Friday , 29 March 2024
Home mwandishi
8556 Articles1227 Comments
Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa maagizo kwa DC, Madiwani Kaliua

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza ujenzi wa kituo cha Afya Usinge, wilayani Kaliua, Mkoa wa Tabora, ukamilike ifikapo Oktoba 2021. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mauaji Polisi Dar yamuibua Askofu Gwajima

  MBUNGE wa Kawe, mkoani Dar es Salaam (CCM), Askofu Josephat Gwajima, amefanya maombi maalum ya kuwaombea Askari Polisi, katika Kanisa lake la...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro aita ndugu kuchukua mwili wa Hamza, atoa ujumbe

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amesema mwili wa Hamza Mohamed ambaye aliwaua watu wanne wakiwemo askari polisi watatu,...

Kimataifa

Marekani yadai kumuua aliyepanga kushambulia Kabul

  JESHI la Marekani limesema, limemuua mtu anayedaiwa kupanga shambulizi kwenye uwanja wa ndege wa Kabul katika shambulizi la ndege isiyo na rubani....

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wadaiwa kuzuia kikao cha kamati kuu NCCR-Mageuzi

  JESHI la Polisi Ilala, Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limezuia kikao cha kamati kuu ya chama cha siasa cha...

Michezo

Cristiano Ronaldo arejea Man U

  BAADA ya kuondoka ndani ya Manchester United ya Uingereza miaka 12 iliyopita, Cristiano Ronaldo (36) ametangazwa kurejea tena ndani ya timu akitokea...

Elimu

Udahili waanza shule mbili zilizojengwa na GGML, Halmashauri Geita 

Wanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Bugando ambayo ni shule ya sekondari ya pili ya serikali katika Halmashauri ya Wilaya...

Habari za SiasaTangulizi

Jerry Silaa ataja sababu 3 kuikacha kamati ya Bunge

  MBUNGE wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa ametaja sababu tatu, ikiwemo kwenda kwenye mazishi jijini Arusha na kutokuwa sawa kiafya, zilizomfanya jana Alhamisi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wawili wauawa Kigamboni, Polisi “aliwagonga kwa makusudi”

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Mohamed Jumaa (37), maarufu maarufu Lardh JM, Mkazi wa Kariakoo, kwa tuhuma...

Habari za Siasa

Majaliwa maagizo kambi ya wakimbizi Tanganyika

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wakazi wanaoishi katika makazi ya wakimbizi ya Mishamo Wilayani Tanganyika kuimarisha ulinzi na usalama katika...

Kimataifa

Mlipuko mabomu Afghanistan waua 60, majeruhi 140

  WATU takribani 60 wameuawa huku 140 wakijeruhiwa, katika milipuko ya mabomu iliyotokea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamid Karzai Mjini...

Michezo

Simba kupaa Marekani

  KLABU ya Simba inatarajia kuweka kambi ya maandalizi ya Ligi Kuu mwaka 2021/2022 nchini Marekani kwa ushirikiano wa klabu ya DC United...

Habari za Siasa

Jerry Silaa aingia mitini, kamati yataka Polisi wamkamate

  KAMATI ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, imeomba kibali kutoka kwa Spika Job Ndugai, cha kumkamata Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry...

Habari Mchanganyiko

Raila amtembelea Rais Samia, wajane mama Janeth Magufuli, Anna Mkapa

  KIONGOZI mkuu wa Cha cha upinzani nchini Kenya (ODM), Raila Odinga, jana tarehe 25 Agosti, 2021 amefanya ziara ya siku moja nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Askou Gwajima agoma kukaa, ahojiwa akiwa amesimama wima

  MBUNGE wa Kawe, mkoani Dar es Salaam (CCM), Josephat Gwajima, ameendeleza mgomo wake wa kutotumia viti alivyopangiwa kutumia, wakati akihojiwa na Kamati...

