Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Michezo Alichoandika Mo Dewji kifo cha Hanspope
Michezo

Alichoandika Mo Dewji kifo cha Hanspope

Spread the love

 

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam nchini Tanzania, Mohamed Dewji “Mo Dewji” amesema ni vigumu kukubali kwamba Zakaria Hans Pope amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Hans Pope, aliyekuwa mjumbe wa bodi ya Simba na mwenyekiti wa kamati ya usajili wa timu hiyo, alifarini dunia usiku wa jana Ijumaa tarehe 10 Septemba 2021, katika Hospitali ya Agha Khan jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.

Dewji ambaye pia ni mwekezaji ndani ya mabingwa hao mara nne mfululizo wa ligi kuu Tanzania Bara, ameweka picha aliyopita yeye na Hans Pope huku akisema;

“Moyo wangu una maumivu makali sana. Bado ni vigumu kukubali kwamba Mjumbe wetu wa bodi Zakaria Hans Poppe hatunaye tena.

Pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na Wanasimba kwa ujumla kwa msiba huu mzito. Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

error: Content is protected !!