoa ya Dodoma na...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2021WIKI chache baada ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kuitaka Serikali ya Tanzania ilipe deni la Bohari ya Dawa...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2021WAANDISHI wawili wa habari wawili nchini Afghanistan, wameumizwa vibaya kufuatia kushambuliwa na kundi la Taliban, baada ya kukamatwa wakipiga picha maandamano mjini...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2021MWILI wa Zacharia Hans Pope, mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa timu ya Simba nchini Tanzania utaagwa kesho Jumatatu, tarehe 13 Septemba...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2021INSPEKTA Jenerali wa Polisi Tanzania , IGP Sirro, amesema wanazifanyia kazi taarifa za uwepo wa watuhumiwa wa vitendo vya ugaidi waliokimbilia nchini, ...
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2021MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, Mohamed Dewji “Mo Dewji” amesema ni vigumu...
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2021TIMU ya Yanga ya Dar es Salaam Tanzania, itaanza kutupa karaka yake ya kwanza kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika bila uwepo...
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2021ZAKARIA Hanspope, Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya mabingwa wa ligi kuu Tanzania Bara 2020/21, Simba ya Dar es Salaam, amefariki dunia....
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2021WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Stergomena Tax, kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2021STORI za mapacha kushare au kuvaliana nguo, kusomea taaluma moja, kufanya kazi ya aina moja, kufunga harusi siku moja na wakati mwingine...
By Mwandishi WetuSeptember 10, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kutimiza wajibu kwa kufuata sheria za usalama barabarani kukabiliana na ajali za...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2021SERIKALI ya Tanzania, imepanga kupunguza gharama za hereni maalum ya utambuzi wa mifugo nchini ili kumpunguzia gharama mfugaji. Kauli hiyo imetolewa leo...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imesitisha utaratibu wa kugawa mikoa, wilaya, kata, vijiji vipya hadi hapo sensa itakapofanyika mwaka 2022....
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kuendelea kutangaza ajira katika vyombo mbalimbali vya dola...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2021MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa biashara maeneo watembea kwa miguu hifadhi ya barabara...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2021Zaidi ya waandishi wa habari watano kutoka gazeti maarufu la uchunguzi la Etilaatroz ambalo hutoka kila siku huko Kabul nchini Afghanistan wamekamatwa...
By Mwandishi WetuSeptember 9, 2021