Habari Mchanganyiko

Tukio la risasi Dar; IGP Sirro asema askari wawili wafariki dunia

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro amesema, askari wawili wamefariki dunia wakati wakimdhibiti mtu mmoja aliyekuwa alifyatua risasi hovyo karibu na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Taharuki; majibizano ya risasi Dar

  HALI ya takaruki imeibuka eneo la daraja la Salender jijini Dar es Salama nchini Tanzania baada ya milio ya risasi kati ya...

Habari Mchanganyiko

Plea Bargaining yapingwa mahakamani, DPP akidaiwa kukiuka sheria

  WAKILI nchini Tanzania, Peter Mdeleka, amewasilisha ombi la kufungua kesi ya kupinga utaratibu wa kukiri kosa na kulipa fidia ili kuondolewa mashtaka...

Habari za Siasa

Polisi shirikianeni na wananchi kubaini magaidi – Rais Samia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameliagiza Jeshi la Polisi, lishirikiane na raia katika kuwabaini watu wanaojihusisha na vitendo vya ugaidi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi mkuu 2025: Tume ya taifa ya uchaguzi Tanzania kufumuliwa

  MUUNDO wa sasa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uko mbioni kufanyiwa marekebisho makubwa ya kisheria, baada ya kuibuka malalamiko kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yamshangaza Askofu Shoo, akumbushia maandamano Ukuta

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo, ameziomba mamlaka nchini Tanzania zitende haki katika kesi ya uhujumu...

Habari Mchanganyiko

Coco beach kuboreshwa, Bakhresa kupeleka boti za utalii

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amesema, amepata wadau waliokubali kuwajengea wafanyabiashara wa ufukwe wa Coco vibanda vya...

Habari Mchanganyiko

Milioni 700 kukarabati barabara Bagamoyo-Msata

  KATIKA mwaka wa fedha 2021/2022 Wakala ya Barabara (TANROADS), Mkoa wa Pwani unatarajia kutumia Sh. milioni 700 kwa ajili ya karabati wa...

Habari Mchanganyiko

NIT kushirikiana na NAS Tanzania

  CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) nchini Tanzania, kimesaini mkataba wa ushirikiano na National Aviation Service (NAS) – Dar Airco Tanzania katika...

Habari za SiasaTangulizi

Hukumu ya Sabaya, wenzake Oktoba mosi

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imepanga tarehe 1 Oktoba 2021, kutoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, Na. 105/2021, inayomkabili...

Habari Mchanganyiko

Askofu Ruwa’ichi: Tuishi kama wapita njia

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi, amewataka watu waishi duniani kama wapiti njia, huku...

Habari za Siasa

Askofu Gwajima atoa mpya bungeni

  MBUNGE wa Kawe,kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima, amegoma kutumia kiti na kipaza sauti, vilivyopangwa kwa ajili ya kutumia akihojiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima, Jerry Silaa waondolewa kwenye kamati

  ASKOFU Josephat Gwajima ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kawe na Jerry Silaa wa Jimbo la Ukonga mkoani Dar es Salaam kupitia...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Samia, Kikwete kumshuhudia Rais mteule Zambia akiapishwa

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuondoka nchini kesho tarehe 24 Agosti, 2021 kuelekea nchini Zambia kuhudhuria...

Kimataifa

Ukinunua chapati zaidi ya nne, unakamatwa

  JESHI la Polisi nchini Uganda limesema mtu yeyote atayenunua chapati tano au zaidi Kaskazini mwa nchi hiyo huenda akakamatwa na kufikishwa mbele...

Habari Mchanganyiko

Wanne wajeruhiwa ajali ya basi Kibaha

  WATU wanne wamejeruhiwa na wengine 40 kunusurika kifo baada ya kutokea ajali ya basi la kampuni ya Sauli eneo la Picha ya...

Kimataifa

Mkewe Jose Chameleone atema nyongo

MKE wa msanii mkongwe Afrika Mashariki, Jose Chameleone, Daniella Atim amewajia juu watu waliosambaza picha za mumewe wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watumishi 5 TRA wafariki ajalini Songwe

  WATUMISHI watano Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kikosi kazi cha fast Track wamefariki dunia katika ajali ya gari eneo la Hanseketwa Oldvwawa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yapata pigo, Meya Shinyanga afariki

  CHAMA tawala nchini Tanzania-Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimepata pigo baada ya meya wake wa Manispaa ya Shinyanga, David Nkulila kufariki dunia. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mbowe atuma ujumbe msiba wa mkwe wake akiwa gerezani

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ametuma ujumbe wa buriani katika msiba wa mama yake mkwe, Johara Mtei,...

Michezo

Soufiane Rahimin abeba ndoo, aaga rasmi

  Mshambuliaji nyota wa Klabu ya Raja Club Athletic kutoka nchini Morocco, Soufiane Rahimi jana tarehe 21 Agosti, 2021 ameisaidia timu yake kutwaa...

Michezo

Ndayiragije aibukia Geita Gold

  KLABU ya Geita Gold imemtangza rasmi aliyekuwa kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Etienne Ndayilagije kuwa kocha mkuu...

Michezo

Rais Samia apokea kombe la CECAFA, ataka bursa itumike michuano kombe la Dunia

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewataka wafanya biashara nchini pamoja na sekta binafsi nchini, kuchangamkia fursa kwenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Gwjaima ataka mdahalo wa wazi chanjo ya corona

  MBUNGE wa Kawe (CCM), Askofu Josephat Gwajima, ameishauri Serikali iitishe mdahalo wa wazi, ili kumaliza utata juu ya chanjo ya Ugonjwa wa...

Habari za Siasa

Askofu Gwajima: Ninakwenda kupasua ukweli bungeni

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dk. Josephat Gwajima amesema kesho tarehe 23 Agosti anakwenda kupasua ukweli mbele ya kamati ya haki,...

Habari za Siasa

Mahubiri ya polepole yaivuruga CCM

  Mbunge wa kuteuliwa na kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amewavuruga makada wenzie wa chama hicho baada ya kuandika waraka mfupi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba mkwe amtaka Waziri asitumie jina la Gwajima

MZEE Mathias Gwajima, Baba mkwe wa Waziri wa Afya, Dk. Dorothy Gwajima, amemtaka mkamwana wake huyo aache kutumia jina lake la ukoo kwa...

BurudikaTangulizi

Rais Samia ampagawisha Zuchu

  Malkia wa Bongofleva, Zuhura Kopa maarufu kama Zuchu ameeleza kupagawishwa na simu ya Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiperfome jana tarehe 21...

Tangulizi

Kilichowaponza Askofu Gwajima na Jerry Silaa, kuhojiwa bungeni

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameagiza wabunge Askofu Josephat Gwajima na Jerry Silaa kufika mbele ya Kamati ya Haki, Maadili...

Habari za Siasa

Askofu Bagonza ahoji maswali 8 tozo za simu, majengo

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza ametoji maswali nane juu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Tuliwashughulikia tukapita bila kupigwa

  MWENYEKITI wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameshauri marekebisho ya sheria ili mtu anayekosea herufi...

Tangulizi

Rais Samia: Uchaguzi mkuu 2020 ulifanyika vizuri sana

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kusimamia uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2020 akisema “ulifanyika...

MichezoTangulizi

Babu Tale aweka V8: Twaha Kiduku Vs Mwakinyo

  SHAUKU ya Watanzania kuwashuhudia mabondi wenye viwango vya juu kwa sasa nchini humo, Twaha Rubaha maarufu ‘Twaha Kiduku’ na Hassan Mwakinyo wakipanda...

Habari Mchanganyiko

Kigogo ATCL aliyeisababishia Serikali hasara Bil. 71 ahukumiwa faini Mil. 8

  ALIYEKUA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), David Mattaka amehukumiwa kifungo cha miaka minne jela, au faini ya Sh....

Habari Mchanganyiko

Askofu awashukia Polisi “wananajisi kanisa”

  ASKOFU mstaafu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Jimbo la Kilimanjaro Mashariki, Dk Glorious Shoo amekemea baadhi ya polisi kukosa...

error: Content is protected !!